Vichekesho hivi
Dom kwenda Dar nauli sh ngapi?
Na umbali wa Singida Dom ni ngapi?
🤣🤣🤣🤣
 
Magufuli rip baba tunakukumbuka sana kosa ulilofanya kutuachia huyu kiumbe anatunyosha tu nauli inaongezeka 10000 nzima kwa kazi gani waliofanya hao latra, kwa maisha gani facken kabisa kesho na mimi dukani naongeza bei alfu tano tano kila mtu apige anakoweza.
 
Vichekesho hivi
Dom kwenda Dar nauli sh ngapi?
Na umbali wa Singida Dom ni ngapi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dodoma to dar km 80 ,nauli sh 5000 eti ni sawa kabisa na Arusha to Moshi.

Singida to Dom km 1,268 ,nauli sh 86,000
 
Yaani hajawahi kutokea Ndani ya miaka miwili nauli KUPANDA mara mbili

Samia is the worst president ever in our country's history

Nitamshangaa Sana akigombea Tena 2025. Sioni sababu ya msingi ya yeye kugombea. Labda Kama anapenda kuwa Rais kwa manufaa yake na familia yake. Lakini Kama ni nchi ameshindwa kazi tayari.
 
Mama yenu hafai kwa urais, amevuruga uchumi wa nchi na kuongeza ugumu wa maisha kwa raia wasio wezi

Tangu siku ile amekiri kwamba ilibidi wakope ili kulipa mshahara, niliacha kumfuatilia kabisa. Ninamuomba 2025 asigombee Kama kweli anatupenda watanzania. Lakini Kama hatupendi basi agombee na hiyo Time yake ya NEC wampe urais azidi kuharibu.
 

Sijui walikuwa wanaharaka ya kwenda wapi.
 
Wao badala ya kupunguza kiwango kikubwa cha kodi ambayo mafuta yana 26% kwa jumla yote wapo busy kuongeza bei ya nauli maana kwa kodi hizo bei zitaendelea kupanda tuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…