Ulitaka afanye nini ikiwa hawezi kutengeneza kazi?
Wewe ni mgeni na mfumo wa Elimu ya Tanzania na Dunia ya 3?
Kulima ni kazi bwasheee.Jiulize kwa nini wewe sijakutuna?Ni kwa sababu umeongea vitu vya msingi tena vinavyojenga siyo vinavyodhalilisha utu wa mtu au uhai wa chama chochote.Jadili mada sio matusi ma**ko wewe,
Nyie wapuuzi sijui hata nani aliwaonyesha keypad burton send inaandikwaje.
Mlitakiwa muwe kilombero huko mnalima miwa
Laana watu Wanajenga wana maisha angetafuta namna nzuri ya kuongea aheshimu ajira za watu huyo kijana
Anajua laana ni Nini aende zake
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Amesema ukweli nchi zilizoendelea huwezi kuta bodaboda,Hello!
Naona Lema ameanza Kwa gia ya matusi Kwa wanaojiita bodaboda..
Lema amesema bodaboda sio kazi ila ni laana..
Hivi hizi si ni dharau Kwa Vijana wa bodaboda? Yaani watu wanaendesha familia Kwa kazi hiyo halafu anakuja mtu anawadharau na kutukana eti wamelaaniwa?.
Nyie Wafuasi wa Chadema mnaposhabikia watu muwe mnajitambua. Hawa kina Lema wamekuwa wabunge hapo Arusha miaka 10, waliwafanyia nini cha maana?
Ujinga kama huu wa Chadema ndio kina Ruto walikuwa wanawadanganya Kunyaland badala yake hakuna Cha maana anafanya, ameongeza tax, ameondoa ruzuku kwenye mafuta maisha Yako Juu, anakopa na alisema hatokopa, anaomba Misaada ya Chakula Hadi Ukraine, mfumuko wa bei ndio usiseme nk..
Ujinga kama huu wa Upinzani ulifanyika hata Malawi kawaulize wamalawi kama Kuna nafuu Wamepata,the likes ya Zambia..
Ukiwasikiliza Chadema Huwa wanaota ila hawana strategy ya kile wanachoota, uje uwaulize watawatoa vipi Watzn kwenye umaskini kama wanavyodai wakati hawana hata sera inayoeleweka.
Toka nimeanza kuwasikiliza Chadema zaidi ya Katiba Mpya na mambo ya Majimbo hakuna jipya maana hizo political tools sio nyenzo za kuondoa watu kwenye umaskini..
Mwisho,ukiwasikiza ACT Wazalendo unaona content ila ukiwasikiza Chadema unaona ulalamishi na kuorodhesha matatizo ya Watzn bila suluhisho..
Watanzania stukeni mnafanyiwa ngazi za kutengenezea watu maisha.View attachment 2534398
Indonesia,Kenya,Uganda, Rwanda na kwingineko zinakofanya kazi bodaboda kwa majina tofauti tofauti nako ni laana?
Haya bwana Nabii wa Chadema na Machame!
Kwani uonngo? Nambie ni mtoto gani wa kiongozi anafanya kazi ya bodaboda? Wapeni vijana kazi za kufanya, si ujinga huu wa boda boda. Sidhani kama Lema kaishia hapo ametoa maelezo kwanini anasema ni laana! Bodaboda ni LAANA, mtoto wangu hapana!
Kwa hiyo Tanzania imeendelea?Amesema ukweli nchi zilizoendelea huwezi kuta bodaboda,
Lema yupo sahihi na kaongea ukweli acheni kukaza mafuvu yenu nyie wafuasi wa dhalimuKama Bodaboda ni laana,basi nchi nyingi Duniani zimelaaniwa.
Kenya kuna Bodaboda!
Uganda kuna Bodaboda.!
Rwanda kuna Bodaboda!
India ndiko zilikoanzia!
Philippines ziko Bodaboda!
Taiwan ziko Bodaboda!
Je!
Na huko wanaumizwa na Utawala wa CCM?
Je huko Canada alikotoka Lema, hakuna Maskini mitaani?
Tanzania ya viwanda inajengwa Kwa miaka 5 au 10?Tanzania ya viwanda iliishia wapi vijana wa nchi hii waache kufanya kazi za ajabu ajabu??
hivi wewe kwa akili yako unaona kuendesha pikipiki ni ajira sahihi ukizingatia risks za ajali na afya ya baadaye? Kwa nini upuuzi huu wa ajira ya bodaboda hauko katika nchi zilizoendelea? risky za kuendesha pikipiki kwa miaka muda mrefu unazijua?Hello!
Naona Lema ameanza Kwa gia ya matusi Kwa wanaojiita bodaboda..
Lema amesema bodaboda sio kazi ila ni laana..
Hivi hizi si ni dharau Kwa Vijana wa bodaboda? Yaani watu wanaendesha familia Kwa kazi hiyo halafu anakuja mtu anawadharau na kutukana eti wamelaaniwa?.
Nyie Wafuasi wa Chadema mnaposhabikia watu muwe mnajitambua. Hawa kina Lema wamekuwa wabunge hapo Arusha miaka 10, waliwafanyia nini cha maana?
