Lema ulifutiwa makosa na Rais Samia lakini unataka Pauline Gekul ang'ang'aniwe. Tabia za kubebana msipende maana zinaharibu mfumo

Lema ulifutiwa makosa na Rais Samia lakini unataka Pauline Gekul ang'ang'aniwe. Tabia za kubebana msipende maana zinaharibu mfumo

Kuna tetesi zinasema kuna wanyapara wako gerezani wanamsubiri Gekul kwa hamu ya hatari. Jamaa wamejiapiza Gekul ajipange kupigwa full pipe akitua tu gerezani.
Acheni uongo bhana....

Mngejua hali halisi ya magereza na mahabusu ilivyo msigeandika huu uongo.
 
Sitaki kuzungumzia kesi nyingi zilizokuwa zinamkabiri Lema. Ila nyingi ushahidi ulikuwa wazi.

Mfano uchochezi kule manyoni kuwa Serikali ilimuua kiongozi wa Chadema.

Lakini rais alimfutia kesi zake zoke.

Leo hii yeye analalama Gekuli kubebwa. Huu ni unafiki.👇

===
Alichoandika Godbless Lema "Mheshimiwa Rais SSH kuna mchezo unataka kufanywa Babati wa kutumia nguvu,fedha na ushawishi wenye hila ili kupotosha ukweli juu ya tukio lililofanywa na Mb Pauline Gekul. Najua una majukumu mengi, huwezi kuwa kila mahali kwa kufuatilia kila jambo.Lakini usiruhusu dhambi hii ya kijana kuingiziwa chupa ktk sehemu za siri ya haja kubwa ikashinda. Mungu atawachapa sana kwani yeye hadhihakiwi.Heshima kwako ni haki kushinda na sio image ya mtu."
Sasa uvccm hapa unamaanisha rais ndio anatoa hukumu ya mwisho kimahakama? Ww kama mwanaccm kindakindaki hili unaliona ni sawa?
 
Sitaki kuzungumzia kesi nyingi zilizokuwa zinamkabiri Lema. Ila nyingi ushahidi ulikuwa wazi.

Mfano uchochezi kule manyoni kuwa Serikali ilimuua kiongozi wa Chadema.

Lakini rais alimfutia kesi zake zoke.

Leo hii yeye analalama Gekuli kubebwa. Huu ni unafiki.👇

===
Alichoandika Godbless Lema "Mheshimiwa Rais SSH kuna mchezo unataka kufanywa Babati wa kutumia nguvu,fedha na ushawishi wenye hila ili kupotosha ukweli juu ya tukio lililofanywa na Mb Pauline Gekul. Najua una majukumu mengi, huwezi kuwa kila mahali kwa kufuatilia kila jambo.Lakini usiruhusu dhambi hii ya kijana kuingiziwa chupa ktk sehemu za siri ya haja kubwa ikashinda. Mungu atawachapa sana kwani yeye hadhihakiwi.Heshima kwako ni haki kushinda na sio image ya mtu."
Lema alifutiwa makosa ama tuhuma?
Rais anamamlaka ya kumfutia mtu makosa ama mahakama ndio inatangaza mtu hana hatia?
Huu upuuzi ndio nyie UVCCM mnafundishwa huko Ihemi?
Kwamba aliyetoka jela kwa kosa la kuua akikuta mtu anaua akae kimya kwakuwa naye aliua?
wewe ni mpuuzi kati ya vijana wapuuzi hapa Tanganyika.

#Upuuzi siyo tusi, ni kiwango cha juu cha ujinga.
 
Ilifaa ile chupa uingiziwe wewe.Mtafute Gekul haraka iwezekanavyo.
 
Sitaki kuzungumzia kesi nyingi zilizokuwa zinamkabiri Lema. Ila nyingi ushahidi ulikuwa wazi.

Mfano uchochezi kule manyoni kuwa Serikali ilimuua kiongozi wa Chadema.

Lakini rais alimfutia kesi zake zoke.

Leo hii yeye analalama Gekuli kubebwa. Huu ni unafiki.👇

===
Alichoandika Godbless Lema "Mheshimiwa Rais SSH kuna mchezo unataka kufanywa Babati wa kutumia nguvu,fedha na ushawishi wenye hila ili kupotosha ukweli juu ya tukio lililofanywa na Mb Pauline Gekul. Najua una majukumu mengi, huwezi kuwa kila mahali kwa kufuatilia kila jambo.Lakini usiruhusu dhambi hii ya kijana kuingiziwa chupa ktk sehemu za siri ya haja kubwa ikashinda. Mungu atawachapa sana kwani yeye hadhihakiwi.Heshima kwako ni haki kushinda na sio image ya mtu."

