Atakohamia huyu mwamba nami nitakwenda huko!
CHADEMA ITAKUFA AKIONDOKA HUYU CHIEF.
Chadema kama CUF ya Lipumba ileeeee inanukia ..
Ngoja tuone kama kina sauti ya zege ndiyo wanaotegemewa kuwa mbadala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakohamia huyu mwamba nami nitakwenda huko!
CHADEMA ITAKUFA AKIONDOKA HUYU CHIEF.
Ulisahau Kila tele litapigwa kwa CCMKWA C.C.M KILA GOTI LITAPIGWA
Binafsi naona Chadema itakuwa nzuri sana ikabaki na viongozi wenye msimamo wa kati na sio viongozi ambao wao kila kitu kinachofanywa na chama tawala kwao ni kibaya. Huwa namuona Mbowe ni kiongozi mzuri na mwenye busara nyingi mno hii inapelekea watu wengi wenye kutofautiana kimtazamo huko chama tawala kuona chadema kama ndio kimbilio lao. Tatizo linakuja kwa wale top wa chadema ambao ndoto zao ni kugombea urasi haijalishi wako popular au laah! wanamuona Mbowe ni kikwazo kwao kutimiza adhma zao, hapo ndipo Mbowe anaonekana mbaya. Kiuhalisia Chadema bado hakuna kiongozi wa kuitoa ccm madarakani hivyo Mbowe kwa kuwa yupo kwa maslahi ya chama anaona ni bora kiongozi wa kugombea nafis ya urais kupitia chadema akatokea ccm hivyo kusaidia chama an kifgalau kupata wabunge wengi. Kifupi kuna viongozi wakihama chadema chama kinaweza kuinarika sana sababu kitakuwa na image mpya ya kuvitia makundi yote katika jamii.
Binafsi mbowe(dictator)kwa Sasa ni adui namba Moja wa upinzani na democracy pamoja na vibaraka wake( hech'e, lem'a, wenje, na msingwa "ccm")..... Kwa momentums ya upinzani ya 2010-2015.. chadema ingekuwa mbali sana kama mbowe asinge badili GIA angani .... Sasa ngoja kimfie mikononi...... "Uzuri upinzani ni jadi ya Kila binadamu" Ila Dictator anaudhoofisha, pia ufinyu wa kufikiri wa watanzania wengi wanadhani mbowe na genge lake wana haki miliki ya upinzani Tanzania, nje ya wao wewe ni ccm B, Mambo ya kijinga kabisa.,.......Dr. Aman Warid Kabouru, msomi mzaliwa wa ujiji , ambaye alishiriki kuianzisha chadema halafu lissu impact yake Kwa sasa ni ndogo na uungwaji mkono ni mdogo, aliondoka zitto enzi akiwa wamoto ije kua lissu ambae Kwa sasa hana ushawishi
Na akibaki huko nakwambia yatamkuta yakutukuta. Aache kucheza na mfalme mbowe kwenye himaya yake.Aombe ulinzi kwanza, kabla ya Chacha Wangwe hayajamkuta.
Hizi ni fikra za ajabu sana.Tatizo linakuja kwa wale top wa chadema ambao ndoto zao ni kugombea urasi haijalishi wako popular au laah! wanamuona Mbowe ni kikwazo kwao kutimiza adhma zao, hapo ndipo Mbowe anaonekana mbaya. Kiuhalisia Chadema bado hakuna kiongozi wa kuitoa ccm madarakani hivyo Mbowe kwa kuwa yupo kwa maslahi ya chama anaona ni bora kiongozi wa kugombea nafis ya urais kupitia chadema akatokea ccm hivyo kusaidia chama an kifgalau kupata wabunge wengi. Kifupi kuna viongozi wakihama chadema chama kinaweza kuinarika sana sababu kitakuwa na image mpya ya kuvitia makundi yote katika jamii.
Ukweli ni kwamba, Lissu amejipambanua wazi kabisa kuwa ni kiongozi mwenye 'principles', siyo hawa wengine wasiojuwa kuwa kiongozi ni jambo gani.Alichokiongea Lissu ndo uhalisia wa maisha ulivyo, vinginevyo utaitwa unafki.
Kwani hakuwa maarufu kabla ya CHADEMA?akiondoka umaarufu unakufa instantly
Ukweli mnaujuwa vizuri sana. Hakuna anaye watia hofu kubwa sasa hiv CCM kamaTundu Lissu. Mmemnunua Mbowe, na sasa ndiye tegemeo kubwa kwenu kuwa atawaondolea hiyo hofu kubwa inayo wavuruga akili.ni muoga sana anapima upepo wa nguvu na ushawishi alonao nchini, anachodhani yeye ni kuhurumiwa na kuchangiwa tu...
kwa maoni yangu aondokoke au asiondoke, kisiasa mambo ya chama kile yanaendelea kua ni yale yale tu ya harakati, asifikiri ati akiondoka au akibaki taasisi ile dhaifu sana itabadilika bali itakuepo tu na udhaifu wake 🐒
Lisu ni maarufu kuliko chademaakiondoka umaarufu unakufa instantly
Kwamba uzuri wa Mbowe ni huo ustaarabu wake unaofanya Upinzani usichukue Dola? Hivi una akili kweli wewe?Binafsi naona Chadema itakuwa nzuri sana ikabaki na viongozi wenye msimamo wa kati na sio viongozi ambao wao kila kitu kinachofanywa na chama tawala kwao ni kibaya. Huwa namuona Mbowe ni kiongozi mzuri na mwenye busara nyingi mno hii inapelekea watu wengi wenye kutofautiana kimtazamo huko chama tawala kuona chadema kama ndio kimbilio lao.
