Jibu sahihi sanaMkuu,
Ni labda tu hujasoma vzuri.
Hapo juu hakuna sehemu inayosema kwamba hatutaachana ila nina enjoy moment zote nazopitia katika maisha yangu.
wewe huoni raha kuamka asubuhi mke anakuandalia maji ya moto na baridi hili ankuandalia chai mnapeleka mtoto shule baada ya hapo mnaondoka kwenye mishe mishe zenu?
suala la kuachana hakuna anayejua ila tunaishi moment ambayo ipo siwezi ku-control vitu ambavyo sijui itakuaje.
Mkuu wewe umeshaoa?
Hongera kwa kupata sehem bora zaidi lkn kataa ndoa bado tunayo ulipo bahatika Leo kwa wengine bado kigumu simama ulipoWale wa kataa ndoa watakuja kukujibu, hongereni sana upendo uendelee
Mkuu ulitaka kumjibu mleta uzi ama ni mimi?Hongera kwa kupata sehem bora zaidi lkn kataa ndoa bado tunayo ulipo bahatika Leo kwa wengine bado kigumu simama ulipo
Nadhani itakua ujumbe umemfikia mleta Uzi hivyo imepita kwako mtoa hojaMkuu ulitaka kumjibu mleta uzi ama ni mimi?
💯Aaaaaah we bado hujanishawishi hapa mwanzo mwisho kishundu kwa kishundu makasiriko tunayakaribisha kifo kiaribie
Bila kusahau tumeungana team kataaa❤️😂
Dah Lenie ujue nili taka tuungane, ili tufutane machozi😃
Hahaa si ndioBila kusahau tumeungana team kataaa❤️😂
Mwisho mbaya uku tunapoenda kwani humu hakuna wafuta machozi😂Hahaa si ndio
Kitu kizito hiki chief ushapigwa🤔Best umechelewa tu kidogo 🤣
Dah, pole maisha lazima yaendelee. Kama mlijaliwa watoto hakikisheni hawathiriki sana na utengano wenu.Mimi hata sikuelewa kwakwel alianza mabadiriko ya vificho tu nikambana sanaaa mwisho yakamshinda akafunguka tuachane amepata mtu sahih, nikaridhia akaenda.
Sasa miaka 15 ameishi na mimi hakuwa hujua kama mimi siyo sahih ila ndani ya muda mchache tu alipoanza usaliti akaconfirm/akanitambia uko nje ndo kuna watu sahih sikua na cha kumshauri tena maana tumeish tukifundishana mengi nikaona kumbe wanawake ni vilaza tu sikutumia nguvu tena kama mbuzi tu nikamfungulia kamba zizini aende apendako.
Haimanishi hakuna mikwaruzano La hasha!Bado mko kwenye grace period
Mkuu samahani,
Ungejifunza kwanza uandishi wa kutumia S badala ya X alafu ndo yafuate mambo makubwa ya ndoaSion uby kumxfia mke wake na isitoshe jamii sahv watu weng wanafany sana zinaa kisingizio ndoa ni shida. acha tujifnze