Pre GE2025 Lissu anaenda kumshinda Mbowe kwenye huu uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unafanyika lini
 
Tuombee iwe ivyo,
 

Unajua kunishobokea.
Endelea kukaza.
 
Mkuu kwa sasa wapenda mabadiliko kazi yetu ni moja tu kumpigia kampeni lissu.Bila lissu hakuna mabadiliko ya kweli chadema.
 
Hata ukiwa na akili ya kuvukia barabara tu huwezi kufurahia TAL kuwa Mwenyekiti wa CDM Taifa, anavyotukana serikali na Saa100.
 
Maajabu yataonekana kupitia uchaguzi huu, muda utasema
 
Lissu hawezi kushinda huo uchaguzi hata iweje .

Busara ndo ilibidi itumike zaidi
1. Leo ni anguko la Mbowe na siku ya aibu kwake kwa sababu ifuatayo.;
2. Kuna kushindwa kwa kushinda.
Ataongoza cdm iliyoparalaizi
3. Lisu leo ameshinda kwa kushindwa.
Hii ni kwasababu Lissu anatakiwa zaidi na wapenda haki na mabadiliko ya kweli...pamoja na atashindwa kwa ghilba lkn yeye ndiye mshindi wa mioyo ya wanyoofu
 
Mkuu labda Mungu aingilie kati tu!
Mbowe ana nguvu ya Fedha kuliko Lissu!
Na kwa Watanzania wengi walivyo na njaa hawawezi kuipona rushwa!
Vilevile CCM wako nyuma ya Mbowe!
Sijui labda!
 
Miradi ya watu hiyo hawapo tayari kupoteza maslahi yao. Haki lissu akajiunge tu hata na kabwa wakimkata maana dalili mbaya zimeonekana mapema. Mtu mroho tuta muaminije
 
Unasubiri pantoni ubungo. Hakuna uchaguzi hapo

Ni kama wao chadema wanavyosema bila kubafili time hakuna uchaguzi. Wanajua kitachotokea
Mapema mno kufanya hitimisho. Fedha siyo kila kitu Mkuu kwa kila Mtu.
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Kweli laana ya Magufuli inatembea!

Yani Lisu leo ni wa kuzodolewa na machadema kiasi hiki
 
Uchaguzi Chadema ufanyike ki-electronic mtu upiga unaiona. Kura zikihesabiki na Mbowe akishindwa matokeo hayatatagazwa na itaibuka fujo kubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…