Yatakosa vipi wakati hakuna mtu ana safiri bila ulazima?LATRA hawapandishi nauli, hiyo ni bei elekezi tu. Mabasi yakikosa wasafiri watashusha wenyewe
Wapo watu wengi sana wanaosafiri bila ulazima au wanaoweza kupunguza idadi ya safari zao.Yatakosa vipi wakati hakuna mtu ana safiri bila ulazima?
Mbona haihusiani na kupanda kwa nauli za mabasi?Mfano ulikuwa unakodisha gari linakuletea bidhaa kwa milion 1. Gharama za kukodi gari zimepanda na kuwa milion 1 na laki 2.
Unafikiri bidhaa utaiuza kwa bei ile ile ya mwanzo?
Kama hujaelewa hutaelewa, daladala haisafirishi mizigo bali watuKuna wakati dish halikamati network mkuu? Mbona unauliza maswali ya namna hii?
Hii thread anaiona kama kaa la moto..Hahahahahah huwez muona humu🤣
bei ya miezi 3 nyuma sawa na hii ya sasa? au hiyo bei 2015 swwa na 2023?Ww umewahi lini kuona mafuta yameshuka? Hebu chukua kuanzia 2015 hadi 2023 au hata huko nyuma ni lini mafuta yalishuka zaid ya kupanda tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuachi kwenda Mo-Mo-Mo-shi hata nauli iwe 2.5M!Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza mabadiliko ya nauli katika safari za masafa marefu na masafa mafupi baada ya kupitia maoni ya wadau wa usafiri nchini.
Kwa mujibu wa LATRA nauli za safari zisizozidi kilometa 10 ambayo nauli yake ilikuwa shilingi 500 sasa itakuwa 600. Kwa safari za kilometa 11 hadi 15 ambayo nauli yake ilikuwa shilingi 550 sasa itakuwa shilingi 700.
Kwa kilometa 15 hadi 20 ambapo nauli ilikuwa shilingi 600 sasa itakuwa 800 huku kwa safari za kilometa 21 hadi 25 nauli imetoka 700 hadi shilingi 900. Safari ya kilometa 26 hadi 30 nauli ni shilingi 1100, safari ya kilometa 31 hadi 35 ni shilingi 1300 na kilometa 36 hadi 40 nauli ni 1400.
Aidha nauli za wanafunzi zitaendelea kusalia 200 kwa safari za masafa mafupi.
Nauli za mabasi zimeorodheshwa kwenye jedwali hapa chini.
View attachment 2826735View attachment 2826734View attachment 2826733View attachment 2826732
Nielekeze mtaa unao ishi kesho nije na mali ya magendo mimi nitashusha bukubuku kwa kila bidhaa.Magufuli rip baba tunakukumbuka sana kosa ulilofanya kutuachia huyu kiumbe anatunyosha tu nauli inaongezeka 10000 nzima kwa kazi gani waliofanya hao latra, kwa maisha gani facken kabisa kesho na mimi dukani naongeza bei alfu tano tano kila mtu apige anakoweza.
Are you serious ? Unajuwa wanapita humu na hata Mwigulu yumo humu alikuwa member kabisa.wangenipandishia bei za Data tu ile niache upuuzi wa Kuomba connection za kina Giggy money..
Mfano Gb 1 iwe elfu kumi.. hahhahaha
Kama ni hivyo bora huyo ambae hakujua biashara. Kuliko huu utahira tulionaoMagu hakujua chochote kuhusu biashara,mafuta yapande,na mafuta ndiyo yanaendesha gari,halafu nauli isipande!?..Ila je,mafuta yamepanda Tena!?