Mbona sikuelewi, hukupenda alivyokuwa treated ukiamini alionewa halafu unasikitika kwanini wamemuachia huru wakati huu!
 
Ilikuwa kesi ya kisiasa.
 

Aisee Judiciary System ya Tanzania iko very Corrupt huyu atatafutiwa njama za kuuawa huyu katesa na kuteka watu wengi sana tena kwa kutumia vitendea kazi vya Serikali !! This is not right something is wrong here
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…