Lini Viwanja vinavyomilikiwa na CCM vitakuwa chini ya umiliki wa Serikali Kuu au Halmashauri husika?

Lini Viwanja vinavyomilikiwa na CCM vitakuwa chini ya umiliki wa Serikali Kuu au Halmashauri husika?

Naunga mkono hoja...na sasa bila kusita serikali ianze kufikiria kuwa na viwanja vya kisasa kwenye kanda zote za Tanzania na ikiwezekana tuombe haraka iwezekanavyo kuandaa kombe la Africa kwa mara ya kwanza , ndani ya utawala wa awamu ya tano..inawezekana tukiamua.."Hapa kazi tu"
kabisa, ccm waturudushie viwanja vyetu
 
Kuna shabiki wa CCM nadhani ndio wale wale anaudanganya Umma wa Watanzania Eti CCM mali zake ni michango ya wanachama wake.Binafsi sikubali nae .
Je ni kweli kuwa Kodi za wanachama wa CCM ndio zimejenga hivyo viwanja namajumba? Karibuni tujadili.
 
we unadhani hata tukisema ni kodi za wanachi unadhani ccm ndo watarudisha hizo mali
ccm ni wezi namba moja nchini na wao ndo wamefanya hii nchi kuwa masikini na maomba omba wa kutupwa
tutayalaani makaburi ya milele
 
Hodi wana JF. Kwanza ya yote nipende kutoa pole kwa watanzania wote kwa ajali na maafa ambayo yametokea hivi karibuni nchini, hasa watoto wetu wa shule ya Lucky Vicent.

Naomba mwenye uelewe huu anisaidie kuhusu viwanja vya mpira nchini na mali zingine ambazo mwingine yeyote anaweza kuzitaja, mimi nimekuwa mhanga wa swali kuu moja, kabla ya mwaka 1992 nchi yetu tanzania ilikuwa inaongozwa na mfumo wa chama kimoja kwa mjibu wa historia. Sasa najiuliza wakati huo chama kimoja hicho (TAA=TANU=CCM) kiliwezaje kutofautisha kati ya mali za umma na za kwake? Mfano
1. Sokoine stadium = mbeya ni uwanja wa mpira wa chama cha CCM,
2. CCM Kirumba - Mwanza,
3. Stand united
4. LakeTanganyika stadium - Kigoma,
5. Majimaji stadium - Songea, na vingine vingi, vyote vinamilikiwa na CCM.

Je CCM waliwezaje kutofautisha mali hizi, ili kujua kwamba ni zao walitumia logic gani wakati huo ambao wananchi wote walikuwa waumini wa chama kimoja? Je baada ya mfumo wa vyama vingi kwa nini hawakuita ni mali ya umma?
 
nikusahihishe kdgo tu, stand united ni timu na sio uwanja

sawa mkuu,
uwanja unaitwa CCM Kambarage Stadium
 
Tunasubiri Rais kutoka chama kingine tofauti na ccm apore viwanja vyote arudishe serikali au halmashauri,
 
CCM wananyang'anya watu maeneo yao kupitia mgongo wa serikali kujitaftia kura 2020,Wengine kesi ziko mahakamani lakini wao hawajali, wanalipa visasi kutuliza makovu yao ya kisiasa.

Sasa nao warudishe viwanja vyote wanaomiliki ambayo kiasili na kiuhalali ni Mali za uuma. Vipo viwanja vingi vya mpira wa miguu wanamiliki CCM vinajiotea nyasi havijaendelezwa.

CCM wanasahau kua hata Ofisi yao ya Lumumba wanayomiliki ilikua Ofisi ya TANU ambayo ilijengwa kwa jasho la watanzania wote, kiuhalali sio ofisi yao lakini wanajimilikisha kwa mambavu.

Ukifuatilia Yale maeneo yote upanga ya umoja wa vijana yanayojengwa maghorofa chanzo cha umiliki ni miikono ya umma na sio Mali ya chama.

Tuseme kuwa iko siku haya wanayoyafanya yatawaliza, ni suala la muda tu.
 
