Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatimaye Mbowe kamfikia Lissu!!Muulize Mbowe mwana wa Chacha Wangwe
Lissu is a prominent leader, lazima azungumziwe hata kama tunalala njaa.Deal na kapu la unga nyumbani kwako, una matatizo mengi sana kuzidi Lisu, niamini Mimi.
Sumaye alisema aliambiwa sumu haionjwi !!!!Muulize Mbowe mwana wa Chacha Wangwe
Lissu is a prominent leader, lazima azungumziwe hata kama tunalala njaa.
Pia usidhani watu wote matatizo Yao ni kapu la unga.
Kamuulize Jiwe na DABNimesikia Tundu Lissu amekimbizwa Ulaya kulikoni jamani. Anaumwa nini tuambieni kilichomfanya kuacha mikutano na haraka haraka akakimbizwa nje ya nchi.
Mifupa yenyewe ya kuungwa ungwa lakini mdomo!Nimesikia Tundu Lissu amekimbizwa Ulaya kulikoni jamani. Anaumwa nini tuambieni kilichomfanya kuacha mikutano na haraka haraka akakimbizwa nje ya nchi.
Mdomo huwakilisha akili ya mtu. Kwa mfano wewe akili yako tunaipima Kwa hiki ulichoandika...Mifupa yenyewe ya kuungwa ungwa lakini mdomo!
DJ amemchacha wangwe.Nimesikia Tundu Lissu amekimbizwa Ulaya kulikoni jamani. Anaumwa nini tuambieni kilichomfanya kuacha mikutano na haraka haraka akakimbizwa nje ya nchi.
Haionjwi alinena DjKusogeleana na Mbowe tu imeanza kuleta zongo?
Kwani ni kosa kwenda kutibiwa?Nimesikia Tundu Lissu amekimbizwa Ulaya kulikoni jamani. Anaumwa nini tuambieni kilichomfanya kuacha mikutano na haraka haraka akakimbizwa nje ya nchi.
SureHuyo ndo Rais ajaye lazima tuhakikishe afya yake iko imara kila siku.