Channel zipo nyingi zenye kuonesha hayo matukio ya lisu ni nguvu kukuta ni ipikama wewe mwenyew umeshindwa kutaja hiyo channel umeshapoteza point hapa
Hili ni tukio la kiuoga na kimkakati lenye lengo la kutoa utisho kwa CDM. Huku ofisi za kanda zinachomwa moto, huku msafara unapigwa mawe, kule tume inatoa kauli za kutaka kuwaengua baadhi ya wagombea ifikapo tarehe 25-08-2020 huku mlengwa akionekana wazi.Tukio la uvamizi wa msafara wa Lisu linatia kinyaa na limazidi kumchafua Magufuli na serikali yake.
Tukio hili linaongeza chuki na hasira kwa watanzania wanaoamini kuwa Magufuli ni dikteta, hana utu, mbabe na mshari.
Tukio hili linaongeza orodha ya matukio mabaya yaliyowahi kutokea nchi hii kama:-
Kupotea kwa Azory Gwanda na Ben Saanane, kushambuliwa kwa risasi kwa kamanda Tundu Lisu, e.t.c
Na wengine wengi.
Matukio haya yanazidi kumchafua JPM na serikali yake mioyoni na akilini mwa wapiga kura. Na hivyo wananchi wanamuona kuwa anaogopa kupambana naLisu jukwaani.
Kuiepuka balaa hii kipindi hiki Cha uchaguzi, Magufuli aachane na tabia ya kumuona Lisu kuwa ni adui. Ajielekeze kweye sera na ahadi zake.
Mangula nae atakua ameiga chadema tabia ya kujidhuru sio?
Ile sumu vipi alipona?
Tukio la uvamizi wa msafara wa Lisu linatia kinyaa na limazidi kumchafua Magufuli na serikali yake.
Tukio hili linaongeza chuki na hasira kwa watanzania wanaoamini kuwa Magufuli ni dikteta, hana utu, mbabe na mshari.
Tukio hili linaongeza orodha ya matukio mabaya yaliyowahi kutokea nchi hii kama:-
Kupotea kwa Azory Gwanda na Ben Saanane, kushambuliwa kwa risasi kwa kamanda Tundu Lisu, e.t.c
Na wengine wengi.
Matukio haya yanazidi kumchafua JPM na serikali yake mioyoni na akilini mwa wapiga kura. Na hivyo wananchi wanamuona kuwa anaogopa kupambana naLisu jukwaani.
Kuiepuka balaa hii kipindi hiki Cha uchaguzi, Magufuli aachane na tabia ya kumuona Lisu kuwa ni adui. Ajielekeze kweye sera na ahadi zake.
Nyinyi ni watutsi? - nafikitlri neno wahutu hujui maana yake! Ni kama watoto niliowasikia hapo zamani wanatukanana mmoja akasema - Vuladvostok, Java, Sumatra and Philippines islands!Tunawapeni salaam nyinyi wahutu kuwa cdm ikiingia madarakani lazima wahamiaji haramu wote mrudi kwenu Burundi
Na yale manati ya kwny kipago wameyafanyia subsitution method ili yawe mkabala wa mpunyenye uweze kusogezwa kwa kiwango cha ritcher.Wewe uko dunia gani? Maana tetemeko la 5.9 lilipopita Tanzania kishindo kililisika na kikaongelewa dunia nzima.
Hata mimi naamini hivyo na hata Lissu mwenyewe alilisema hilo kisheria.Ukishachukua fomu ya kugombea Urais, lazima jeshi la Polisi litoe Askari wa kukulinda...
Ni kweli hapendi kabisa ndio maana wanaoyafanya wamechukuliwa hatua za haraka na polisi wanafanya kazi usiku na mchan akuhakikisha haya matukio hayapo
Isitoshe polisi wanaongoza kukamata wapinzani kuliko kukamata wahalifu, hii nguvu wanapata wapi kama sio maagizo kutoka kwa boss
LaanaturahiMwenyekiti wa CCM huyu ni janga la taifa! Alaaniwe
Hujuma Kama hizi viongozi wa dini hawazioni wanasubiri jumapili ifike tuwapelekee sadaka zetu// kwa maisha haya yaliyoletwa na hiki chama jitu halifanyi kazi basi kemea hata uovu liko kiiiiimya linasubiri our hard erned money likanywee bia.Hili ni tukio la kiuoga na kimkakati lenye lengo la kutoa utisho kwa CDM. Huku ofisi za kanda zinachomwa moto, huku msafara unapigwa mawe, kule tume inatoa kauli za kutaka kuwaengua baadhi ya wagombea ifikapo tarehe 25-08-2020 huku mlengwa akionekana wazi, kule kesi za uchochezi zikishinikizwa kusikilizwa kwa haraka pasipo kuzingatia mazingira ya kisiasa ya sasa, kule vyombo vya dola na vya habari vikipewa maagizo ya kwenda kinyume na maadili yao ya kazi, muda ni mchache bali mambo ni mengi.
Watu hawaelewi tukimtupia lawama mwenyekiti, kimsingi yeye anapaswa kusema neno na haya yote yatakoma, too bad amejitia upofu lazima tuseme ameyabariki haya yatokee.Mwenyekiti wa CCM huyu ni janga la taifa! Alaaniwe
Hujapata taarifa kamili bado!Aliyekuwa Mbunge Arusha Mjini, Godbless Lema kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Twitter amesema msafara wa Tundu Lissu umevamiwa katika Ofisi za Chama hicho Wilayani Hai
Amesema "Msafara wa mgombea Urais Mh Tundu Lissu umevamiwa na kushambuliwa vibaya katika ofisi ya CHADEMA HAI,magari yame haribiwa. Mgombea Uraisi na Team yake wako salama. Polisi wako lakini wana shuhudia, mkutano umevunjika. Taarifa kamili kuwajia"
Na yale manati ya kwny kipago wameyafanyia subsitution method ili yawe mkabala wa mpunyenye uweze kusogezwa kwa kiwango cha ritcher.
Lkn sio mbaya mkuu maana circle ya kipaimara iko parallel kutokea usawa wa bahari kwenda kwny technical plates ambayo italeta Gamma Rays zenye tofauti ya +/- 0.7%View attachment 1537412
Una uhakika na Jambo unalozunguzwa!?, Au kichwa kimeshakaririshwa hivo!Wakamatwe na nani wakati anaetakiwa kuwakamata ndio amewatuma kushambulia