Sijaoa malaya bro. Trust me. Sijaoa kwa sasa ila ndoa ni kitu cha msingi kuliko unavyofikiria awe ni bikra au si bikra.Mungu hana cha kupoteza yeye atamsamehe ila shida kwako uliyeoa malaya. A hoe is forever a hoe
Ingawa inauma lakini ni ukweli.Unaoa mwanamke ambaye ameshatumika, kuna watu wamemla bure miaka na miaka.
Ulivyo mjinga unafanya na sherehe kabisa ya harusi ukumbini ukila, kunywa, ukicheza na kumtambulisha malaya kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki uliowaalika ukumbini
Ulivyo mjinga kabla ya kuteketeza mamilioni ukumbini ulimlipia mahari kubwa na wazazi wake wakakukabidhi malaya? Kweli hii ni akili au matope?
Kabla ya harusi unamnunulia malaya wedding gown, viatu na gharama ya salon apendeze siku ya harusi. Wewe ni mwanamume mjinga
Unapanga mipango ya harusi na kuwachangisha wadau ili uoe mwanamke ambaye bado kuna watu wanamla free kabla ya ndoa na baada ya ndoa wataendelea kummega kisela
Kuna ile mibwege siku ya engagement inawavalisha pete wanawake used na kama haitoshi wanampigia magoti malaya na kusema "please with this ring my love I'm giving you my heart." Kweli malaya wa kumpigia magoti?
Kama umemkuta ameshatumika kwa nini upoteze mamilioni kwa ajili yake? Hebu wanaume tushtuke
Iko hivi nyie mliooa kwa gharama huyo mwanamke ulijisumbua na kupoteza pesa zako bure
Huyo mkeo ni malaya she's cheap ndio maana amelala na wanaume wengine bure au kwa gharama ndogo kabla yako na wahuni hawakutoa hayo mamilioni, tena wamemmega kwenye nyumba za wageni za kawaida sana
Wewe kwa ujinga na kiherehere chako eti umeenda kulipia honeymoon kwenye hotel kubwa. Una akili kweli?
If she slept with other men for free should be offered for free
Hana thamani hata Fungu la Dagaa linamzidiKwamba malaya ana thamani?
Mfano tumzungumzie binti ambaye alianza kuliwa tangu primary, seco mpaka chuo, kazini na mitaani thamani yake iko wapi ukimuoa?
Hata mimi naonaga kama ni Ushamba tuMwanamume ndiye anayeoa sio mwanamke
Mmwanamke kama ameshatumika ni used
Cha ajabu wanetu wanatumia gharama kubwa sana kuweka ndani mwanamke ameshapigwa sana miti na bado ataendelea kupigwa miti
Mwanamme kutolea macho sana mwanamme mwenzako anavyooa, na wewe unaweza kuolewa.Unaoa mwanamke ambaye ameshatumika, kuna watu wamemla bure miaka na miaka.
Ulivyo mjinga unafanya na sherehe kabisa ya harusi ukumbini ukila, kunywa, ukicheza na kumtambulisha malaya kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki uliowaalika ukumbini
Ulivyo mjinga kabla ya kuteketeza mamilioni ukumbini ulimlipia mahari kubwa na wazazi wake wakakukabidhi malaya? Kweli hii ni akili au matope?
Kabla ya harusi unamnunulia malaya wedding gown, viatu na gharama ya salon apendeze siku ya harusi. Wewe ni mwanamume mjinga
Unapanga mipango ya harusi na kuwachangisha wadau ili uoe mwanamke ambaye bado kuna watu wanamla free kabla ya ndoa na baada ya ndoa wataendelea kummega kisela
Kuna ile mibwege siku ya engagement inawavalisha pete wanawake used na kama haitoshi wanampigia magoti malaya na kusema "please with this ring my love I'm giving you my heart." Kweli malaya wa kumpigia magoti?