CCM wananyang'anya watu maeneo yao kupitia mgongo wa serikali kujitaftia kura 2020,Wengine kesi ziko mahakamani lakini wao hawajali, wanalipa visasi kutuliza makovu yao ya kisiasa.

Sasa nao warudishe viwanja vyote wanaomiliki ambayo kiasili na kiuhalali ni Mali za uuma. Vipo viwanja vingi vya mpira wa miguu wanamiliki ccm vinajiotea nyasi havijaendelezwa.

CCM wanasahau kua hata Ofisi yao ya Lumumba wanayomiliki ilikua Ofisi ya TANU ambayo ilijengwa kwa jasho la watanzania wote, kiuhalali sio ofisi yao lakini wanajimilikisha kwa mambavu.

Ukifuatilia Yale maeneo yote upanga ya umoja wa vijana yanayojengwa maghorofa chanzo cha umiliki ni miikono ya umma na sio Mali ya chama.

Tuseme kua iko siku haya wanayoyafanya yatawaliza, ni suala la muda tu.
mleta umbea anatumia akili ya kushikiwa
 
CCM wananyang'anya watu maeneo yao kupitia mgongo wa serikali kujitaftia kura 2020,Wengine kesi ziko mahakamani lakini wao hawajali, wanalipa visasi kutuliza makovu yao ya kisiasa.

Sasa nao warudishe viwanja vyote wanaomiliki ambayo kiasili na kiuhalali ni Mali za uuma. Vipo viwanja vingi vya mpira wa miguu wanamiliki ccm vinajiotea nyasi havijaendelezwa.

CCM wanasahau kua hata Ofisi yao ya Lumumba wanayomiliki ilikua Ofisi ya TANU ambayo ilijengwa kwa jasho la watanzania wote, kiuhalali sio ofisi yao lakini wanajimilikisha kwa mambavu.

Ukifuatilia Yale maeneo yote upanga ya umoja wa vijana yanayojengwa maghorofa chanzo cha umiliki ni miikono ya umma na sio Mali ya chama.

Tuseme kua iko siku haya wanayoyafanya yatawaliza, ni suala la muda tu.
Any way, hatujui hati ya umilikaji wa hilo jengo Lumumba iko vipi. Lakini sina uhakika kama hapa Baba wa Taifa alicheza mchezo usio julikana. Namwamini sana yule jamaa.

Kitu tunacho weza fanya ni kuwa omba wahusika wa CCM, watoe maelezo ya umiliki wa hilo jengo. Katika demokrasia na haki wananchi kuhoji hilo "I think!"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
chadema wanashughulika na mali za ccm.wakati wao wana banda la kuku.Tafuteni na nyinyi maeneo makubwa mtumie nguvu za wanachama kujenga mnapitwa na wakati
 
CCM wananyang'anya watu maeneo yao kupitia mgongo wa serikali kujitaftia kura 2020,Wengine kesi ziko mahakamani lakini wao hawajali, wanalipa visasi kutuliza makovu yao ya kisiasa.

Sasa nao warudishe viwanja vyote wanaomiliki ambayo kiasili na kiuhalali ni Mali za uuma. Vipo viwanja vingi vya mpira wa miguu wanamiliki ccm vinajiotea nyasi havijaendelezwa.

CCM wanasahau kua hata Ofisi yao ya Lumumba wanayomiliki ilikua Ofisi ya TANU ambayo ilijengwa kwa jasho la watanzania wote, kiuhalali sio ofisi yao lakini wanajimilikisha kwa mambavu.

Ukifuatilia Yale maeneo yote upanga ya umoja wa vijana yanayojengwa maghorofa chanzo cha umiliki ni miikono ya umma na sio Mali ya chama.

