fakenology
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 999
- 672
Nimejaribu kufikiri jinsi ccm ilivyo zulumu kibabe mali zetu zikiwemo viwanja vya mpira kama ccm kirumba mali hizi tulichangishana enzi zile za chama kimoja,na sasa ni wengi tu si wafuasi tena wa vyama vya siasa na ccm kwa kutenda haki nashauri rudisheni serekalini mali zote.
wewe unachekesha kweli. Ccm ni ya wananchi na si kama ilivyo kwa mtei na cdm. Kama unataka mali kwani ccm imekunyima kuwa mwanachama umekimbia mwenyewe, ccm itabaki kuwa ya wananchi maishani, nenda kaulize zile mia mia mlikuwa mnachangia mboye aruke na chopa mkisema mnajenga chama, ccm milele itabakia kuwa ya wananchi. Utakufa utaiacha, wananchi wataendelea kuikuza, ccm daima chama cha wananchi.
hivi mtu akikiambia nyumbani bila kufukuzwa akawacha wenzake(baba, mama, na wenzake) akaenda kujenga kwake, mara anakuja nasema nataka mali zangu atapewa?? Ujafukuzwa kama unataka mali njoo tuiendeleze,
Nimejaribu kufikiri jinsi ccm ilivyo zulumu kibabe mali zetu zikiwemo viwanja vya mpira kama ccm kirumba mali hizi tulichangishana enzi zile za chama kimoja,na sasa ni wengi tu si wafuasi tena wa vyama vya siasa na ccm kwa kutenda haki nashauri rudisheni serekalini mali zote.
Akili za kuambiwa hizi ni shida. Na huko bavicha/chadema ziko nyingi kweli, kwanini hamtumii hata akili kidogo tu
nyie wachaga??? MALI ZAKO si unazo mwenyewe au?? Au unatangaza biashara kistaili flani???
Nimejaribu kufikiri jinsi ccm ilivyo zulumu kibabe mali zetu zikiwemo viwanja vya mpira kama ccm kirumba mali hizi tulichangishana enzi zile za chama kimoja,na sasa ni wengi tu si wafuasi tena wa vyama vya siasa na ccm kwa kutenda haki nashauri rudisheni serekalini mali zote.
wewe unachekesha kweli. Ccm ni ya wananchi na si kama ilivyo kwa mtei na cdm. Kama unataka mali kwani ccm imekunyima kuwa mwanachama umekimbia mwenyewe, ccm itabaki kuwa ya wananchi maishani, nenda kaulize zile mia mia mlikuwa mnachangia mboye aruke na chopa mkisema mnajenga chama, ccm milele itabakia kuwa ya wananchi. Utakufa utaiacha, wananchi wataendelea kuikuza, ccm daima chama cha wananchi.
this termUkoo wa panya ni balaaa
wewe unachekesha kweli. Ccm ni ya wananchi na si kama ilivyo kwa mtei na cdm. Kama unataka mali kwani ccm imekunyima kuwa mwanachama umekimbia mwenyewe, ccm itabaki kuwa ya wananchi maishani, nenda kaulize zile mia mia mlikuwa mnachangia mboye aruke na chopa mkisema mnajenga chama, ccm milele itabakia kuwa ya wananchi. Utakufa utaiacha, wananchi wataendelea kuikuza, ccm daima chama cha wananchi.
Akili za kuambiwa hizi ni shida. Na huko bavicha/chadema ziko nyingi kweli, kwanini hamtumii hata akili kidogo tu
nyie wachaga??? MALI ZAKO si unazo mwenyewe au?? Au unatangaza biashara kistaili flani???