Nilikua najiuliza kamanda asiechoka nini hicho? Leo ndio nimepata jibu ww ni kamanda usiechoka kunyonya bolokoni
 
Kuna tetesi zinasema kuna wanyapara wako gerezani wanamsubiri Gekul kwa hamu ya hatari. Jamaa wamejiapiza Gekul ajipange kupigwa full pipe akitua tu gerezani.
Full pipe unamaanisha kotekote au sijakuelewa? Yaani 0784.... na 0713...
 
Sitaki kuzungumzia kesi nyingi zilizokuwa zinamkabiri Lema. Ila nyingi ushahidi ulikuwa wazi.

Mfano uchochezi kule manyoni kuwa Serikali ilimuua kiongozi wa Chadema.

Lakini rais alimfutia kesi zake zoke.

Leo hii yeye analalama Gekuli kubebwa. Huu ni unafiki.👇

===
Alichoandika Godbless Lema "Mheshimiwa Rais SSH kuna mchezo unataka kufanywa Babati wa kutumia nguvu,fedha na ushawishi wenye hila ili kupotosha ukweli juu ya tukio lililofanywa na Mb Pauline Gekul. Najua una majukumu mengi, huwezi kuwa kila mahali kwa kufuatilia kila jambo.Lakini usiruhusu dhambi hii ya kijana kuingiziwa chupa ktk sehemu za siri ya haja kubwa ikashinda. Mungu atawachapa sana kwani yeye hadhihakiwi.Heshima kwako ni haki kushinda na sio image ya mtu."
AKILI NDOGO NI SUMU YA MWILI, HATA NA WEWE NI GT? NAONA AIBU MIE
 
Vp kuhusu dogo kufumuliwa rinda

Atasaidiwaje

Ova
 
Sitaki kuzungumzia kesi nyingi zilizokuwa zinamkabiri Lema. Ila nyingi ushahidi ulikuwa wazi.

Mfano uchochezi kule manyoni kuwa Serikali ilimuua kiongozi wa Chadema.

Lakini rais alimfutia kesi zake zoke.

Leo hii yeye analalama Gekuli kubebwa. Huu ni unafiki.👇

===
Alichoandika Godbless Lema "Mheshimiwa Rais SSH kuna mchezo unataka kufanywa Babati wa kutumia nguvu,fedha na ushawishi wenye hila ili kupotosha ukweli juu ya tukio lililofanywa na Mb Pauline Gekul. Najua una majukumu mengi, huwezi kuwa kila mahali kwa kufuatilia kila jambo.Lakini usiruhusu dhambi hii ya kijana kuingiziwa chupa ktk sehemu za siri ya haja kubwa ikashinda. Mungu atawachapa sana kwani yeye hadhihakiwi.Heshima kwako ni haki kushinda na sio image ya mtu."
Hahahaha jambazi lema. Yaani huyu ni mchandomo hivyo ndivyo walivyofundiashwa
 
Sitaki kuzungumzia kesi nyingi zilizokuwa zinamkabiri Lema. Ila nyingi ushahidi ulikuwa wazi.

Mfano uchochezi kule manyoni kuwa Serikali ilimuua kiongozi wa Chadema.

Lakini rais alimfutia kesi zake zoke.

Leo hii yeye analalama Gekuli kubebwa. Huu ni unafiki.[emoji116]

===
Alichoandika Godbless Lema "Mheshimiwa Rais SSH kuna mchezo unataka kufanywa Babati wa kutumia nguvu,fedha na ushawishi wenye hila ili kupotosha ukweli juu ya tukio lililofanywa na Mb Pauline Gekul. Najua una majukumu mengi, huwezi kuwa kila mahali kwa kufuatilia kila jambo.Lakini usiruhusu dhambi hii ya kijana kuingiziwa chupa ktk sehemu za siri ya haja kubwa ikashinda. Mungu atawachapa sana kwani yeye hadhihakiwi.Heshima kwako ni haki kushinda na sio image ya mtu."
Ila kuna watu mnawaza kwa kutumia makalio badala ya ubongo,Samia amfutie makosa kiongozi, wa, upinzani!
Mbowe alipewa, kesi ya ugaidi! Na ccm ili asiwape moto kwenye siasa, hata mtoto wa std 1 anajua hili, ilikuwa kesi ya mchongo, ccm imeua, imeumiza, kwa kutumia polisi, na idara zake nyingine za, kijambazi. Unampa mtu kesi ya ugaidi, baadae inafutwa, harafu mtu huyo anakaribishwa Ikulu!
Mbona samia hajaenda hata kukaa na waliohukumiwa kunyongwa! Lakini ameweza kumkaribisha "gaidi" Ikulu, akili za, ccm kama wachawi,
 
Kama Lema alifutiwa Mashitaka hii inaleta tafsiri Gani kwenye Mifumo ya Mahakama Zetu?
 
