peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Inategemea unapita wapi, tatizo lako unalazimisha iwe Kondoa.
LATRA yatangaza ongezeko la nauli za Safari za Masafa Marefu na Mafupi kuanzia Desemba 8, 2023
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza mabadiliko ya nauli katika safari za masafa marefu na masafa mafupi baada ya kupitia maoni ya wadau wa usafiri nchini. Kwa mujibu wa LATRA nauli za safari zisizozidi kilometa 10 ambayo nauli yake ilikuwa shilingi 500 sasa itakuwa 600...
Nimesema kutoka Dodoma kupita Babati kwenda moshi hakuna Kms 1090 bali ni kms 502. Mbuzi wee