This logical fallacy is called logical non sequitur.Kama uko sawa kwa mtoto kufanya anachofanya huyo binti uko sawa na unachoamini
Uzi unamuhusu lilian penda kujikita kwenye uziSojadili Lilian Lema. Najadili dhana ya mtu binafsi kuachiwa awe huru kuamua mambo yake binafsi kwenye maisha yake.
Ila, watu wenye fikra fupi hawawezi kujua tofauti.
Huyo jamaa ni mjinga sana ndo maana nimemwambia uhuru unamipaka dunian kotekabisaa. Kila jamii ina utamaduni wake ,hiyo ndio miongozo na maadam wewe ni mwanajamii hizo ndio benchmark za ku judge kile umachoofanya kama ni sahihi au lah.
Kama unafikiri unaweza ukajiamulia tu mambo kisa ni maisha yako binafsi, kavutie bangi kituo cha polisi.
NDio maana kuna sheria , kanuni na taratibu kama miongozo kwwnye jamii yoyote ile.
Kwa maadil yanayopatana na utamaduni wetu, anachofanya huyo binti sio sahihi
🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅😅😅kajiajiri kama kungwi mtandaoni anafundisha watu jinsi ya kupigana miti.
I hope binti yako unae msomesha EM atakuja kuwa kungwi. All the best. Najua kimoyomoyo unasema " shindwa "Mbona hao mashangazi kibao hamuwadiscuss?Ukiona wanababa na ndevu zenu mnamdiscuss kaja kivingine!Ana Kitu
Hii logical fallacy inaitwa "argument from tradition".kabisaa. Kila jamii ina utamaduni wake ,hiyo ndio miongozo na maadam wewe ni mwanajamii hizo ndio benchmark za ku judge kile umachoofanya kama ni sahihi au lah.
Kama unafikiri unaweza ukajiamulia tu mambo kisa ni maisha yako binafsi, kavutie bangi kituo cha polisi.
NDio maana kuna sheria , kanuni na taratibu kama miongozo kwwnye jamii yoyote ile.
Kwa maadil yanayopatana na utamaduni wetu, anachofanya huyo binti sio sahihi
Kasema atamwacha hawezi muingilia ni mamauzi yakeI hope binti yako unae msomesha EM atakuja kuwa kungwi. All the best. Najua kimoyomoyo unasema " shindwa "
😂😂😂Utafikiri muda wote wanabalehe,Kwa hiyo ni kwenda nao sawa tuUnajua darasa la Saba wanawachukia Sana wasomi.
Wakiwa kungwi hawataki
Wakiwa saidia FUNDI na wachoma mahindi hapo ndo wanasema safi Sana.
😁😁😁😁 waache Dada apige pesa maana taifa la watu wanaowaza ngono 24/7 unabidi uwaletee content zao zinazo match na akili zao
Kama kawaida yako umehamisha magoliHii logical fallacy inaitwa "argument from tradition".
Ungeshikilia hii kanuni, hata kusoma na kuandika usingejua.
Maana jamii zetu zilikuwa na utamaduni wa hadithi na nyimbo, hatukuwa na utamaduninwa kusoma na kuandika.
Wewe kuwapo hapa JF na kuandika tu ninushahidi kwamba hata wewe hufuatilii kanuni yako ya "kwenda na utamaduni wetu".
Unaitumia hoja hii kama geresha tu, whether unajua hilo au hujui.
Na bahati nzuri hiyo mipaka huiweki wewe. Ungeiweka wewe dunia ingekuwa iko nyuma sana kimaendeleo.Uzi unamuhusu lilian penda kujikita kwenye uzi
Kila mtu ana uhuru wa kuamua mambo yake ila ana mipaka binadamu hana uhuru huo ambao unataka kuaminisha watu
🙌🏽🙌🏽 tutakutana baada ya mwezi mtukufu 😁😂😂😂Utafikiri muda wote wanabalehe,Kwa hiyo ni kwenda nao sawa tu
Kuna sehemu nimesema naweka mipaka ebu nionyesheNa bahati nzuri hiyo mipaka huiweki wewe. Ungeiweka wewe dunia ingekuwa iko nyuma sana kimaendeleo.
Wewe ndiye una fikra fupi hujui kufuatilia mada kimantiki, nikizama kwa kina kimantiki, unaona nimehamisha magoli.Kama kawaida yako umehamisha magoli
Angefanya huo ukungwi bila elimu unadhani angekuwa talk of the the town?anakulia bundle hapa uko busy kumdiscussMkuu, Unachanganya vitu viwili kaka. Hapa hoja ya mtoa mada haihusiani chochote na suala la uhuru wa mtu.
Hoja ya mtoa mada ni kuhusu ubovu wa elimu ya Tanzania.
Mtoa mada anasema kwamba elimu ya Mtanzania haimuandai mwanafunzi kukabiliana na changamoto mpya ( za sasa hivi) wala haimpi mwanafunzi uwezo wa kutatua changamoto zilizopo katika jamii yake.
Amemtolea huyo mdada kama case study kwamba pamoja na wazazi wake kutumia mamilioni ya hela kumsomesha kwenye shule za gharama kuanzia chekechea hadi chuo kikuu lakini ameishia kuwa kungwi kazi ambayo angeweza kuifanya hata bila kusoma English Medium wala kufika chuo kikuu.
So mtoa mada anasema kuliko kupoteza mamilioni kumlipia mtoto shule za English Mediums ni bora umuache aisome tu shule za serikali ambazo elimu inatolewa bure kwa sababu there is no point paying a millions to someone only for her to end up being a hoe( literally)...
So mtoa mada anatumia uhuru wake wa kutoa maoni yake kwa watanzania wenzake bila kuathiri uhuru wa huyu binti ame amua kuwa hivyo alivyo amua kuwa
Hiyo umesema wewe mtu yeyote mwenye akili timamu akisoma conversation yangu mimi na wewe ataona wewe ndo kilazaWewe ndiye una fikra fupi hujui kufuatilia mada kimantiki, nikizama kwa kina kimantiki, unaona nimehamisha magoli.
Kwa sababu huna uwezo wa kufanya fikra ndefu kimantiki.
Kifupi Binti kawashangaza,hawakutegemea.Kosa lake hapo ni kwamba mwanamke kathubutu kujionesha mitandaoni kinyume na mategemeo ya mfumodume ambao umemfanya mwanamke kuwa ni mtu tegemezi, asiye na uthubutu, anayejifunikafunika.
Sasa huyu kaja ana confidence, amejitengenezea ajira, anatumia teknolojia, anafundisha mambo ya chumbani.
Wanaume wanaopenda mfumodume wanatishika na wanawake kama hawa.
Huo ndio mzizi wa tatizo. Hayo mengine geresha tu.
Wewe kipofu hata magoli huyajui.Kuna sehemu nimesema naweka mipaka ebu nionyeshe
Ndo maana nimekuambia Wewe ni bingwa wa kuhamisha magoli
Huna masha yako ndo maana ukifa watu wanakubeba wanakuchimbia kaburi, wanaenda kukuzika au ulivyokua mdogo ulikua unajinyea watu wanakutawadhaAngefanya huo ukungwi bila elimu unadhani angekuwa talk of the the town?anakulia bundle hapa uko busy kumdiscuss
Jamani iishe haraka mumuone mtoto mzuri akitoa Somo kidhungu😂🙌🏽🙌🏽 tutakutana baada ya mwezi mtukufu 😁