Pre GE2025 Lissu: CHADEMA ikiondoka kwenye misingi iliyonifanya nijiunge nacho, nitaondoka. CHADEMA siyo mama yangu wala dini yangu

Pre GE2025 Lissu: CHADEMA ikiondoka kwenye misingi iliyonifanya nijiunge nacho, nitaondoka. CHADEMA siyo mama yangu wala dini yangu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA- Bara, Tundu Lissu amsema iwacha CHADEMA itaacha misingi yake ailiyomfanya ajiunge na chama hicho basi ataondoka katika chama hicho na sio dhambi kufanya kuvyo kwani Chama cha Siasa sio mama yake wa dini yake

Akizungumza kupitia Mtandao wa Clubhouse amesema "Mwalimu Nyerere katika mojawapo ya kauli zake nyingi aliwahi kusema kwamba CCM siyo mama yangu na ikiacha misingi yake nitaiacha, ilikuwa kauli ya Mwalimu kuhusu chama alichokianzisha, kwa hiyo unataka mimi niseme kwa mazingira yoyote yale vyovyote itakavyokuwa sitahama CHADEMA? ni mama yangu?"

Ameongeza "Niliingia CHADEMA miaka 20 iliyopita na nimekuwa hapa miaka yote hii na Mungu anirehemu niendelee kuwa CHADEMA wakati nayo ikiendelea kuishi, lakini CHADEMA siyo dini na siyo mama yangu, ni chama cha siasa kikiondoka kwenye misingi yake iliyonipeleka nikajiunga nacho nitaondoka, nitakuwa sina sababu ya kubaki na hiyo siyo dhambi kwa sababu siyo dini na siyo mama yangu nikitumia maneno ya Mwalimu, ni chama cha siasa, vyama vya siasa huja na kuondoka, sisi binadamu tunakuja na kuondoka"

 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA- Bara, Tundu Lissu amsema iwacha CHADEMA itaacha misingi yake ailiyomfanya ajiunge na chama hicho basi ataondoka katika chama hicho na sio dhambi kufanya kuvyo kwani Chama cha Siasa sio mama yake wa dini yake

Akizungumza kupitia Mtandao wa Clubhouse amesema "Mwalimu Nyerere katika mojawapo ya kauli zake nyingi aliwahi kusema kwamba CCM siyo mama yangu na ikiacha misingi yake nitaiacha, ilikuwa kauli ya Mwalimu kuhusu chama alichokianzisha, kwa hiyo unataka mimi niseme kwa mazingira yoyote yale vyovyote itakavyokuwa sitahama CHADEMA? ni mama yangu?"

Ameongeza "Niliingia CHADEMA miaka 20 iliyopita na nimekuwa hapa miaka yote hii na Mungu anirehemu niendelee kuwa CHADEMA wakati nayo ikiendelea kuishi, lakini CHADEMA siyo dini na siyo mama yangu, ni chama cha siasa kikiondoka kwenye misingi yake iliyonipeleka nikajiunga nacho nitaondoka, nitakuwa sina sababu ya kubaki na hiyo siyo dhambi kwa sababu siyo dini na siyo mama yangu nikitumia maneno ya Mwalimu, ni chama cha siasa, vyama vya siasa huja na kuondoka, sisi binadamu tunakuja na kuondoka"
Acha inyesheer.....
 
Binafsi naona Chadema itakuwa nzuri sana ikabaki na viongozi wenye msimamo wa kati na sio viongozi ambao wao kila kitu kinachofanywa na chama tawala kwao ni kibaya. Huwa namuona Mbowe ni kiongozi mzuri na mwenye busara nyingi mno hii inapelekea watu wengi wenye kutofautiana kimtazamo huko chama tawala kuona chadema kama ndio kimbilio lao.

Tatizo linakuja kwa wale top wa chadema ambao ndoto zao ni kugombea urasi haijalishi wako popular au laah! wanamuona Mbowe ni kikwazo kwao kutimiza adhma zao, hapo ndipo Mbowe anaonekana mbaya. Kiuhalisia Chadema bado hakuna kiongozi wa kuitoa ccm madarakani hivyo Mbowe kwa kuwa yupo kwa maslahi ya chama anaona ni bora kiongozi wa kugombea nafis ya urais kupitia chadema akatokea ccm hivyo kusaidia chama an kifgalau kupata wabunge wengi. Kifupi kuna viongozi wakihama chadema chama kinaweza kuinarika sana sababu kitakuwa na image mpya ya kuvitia makundi yote katika jamii.
 