Kama umemkuta ameshatumika kwa nini upoteze mamilioni kwa ajili yake? Hebu wanaume tushtuke
Iko hivi nyie mliooa kwa gharama huyo mwanamke ulijisumbua na kupoteza pesa zako bure
Huyo mkeo ni malaya she's cheap ndio maana amelala na wanaume wengine bure au kwa gharama ndogo kabla yako na wahuni hawakutoa hayo mamilioni, tena wamemmega kwenye nyumba za wageni za kawaida sana
Wewe kwa ujinga na kiherehere chako eti umeenda kulipia honeymoon kwenye hotel kubwa. Una akili kweli?
If she slept with other men for free should be offered for free
Kawasha moto wa petroli.Umetingisha meza ya waliooa na kuolewa,ngoja waje
Haifuti ukweli wa kuwa umeoa malayaMwanamme kutolea macho sana mwanamme mwenzako anavyooa, na wewe unaweza kuolewa.
Wewe fanya kivyako, acha wenzako wafanye kivyao.
Ushamba uliopitiliza mkuuHata mimi naonaga kama ni Ushamba tu
Thamani aitolee wapiHana thamani hata Fungu la Dagaa linamzidi
Sijasema popote kuwa lazima tuoe bikiraSijaoa malaya bro. Trust me. Sijaoa kwa sasa ila ndoa ni kitu cha msingi kuliko unavyofikiria awe ni bikra au si bikra.
Kikubwa awe submissive na mwanaume aishi kama mwanaume.
Ubikra haudetermine ndoa kudumu au kuwa na thamani. Ni wote , mwanamke na mwanaume kufanya kazi ndoa isimame, bila reciprocation hakuna ndoa.
Kwani alikuambia kwamba hataki kuoa malaya?Haifuti ukweli wa kuwa umeoa malaya
Bwana mdogo tafuta pesa ili uache kujliza liza kama Msimbe.Moja kwa moja kwenye mada.
Jana wakati naingia ofisini nakuta kadi ya mchango wa harusi mezani nikaambiwa na mfanyakazi mwenzangu kuwa ni yangu.
Nafunua ndani nakuta haina hata jina Iko plain na wanaooana siwajui. Nikamuuliza yule mfanyakazi mwenzangu vipi mbona haina jina? Akasema wewe andika jina lako kadi kasambaza mama mmoja wa pale canteen mtoto wake anaoa.
Nilimuuliza ni mama yupi? Akanipa maelezo kuhusu huyo mama bado sijamjua, yawezekana tunaonana tu ila ndo vile simjui.
Niliwaza nikagundua kuwa huyu mama ananifahamu kidogo tu ndio maana hata jina langu kashindwa kuandika kwenye hii kadi. Nikamuuliza yule dada kwanini huyu mama atoe kadi kiholela? Mada ikaiashia hapo.
Hivi watu kama hawa ukiwaita wajinga unakosea? Kwanini mtu asifanye sherehe kwa kipato chake?
Kuwachangia mamilioni vijana kisha kuwafanyia sherehe kubwa baadaye wanaishi maisha ya kuungaunga na kuanza kutafuta ajira ni sawa na kusema walianza maisha ya fahari kisha wakaishi maisha ya kimaskini.
Binafsi michango ya hharusi na send off nachanga ila naangalia ni nani namchangia.
Ndoa nilifungia kwa DC Ilala kuepuka kashkashi zisizo na sababu. Nitaanza vipi kumdai mtu nisiyemkopesha? Maana kukusanya michango vita yake ni kama unamdai mtu.
Kijana anza maisha kwa level yako kisha pambana, inuka. Ukiwa na pesa utaweza kufanyia harusi hata Juu ya puto kwenye hifadhi ya Tarangire au Serengeti na watu watakuzawadia mamilioni mengi.
Mimi kijana akija kwangu na wazo zuri la kumwinua nawiwa kumsaidia. Nimetoa support kwa vijana kadhaa mitaani, hata hapa JF nilianzisha kamchezo nilianza kutoa mitaji midogomidogo rejea account yangu ya zamani niliyopigwa ban ya BONDE LA BARAKA.
Mimi naungana na Hoja yako 100%Thamani aitolee wapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila watu kha!Eheheheh
Hatari.
Unanikumbusha mwamba wa Ukonga aliyeweka X nyekundu picha ya kaka yake na kupita kukusanya shekeli.
Alipata nyingi mwishowe bro akatonywa kilitembea kichapo