Hali ni tete, hali ni mbaya, gharama za maisha lazima zipande..

Wao wanakula keki ya taifa tu, itafika hatua wote tutazungumza lugha moja hakuna cha ccm wala chadema, wale ambao watakaa kimya ni wale tu ambao wanafaidika na taifa hili.
 
Hii nchi ngumu kila eneo
 
Bila shaka na ya Bagamoyo imeongezwa imekuwa 2000, basi utashangaa na Nauli ya Msata inapanda tena wakati hiyo ya 5000 tu sijui iliwekwaje wekwaje, daah sema hivi vichenchi chenchi vya 50, 100, 200 huwa sivipendi kukaa navyo basi tu
 
Kipato hakiongezeki, ila gharama kila nyanja zinapanda. Ati uchumi unakua! Na kuna mbobezi (kwenye makaratasi)wa masuala ya uchumi!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Serikali nayo iache upuuzi bhana.. hivi treni ya mwendokasi imeishia wapi?. Nauli imepandishwa mwaka jana mwezi aprili, leo tena nauli mnapandisha
. Hivi mnajua athari zake kiuchumi kweli?. Mama Samia usicheke na wafanyabiashara watakuharibia. Namkumbuka sana Magufuli kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…