Mr.Ngabani FP
Member
- Dec 23, 2013
- 17
- 0
Kababu taira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana siku 723 zimebakia mali za umma watarudisha tu
wewe unachekesha kweli. Ccm ni ya wananchi na si kama ilivyo kwa mtei na cdm. Kama unataka mali kwani ccm imekunyima kuwa mwanachama umekimbia mwenyewe, ccm itabaki kuwa ya wananchi maishani, nenda kaulize zile mia mia mlikuwa mnachangia mboye aruke na chopa mkisema mnajenga chama, ccm milele itabakia kuwa ya wananchi. Utakufa utaiacha, wananchi wataendelea kuikuza, ccm daima chama cha wananchi.
Acha ukabila ww haujengi?Akili za kuambiwa hizi ni shida. Na huko bavicha/chadema ziko nyingi kweli, kwanini hamtumii hata akili kidogo tu
nyie wachaga??? MALI ZAKO si unazo mwenyewe au?? Au unatangaza biashara kistaili flani???
Nimejaribu kufikiri jinsi ccm ilivyo zulumu kibabe mali zetu zikiwemo viwanja vya mpira kama ccm kirumba mali hizi tulichangishana enzi zile za chama kimoja,na sasa ni wengi tu si wafuasi tena wa vyama vya siasa na ccm kwa kutenda haki nashauri rudisheni serekalini mali zote.
Mke mdogo akiolewa na kukuta mke mkubwa na wanawe wamechuma mali hizo mali atazidai kuwa ni zake?
Miaka 22 hamjachuma zenu? Hata ofc tu hamna. mnaishi katika majengo ya viongozi.
this term
tutahakikisha panya wanageuka simbilisi !
Siku tatu alizopewa rais ili afute kauli yake hazijaisha? hizi 723 zitafika kweli?
We Mnyarwanda unapaswa kujifunza kwanza lugha ya kiswahiliCcm Wamepora Mali Za Wanainchi, Huo Ni Ukweli Usiopngka
Jifunze kwanza kiswahili mkuuChama Cha Majambazi Na Majangiri
Mjinga n wewe mwenyewe na Misukule wenzako hapo Kinondoniwatanzania sisi ni wajinga