Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Watammaliza kimafia, halaf jumba bovu litaangushiwa serikali na CCM.Na akibaki huko nakwambia yatamkuta yakutukuta. Aache kucheza na mfalme mbowe kwenye himaya yake.
Kwa sasa mwenyekiti anamtafutia target tu ya kufanya jambo lake.