Ujinga kama huu wa Chadema ndio kina Ruto walikuwa wanawadanganya Kunyaland badala yake hakuna Cha maana anafanya, ameongeza tax, ameondoa ruzuku kwenye mafuta maisha Yako Juu, anakopa na alisema hatokopa, anaomba Misaada ya Chakula Hadi Ukraine, mfumuko wa bei ndio usiseme nk..
Ujinga kama huu wa Upinzani ulifanyika hata Malawi kawaulize wamalawi kama Kuna nafuu Wamepata,the likes ya Zambia..
Ukiwasikiliza Chadema Huwa wanaota ila hawana strategy ya kile wanachoota, uje uwaulize watawatoa vipi Watzn kwenye umaskini kama wanavyodai wakati hawana hata sera inayoeleweka.
Toka nimeanza kuwasikiliza Chadema zaidi ya Katiba Mpya na mambo ya Majimbo hakuna jipya maana hizo political tools sio nyenzo za kuondoa watu kwenye umaskini..
Mwisho,ukiwasikiza ACT Wazalendo unaona content ila ukiwasikiza Chadema unaona ulalamishi na kuorodhesha matatizo ya Watzn bila suluhisho..
Watanzania stukeni mnafanyiwa ngazi za kutengenezea watu maisha.View attachment 2534398
Sio kweli kwamba walikodiwa kumpokea.na wale watu waliojaza uwanja walikodiwa pia?
Tanzania ya viwanda inajengwa Kwa miaka 5 au 10?
Kwaiyo mtu anayeongea ukweli unasema hana madini nyie wafuasi wa dhalimu hamna kitu kwa kichwaHuwa natamani sana kupata nafasi ya kumsaidia kijana mwenzangu. Ambaye ni wazi uelewa wake ni mdogo sana. Na ukosefu wa Elimu inaweza kuwa sababu.
Ukikaa ukamsikiliza Tundu Lissu unaona ana madini. Au Mnyika unamwona ana madini. But Lema....😂 Anaongea kwa hisia tu hana fact. Anabwabwaja tu kinachomjia.
Mbaya zaidi yeye anaamini ana akili. Yaani hapo ndo unachoka. Ni kama tu Joseph Mbillinyi naye uwezo wake mdogo katika kuongea. Huwa hana madini kichwani.
Mjaribu kumsaidia kuwa wakati mwingine ukinyamaza unaweza onekana una akili. If you talk too much you expose your weakness easily.
Hizo Nchi unazotaja Zina level sawa za Maendelea na Tanzania? Lema na Chadema wanaweza ondoa bodaboda barabarani wakiwa Viongozi?Vijana wanafanya bodaboda baada ya kukosa njia mbadala za kujitafutia vipato,
USA,CAnada,South Afrika,Dubai Kuna bodaboda?hakuna,sababu ni kwamba kijana anapata ajira yenye staha,ya kufanya,na kipato Cha kukidhi maisha yake.
Zamani kabla ya bodaboda hazijaanza kulikuwa na asekdo,usafiri wa baiskeli.
Hizi ni njia za kujiaptia vipato kwa watu kwenye nchi zenye ufukara na umaskini uliokithiri.
Hivi kweli usomeshe mtoto umtayarishe awe bodaboda!!
Ulaana wake unaanzia hapo,kazi Haina akiba ya nssf,Haina bima,wakubwa wakiamua hata mjini unazuiwa usiingie,
Niambie mtoto gani wa mkubwa anafanya hiyo kazi.
Kazi Haina mkataba wa kazi,unaweza ukafukuzwa wakati wowote.
Ni kazi ya hovyo sana,acha kuwaza kimaskini,uchumi wako inabidi ukue,Ili uachane na hiyo kazi,ufanya kazi ya Uber,umiriki teksi kadhaa,na logistic company,
Nina jamaa yangu,tulipotoka chuo,2010,tukapata kazi,yeye baada ya muda,akazichanga pesa yake akanunua kakorola mkweche,akazama zake Arusha,akasema Bora akafanye kazi ya kubeba watalii,na wageni,2020,tulipokutana tayari ameishasajiri kampuni yake ya tours,anakodisha gari zake tatu,salon cars,na Noah,inabidi uwaze hivyo,na huyu ni engineer,akiwa Hana kazi anapiga kazi za ufundi.
Sasa wewe umeingia kwenye bodaboda,hukuwa na mbadala mwingine,na kwanini mbadala wako baada ya kupigika iwe bodaboda?kwanini hukuenda USA,,au mgodini,au viwandani,ukampiga pesa ndefu kwa kazi za kubeba boksi,sababu ni kwamba hizo fulsa hazipo,hata passport huna,mifumo sio rafiki kwako,hukopesheki,ulaana wa bodaboda unaanzia hapo,na si bodaboda,hata ajira zingine kama kutembeza Karanga,kuuza aiskrimu,kuuza mahindi ya kuchoma,zote ni laana tu,kipato chini ya milioni 1.5,ni umaskini tu
Hizo Nchi ulizozitaja Zina miaka 60.kama Tanzania?Ni miaka 60 sasa tangu tupate uhuru na nchi iko chini ya CCM, mnataka mingine mingapi kufanikisha hiyo Tanzania ya viwanda??