Sitaki kuzungumzia kesi nyingi zilizokuwa zinamkabiri Lema. Ila nyingi ushahidi ulikuwa wazi.

Mfano uchochezi kule manyoni kuwa Serikali ilimuua kiongozi wa Chadema.

Lakini rais alimfutia kesi zake zoke.

Leo hii yeye analalama Gekuli kubebwa. Huu ni unafiki.👇

===
Alichoandika Godbless Lema "Mheshimiwa Rais SSH kuna mchezo unataka kufanywa Babati wa kutumia nguvu,fedha na ushawishi wenye hila ili kupotosha ukweli juu ya tukio lililofanywa na Mb Pauline Gekul. Najua una majukumu mengi, huwezi kuwa kila mahali kwa kufuatilia kila jambo.Lakini usiruhusu dhambi hii ya kijana kuingiziwa chupa ktk sehemu za siri ya haja kubwa ikashinda. Mungu atawachapa sana kwani yeye hadhihakiwi.Heshima kwako ni haki kushinda na sio image ya mtu."
Rais amepata wapi mamlaka ya kumfutia mtuhumiwa makosa? Ukiona hivyo jua ile ilikuwa ni kesi ya kisiasa ya kubambikiwa kama mashetani ya kijani yalivyozoea
 
Sitaki kuzungumzia kesi nyingi zilizokuwa zinamkabiri Lema. Ila nyingi ushahidi ulikuwa wazi.

Mfano uchochezi kule manyoni kuwa Serikali ilimuua kiongozi wa Chadema.

Lakini rais alimfutia kesi zake zoke.

Leo hii yeye analalama Gekuli kubebwa. Huu ni unafiki.👇

===
Alichoandika Godbless Lema "Mheshimiwa Rais SSH kuna mchezo unataka kufanywa Babati wa kutumia nguvu,fedha na ushawishi wenye hila ili kupotosha ukweli juu ya tukio lililofanywa na Mb Pauline Gekul. Najua una majukumu mengi, huwezi kuwa kila mahali kwa kufuatilia kila jambo.Lakini usiruhusu dhambi hii ya kijana kuingiziwa chupa ktk sehemu za siri ya haja kubwa ikashinda. Mungu atawachapa sana kwani yeye hadhihakiwi.Heshima kwako ni haki kushinda na sio image ya mtu."
We bopeless kweli lema alimkatili na kumnyanyasa kijinsia nani.

Huyo Gekul adhabu yake ni kunyongwa
 
Sitaki kuzungumzia kesi nyingi zilizokuwa zinamkabiri Lema. Ila nyingi ushahidi ulikuwa wazi.

Mfano uchochezi kule manyoni kuwa Serikali ilimuua kiongozi wa Chadema.

Lakini rais alimfutia kesi zake zoke.

Leo hii yeye analalama Gekuli kubebwa. Huu ni unafiki.[emoji116]

===
Alichoandika Godbless Lema "Mheshimiwa Rais SSH kuna mchezo unataka kufanywa Babati wa kutumia nguvu,fedha na ushawishi wenye hila ili kupotosha ukweli juu ya tukio lililofanywa na Mb Pauline Gekul. Najua una majukumu mengi, huwezi kuwa kila mahali kwa kufuatilia kila jambo.Lakini usiruhusu dhambi hii ya kijana kuingiziwa chupa ktk sehemu za siri ya haja kubwa ikashinda. Mungu atawachapa sana kwani yeye hadhihakiwi.Heshima kwako ni haki kushinda na sio image ya mtu."
Mashtaka ya mchongo lema angeshinda kesi asubuhi....ukiona unaumia nawe tukuwekee kitu kigumu unakalie
 
Sitaki kuzungumzia kesi nyingi zilizokuwa zinamkabiri Lema. Ila nyingi ushahidi ulikuwa wazi.

Mfano uchochezi kule manyoni kuwa Serikali ilimuua kiongozi wa Chadema.

Lakini rais alimfutia kesi zake zoke.

Leo hii yeye analalama Gekuli kubebwa. Huu ni unafiki.👇

===
Alichoandika Godbless Lema "Mheshimiwa Rais SSH kuna mchezo unataka kufanywa Babati wa kutumia nguvu,fedha na ushawishi wenye hila ili kupotosha ukweli juu ya tukio lililofanywa na Mb Pauline Gekul. Najua una majukumu mengi, huwezi kuwa kila mahali kwa kufuatilia kila jambo.Lakini usiruhusu dhambi hii ya kijana kuingiziwa chupa ktk sehemu za siri ya haja kubwa ikashinda. Mungu atawachapa sana kwani yeye hadhihakiwi.Heshima kwako ni haki kushinda na sio image ya mtu."
Kumbe Gekul kalipiza kisasi?
 
Back
Top Bottom