Tatizo linakuja kwa wale top wa chadema ambao ndoto zao ni kugombea urasi haijalishi wako popular au laah! wanamuona Mbowe ni kikwazo kwao kutimiza adhma zao, hapo ndipo Mbowe anaonekana mbaya. Kiuhalisia Chadema bado hakuna kiongozi wa kuitoa ccm madarakani hivyo Mbowe kwa kuwa yupo kwa maslahi ya chama anaona ni bora kiongozi wa kugombea nafis ya urais kupitia chadema akatokea ccm hivyo kusaidia chama an kifgalau kupata wabunge wengi. Kifupi kuna viongozi wakihama chadema chama kinaweza kuinarika sana sababu kitakuwa na image mpya ya kuvitia makundi yote katika jamii.
Akili huna wewe unaoshindwa kuonganisha doti. Hivi unashindwa kujiuliza kwa nini hizi tuhuma zije wakati huu? Halafu ukome kunihuhisha mimi na vyama vya siasa mimi ni fikra iliye huru natoa uchambuzi wangu kutokana na hali halisi ilivyo. Mimi ni mfuasi wa mwanasisa yeyote mzalendo haijalishi yupo chama gani.Kwamba uzuri wa Mbowe ni huo ustaarabu wake unaofanya Upinzani usichukue Dola? Hivi una akili kweli wewe?
Taarifa zinasema Mbowe anakula Rushwa kutoka Kwa washindani wake, na hili kwako unaona ni sawa tu?? Si Bure ile Supu ya mbuzi wa Machame imewavuruga akili
Sisi wengine toka uchaguzi wa 2015 tulibadili kabisa mtizamo wa siasa zetu. Lissu atakuwa liability kwa Chadema na watakuwa wanamlia timing tu.Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA- Bara, Tundu Lissu amsema iwacha CHADEMA itaacha misingi yake ailiyomfanya ajiunge na chama hicho basi ataondoka katika chama hicho na sio dhambi kufanya kuvyo kwani Chama cha Siasa sio mama yake wa dini yake
Akizungumza kupitia Mtandao wa Clubhouse amesema "Mwalimu Nyerere katika mojawapo ya kauli zake nyingi aliwahi kusema kwamba CCM siyo mama yangu na ikiacha misingi yake nitaiacha, ilikuwa kauli ya Mwalimu kuhusu chama alichokianzisha, kwa hiyo unataka mimi niseme kwa mazingira yoyote yale vyovyote itakavyokuwa sitahama CHADEMA? ni mama yangu?"
Ameongeza "Niliingia CHADEMA miaka 20 iliyopita na nimekuwa hapa miaka yote hii na Mungu anirehemu niendelee kuwa CHADEMA wakati nayo ikiendelea kuishi, lakini CHADEMA siyo dini na siyo mama yangu, ni chama cha siasa kikiondoka kwenye misingi yake iliyonipeleka nikajiunga nacho nitaondoka, nitakuwa sina sababu ya kubaki na hiyo siyo dhambi kwa sababu siyo dini na siyo mama yangu nikitumia maneno ya Mwalimu, ni chama cha siasa, vyama vya siasa huja na kuondoka, sisi binadamu tunakuja na kuondoka"
Aliyekufa na kufufuka haogopi kufa tenaNa akibaki huko nakwambia yatamkuta yakutukuta. Aache kucheza na mfalme mbowe kwenye himaya yake.
👍💪CDM inaungwa mkono na watu wengi makini kutokana na misingi iliyojengeka ndani ya itikadi na sera zake makini. Nakubaliana 100% na Lissu, kuwa endapo viongozi watakwenda kinyume na misingi hii, basi mtu ajawajibika kutengana nacho.Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA- Bara, Tundu Lissu amsema iwacha CHADEMA itaacha misingi yake ailiyomfanya ajiunge na chama hicho basi ataondoka katika chama hicho na sio dhambi kufanya kuvyo kwani Chama cha Siasa sio mama yake wa dini yake
Akizungumza kupitia Mtandao wa Clubhouse amesema "Mwalimu Nyerere katika mojawapo ya kauli zake nyingi aliwahi kusema kwamba CCM siyo mama yangu na ikiacha misingi yake nitaiacha, ilikuwa kauli ya Mwalimu kuhusu chama alichokianzisha, kwa hiyo unataka mimi niseme kwa mazingira yoyote yale vyovyote itakavyokuwa sitahama CHADEMA? ni mama yangu?"
Ameongeza "Niliingia CHADEMA miaka 20 iliyopita na nimekuwa hapa miaka yote hii na Mungu anirehemu niendelee kuwa CHADEMA wakati nayo ikiendelea kuishi, lakini CHADEMA siyo dini na siyo mama yangu, ni chama cha siasa kikiondoka kwenye misingi yake iliyonipeleka nikajiunga nacho nitaondoka, nitakuwa sina sababu ya kubaki na hiyo siyo dhambi kwa sababu siyo dini na siyo mama yangu nikitumia maneno ya Mwalimu, ni chama cha siasa, vyama vya siasa huja na kuondoka, sisi binadamu tunakuja na kuondoka"