The cracks are deepening, and I doubt if CHADEMA will survive the coming ordeal.

The biggest challenge for CHADEMA is fear of self-reflection, and failing to acknowledge that despite the enormous contributions of Mbowe, he has now turned that political party into his own fiefdom.

Hili linapelekea CHADEMA iwe na taswira ioneshanyo kwamba chama ni mali ya wachagga peke yao na kwenye maamuzi wao ndiyo wao.

Too bad kuona CHADEMA imefika hapa.​
 
Usaliti unaumiza sana hasa kwa wapenda haki lakini katika maisha ya siasa Usaliti ni kawaida sana hivyo ni muhimu kufahamiana, kuchukuliana na kuvumiliana.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA- Bara, Tundu Lissu amsema iwacha CHADEMA itaacha misingi yake ailiyomfanya ajiunge na chama hicho basi ataondoka katika chama hicho na sio dhambi kufanya kuvyo kwani Chama cha Siasa sio mama yake wa dini yake

Akizungumza kupitia Mtandao wa Clubhouse amesema "Mwalimu Nyerere katika mojawapo ya kauli zake nyingi aliwahi kusema kwamba CCM siyo mama yangu na ikiacha misingi yake nitaiacha, ilikuwa kauli ya Mwalimu kuhusu chama alichokianzisha, kwa hiyo unataka mimi niseme kwa mazingira yoyote yale vyovyote itakavyokuwa sitahama CHADEMA? ni mama yangu?"

Ameongeza "Niliingia CHADEMA miaka 20 iliyopita na nimekuwa hapa miaka yote hii na Mungu anirehemu niendelee kuwa CHADEMA wakati nayo ikiendelea kuishi, lakini CHADEMA siyo dini na siyo mama yangu, ni chama cha siasa kikiondoka kwenye misingi yake iliyonipeleka nikajiunga nacho nitaondoka, nitakuwa sina sababu ya kubaki na hiyo siyo dhambi kwa sababu siyo dini na siyo mama yangu nikitumia maneno ya Mwalimu, ni chama cha siasa, vyama vya siasa huja na kuondoka, sisi binadamu tunakuja na kuondoka"

ni muoga sana anapima upepo wa nguvu na ushawishi alonao nchini, anachodhani yeye ni kuhurumiwa na kuchangiwa tu...

kwa maoni yangu aondokoke au asiondoke, kisiasa mambo ya chama kile yanaendelea kua ni yale yale tu ya harakati, asifikiri ati akiondoka au akibaki taasisi ile dhaifu sana itabadilika bali itakuepo tu na udhaifu wake 🐒
 
Binafsi naona Chadema itakuwa nzuri sana ikabaki na viongozi wenye msimamo wa kati na sio viongozi ambao wao kila kitu kinachofanywa na chama tawala kwao ni kibaya. Huwa namuona Mbowe ni kiongozi mzuri na mwenye busara nyingi mno hii inapelekea watu wengi wenye kutofautiana kimtazamo huko chama tawala kuona chadema kama ndio kimbilio lao. Tatizo linakuja kwa wale top wa chadema ambao ndoto zao ni kugombea urasi haijalishi wako popular au laah! wanamuona Mbowe ni kikwazo kwao kutimiza adhma zao, hapo ndipo Mbowe anaonekana mbaya. Kiuhalisia Chadema bado hakuna kiongozi wa kuitoa ccm madarakani hivyo Mbowe kwa kuwa yupo kwa maslahi ya chama anaona ni bora kiongozi wa kugombea nafis ya urais kupitia chadema akatokea ccm hivyo kusaidia chama an kifgalau kupata wabunge wengi. Kifupi kuna viongozi wakihama chadema chama kinaweza kuinarika sana sababu kitakuwa na image mpya ya kuvitia makundi yote katika jamii.
Umeeleweka vizuri sana, watu wanajadili mambo ya chedema bila kujua kuwa wewe ndugu Mbowe upo humu pia
 
Alichokiongea Lissu ndo uhalisia wa maisha ulivyo, vinginevyo utaitwa unafki.
 
Back
Top Bottom