Tuseme kua iko siku haya wanayoyafanya yatawaliza, ni suala la muda tu.
Sio kosa kwa CCM kuwa na mali ilizojengewa na kupewa na Wanachama wake tangu kipindi cha Awamu ya kwanza na ya Pili. Nisema tu na mimi nikiwa Mwanachama wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Tulifanya harambee na Misaragambo mingi tukijenga ofisi za Chama na Viwanja vya Chama. Hata uwanja wa Jamhuri pale Morogoro nakumbuka tukiwa chipukizi tulienda kuwahamasisha wenzetu katika ukejenzi wake. Leo nikiona mtu tena ninyi vijana wadogo mnashabikia wapotoshaji wanaodai CCM irudishe mali zake kwa kigezo kuwa ni za umma nawashangaa sana kwani mnachofanyiwa ni kuwamis-inform. Kwani the so called "wananchi walijenga" ukweli wake ni wanachama wa Tanu,Afro shiraz na baadaye CCM ndio waliokuwa wakijitolea kujenga. Ikumbukwe mbali ya kuwa ilikuwa Chama kimoja bado kulikuwa na waliopinga na walikwepa kushiriki katika ujenzi wa miradi hii ya chama.

Tulipoingia kwenye mfumo wa vyama vingi ilikuwa ni hiyari Mtanzania uchague kubaki kwenye chama ambacho tayari kina mfumo na miundombinu ama uende kwenye chama kipya kinachoanza na kutafuta kujiimarisha na kujenga miundombinu yake. Hivyo wengi wanaolalamika ni hao ambao hawaweki kipaumbele kujenga miundombinu hata kwa kuwahamaaisha wanachama wake ili wajitolee. Wao fedha wanayopata inachorewa slogan na kupiga hela zizame.mifukoni mwa viongozi huku wanachama.mkikosa majibu ya msingi juu ya maendeleo ya vyama vyenu
 
Sio kosa kwa CCM kuwa na mali ilizojengewa na kupewa na Wanachama wake tangu kipindi cha Awamu ya kwanza na ya Pili. Nisema tu na mimi nikiwa Mwanachama wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Tulifanya harambee na Misaragambo mingi tukijenga ofisi za Chama na Viwanja vya Chama. Hata uwanja wa Jamhuri pale Morogoro nakumbuka tukiwa chipukizi tulienda kuwahamasisha wenzetu katika ukejenzi wake. Leo nikiona mtu tena ninyi vijana wadogo mnashabikia wapotoshaji wanaodai CCM irudishe mali zake kwa kigezo kuwa ni za umma nawashangaa sana kwani mnachofanyiwa ni kuwamis-inform. Kwani the so called "wananchi walijenga" ukweli wake ni wanachama wa Tanu,Afro shiraz na baadaye CCM ndio waliokuwa wakijitolea kujenga. Ikumbukwe mbali ya kuwa ilikuwa Chama kimoja bado kulikuwa na waliopinga na walikwepa kushiriki katika ujenzi wa miradi hii ya chama.

Tulipoingia kwenye mfumo wa vyama vingi ilikuwa ni hiyari Mtanzania uchague kubaki kwenye chama ambacho tayari kina mfumo na miundombinu ama uende kwenye chama kipya kinachoanza na kutafuta kujiimarisha na kujenga miundombinu yake. Hivyo wengi wanaolalamika ni hao ambao hawaweki kipaumbele kujenga miundombinu hata kwa kuwahamaaisha wanachama wake ili wajitolee. Wao fedha wanayopata inachorewa slogan na kupiga hela zizame.mifukoni mwa viongozi huku wanachama.mkikosa majibu ya msingi juu ya maendeleo ya vyama vyenu

Una hoja hata mimi nakubali. Ujue kwanini watu wanaona umiliki wenu wa hizo mali ni ubabe zaidi kuliko uwezo wenu. Zaidi ya 70% ya mali mnazomiliki zilipatikana kabla ya mfumo wa vyama vingi. Iweje msiwe na miradi mikubwa mingi baada ya mfumo wa vyama vingi ukilinganisha na huko nyuma? Hiyo inaleta picha kwamba uwezo wenu ulitokana na nguvu za wote enzi za chama dola.
 
Aisee Chadema kweli akili zimewaruka haya yarudisheni na magari yote ya chadema serikalini kwa kuwa yamenunuliwa kwa pesa za watanzania wote walipa kodi Mlizopewa Kama ruzuku kwa nini myahodhi na kuyatumia peke yenu? Tukiwaambia chadema hamna akili mtabisha.
Umo kati ya wale wapumbavu waliotajwa na JPM!!
 
Back
Top Bottom