Aisee yani ndani ya mwaka nauli inapanda marambili kweli na Rais yupo? Hivi kweli serikali imeshindwa kuthibiti kabisa mfumuko wa bei hasa ya mafuta? Kwanini hadi leo yale makodi ya taasisi zaidi ya kumi yapo? Kwani serikali na Rais wasilaumiwe? Hivi kweli kabisa una ruhusu kupanda kwa bei mfulululizo hivi?
Hivi ni lini nauli zilishawai kushuka? Rais hajui kuwa kupandisha nauli ni kupandisha gharama za kila kitu?

Hakika hii kali kabisa…
 
Pesa ya madafu😁

 
Watu wa Fedha hamna kitu pale wanachojua pale mkuu na kushauri wacha tuwaangalie tu...
 
Tutatumia mabango yake barabarani kulipia hizo nauli.
 
Mfano ulikuwa unakodisha gari linakuletea bidhaa kwa milion 1. Gharama za kukodi gari zimepanda na kuwa milion 1 na laki 2.
Unafikiri bidhaa utaiuza kwa bei ile ile ya mwanzo?
Mbona haihusiani na kupanda kwa nauli za mabasi?
 
Wamechelewa mno na hilo ongezeko haliendani hali ilivyo kwenye bei ya mafuta.
 
Hatuachi kwenda Mo-Mo-Mo-shi hata nauli iwe 2.5M!
 
Nielekeze mtaa unao ishi kesho nije na mali ya magendo mimi nitashusha bukubuku kwa kila bidhaa.
 
wangenipandishia bei za Data tu ile niache upuuzi wa Kuomba connection za kina Giggy money..

Mfano Gb 1 iwe elfu kumi.. hahhahaha
Are you serious ? Unajuwa wanapita humu na hata Mwigulu yumo humu alikuwa member kabisa.

Unaweza kuwa unaandika kwa utani na wenyewe wakaona ni sawa. Ngoja tozo iongezwe ndo utajuwa hujui. Maana wengi wameipenda hiyo post yako usikute wengi ni hao mawaziri ambao wanatumia fake id.

Kama una tatizo la kupenda connections, halafu upandishiwe kifurushi ndo uache? Umekuwa mtoto mdogo?

Siyo wote wanaotumia data kwenye ujinga hata wawe na gb kiasi gani.

Mimi ni WIFi ofisini na nyumbani unlimited data lakini sijawahi kuhangaika na huo ujinga.
 
Coaster hesabu tsh 80,000/= Eicher hesabu laki moja, posho dereva na kondakta 60,000/=

Kulikuwa hamna sababu ya kupandisha nauli,

Service ya gari kwa mwezi jumla laki sita na somethng .

Hapo wamewatengenezea ulaji wenye magari,wanapandisha hesabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…