Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Aisee yani ndani ya mwaka nauli inapanda marambili kweli na Rais yupo? Hivi kweli serikali imeshindwa kuthibiti kabisa mfumuko wa bei hasa ya mafuta? Kwanini hadi leo yale makodi ya taasisi zaidi ya kumi yapo? Kwani serikali na Rais wasilaumiwe? Hivi kweli kabisa una ruhusu kupanda kwa bei mfulululizo hivi?
Hivi ni lini nauli zilishawai kushuka? Rais hajui kuwa kupandisha nauli ni kupandisha gharama za kila kitu?
Hakika hii kali kabisa…
Hivi ni lini nauli zilishawai kushuka? Rais hajui kuwa kupandisha nauli ni kupandisha gharama za kila kitu?
Hakika hii kali kabisa…