LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Haahaa kasababisha yepi mkuu shujaa wa mtandao I?😂Kinachonisikitisha kuhusu suala lote hili ni kuwa "it is so unnecessary". CDM walikuwa katika sehemu nzuri ya kuingia katika hiyo hatua anayoizungumzia Lissu. Sasa hivi watu wamebaki wakishughulukiana na kumuacha yule anayewasababishia maumivu yote waliyonayo. Na kwa huzuni kubwa naweza kusema kuwa aliyesababisha yote haya ni Lissu na sio mwingine.
Amandla...
Haahaa kama ni fact acha tu aendeshwe, lakini lissu ndo mpango mzima kwa sasa chademaHili mtaruka mtatua lkn lipo wazi ya kwamba lissu anaendeshwa kama drone ktk swala hili na rafiki yake kipenzi msigwa wa ccm
Hakuna kosa mkuu, ndo demokrasia tunayoipigania, ni uamuzi wake, kama walivyo wengine wameamua kuendeshwa na mwambaAlichokosea kuendeshwa na Msigwa
Haahaa wewe ulitaka umcontrol ?Inawezekana yote hayo, lkn hili Msigwa anamkotrol Lissu
Hivi unajua maana ya makamu?😂😂😂Makamu Mwenyekiti wa Chama na Bado unasema uongozi umekwama. Si wewe ni kiongozi mzito ndani ya Chama Tena unayetakiwa kumsaidia Mwenyekiti!!! Ebu tueleze ulichukua hatua gani kumsaidia Mwenyekiti na Mwenyekiti akakataa msaada wako? Au ulikuwa umenyamaza badala ya kumsaidia, ili aharibu nawe upate upenyo wa kumuangamiza kiuongozi?
Ebu fafanua!
Sawa tuseme kuwa Lissu ndio aliyotaka lakini hayakutokea. Kwa mtazamo wangu ni kuwa hakuwa pragmatic. Unapoingia katika maadiliano hauwezi kung'ang'ania kupata kila kitu unachotaka. Mtu yeyote anajua kuwa hamna namna CCM watakubali Covid 19 waondolewe maana wao ndio wanalipa legitimacy Bunge lao. Bila wao hakuna upinzani, na bila upinzani kamati nyingi za Bunge zisingeweza kuundwa. Hicho ni kilima ambacho CCM wlikuwa wako tayari kufia. Sasa kama katika matakwa yao yote, ni hilo tu ndio halijafanikiwa sioni sababu ya kumtuhumu Mbowe kuwa njia yake ilishindwa.
Mbowe kwa kukubali kuingia katika majadiliano, aliwapa CCM kmba ya kujinyongea. Sasa hivi CCM haiwezi kuituhumu CDM kuwa ni chama cha vurugu na hakiko tayari kukaa mezani kwa majadiliano. Hatua ya Mowe ndio imeupa uhalali hatua anayozungumzia Lissu kufuata.
Sijui ni mimi tu lakini nimemsikia Mbowe akisema kuwa CCM haikuonyesha utayari kuhusu suala la Covid 19, Katiba Mpya na Tume ya Uchaguzi. Kujitoa kwa CDM katika tume na kamati zilizoanzishwa kama sehemu ya mchakato wa vitu hivi ni ishara tosha kuwa wanataka mabadiliko ya dhati na si ya kiini macho.
Mimi nisichoelewa ni way forward ipi amayo CDM inatakiwa kuonyesha. Kama wananchi wanajifungia ndani wakiona askari wanafanya mazoezi au usafi hamna litakalo fanikiwa. Mimi sidhani kama Mbowe anapinga watu kuchukua hatua kali zaidi. Ndio maana Bavicha walipotaka kulianzisha Mbeya na wakakamatwa hakusita kwenda kusimama nao.
Inawezekana Lissu ana point lakini hatua na maneno yanaharibu kuliko kujenga. Kwangu mimi anaonyesha dalili za unafik unafik ambao sio mzuri. Karibu yote anayoyasema ni furaha kwa CCM ambao naamini wanamuogopa zaidi Mbowe kuliko Lissu. Sio bure kumsikia Steve Mengele akimpongeza Lissu. Sio bure kusikia watu wakidai kuwa Msigwa ndie anayembeba Lissu. Sio bure kusikia tetesi kuwa mwisho wa safari yake ni kujiunga na CCM. Aidha, sio bure kusikia tuhuma kuhusu ubadhirifu wa Mbowe zikija kwa kasi. Ni Lissu ndio anayapa oxygen haya yote.
Lissu ana nguvu sana ya ushawishi lakini kwenye hili amekurupuka. Nahisi ameanza kuamini kuwa yeye ni zaidi ya chama na viongozi wenzake. Mawazo kama hayo hayana afya kwa chama chake maana apende asipende kuna wengi wamepitia mengi na Mbowe na wana imani kubwa nae. Matendo na maneno yake yana wa alienate hao watu.
Timu ya Mbowe na Lissu ni formidable na CCM wanajua hilo. Bahati mbaya inaelekea Lissu haoni hilo na anaamini yeye ndie Stelin peke yake.
Amandla...
Kama mshua wako kuendeshwa kama drone na MOTHER WAKO 👍👍😀😀🤣🤣Hajamuuliza kuhusu Msigwa kumuendesha Lissu kama drone?
Siku hizi hakuna magezeti bali kuna matawi ya ccm. Mwananchi ilikua zamani sio ss.Hujasoma gazeti la mwananchi?
Kwenye sakata hili Mbowe anasapoti kutoka ikulu.. huyu sio kiongozi bali ni mpiga dili tu.Kwamba Lissu anashikiwa akili na msigwa?
Unajua Mbowe anapewa support na dola ya kupambana na Lissu? Tulia uione show ya lissu
Mwisho wako ni key board kamwe huwezi kuingia barabarani.Lakini Wakuu hii Strategy ya "NO REFORMS NO ELECTIONS" yale Mafisiemu si yanashangilia?!
Mnaonaje Jemadari Lissu atufafanulie zaidi maana Uchaguzi ujao mimi nataka uwe Jino kwa Jino wakituibia tunaingia Mabarabarani.
Naunga Mkono hoja!Inaonekana Erythrocyte hajapenda yanayoendelea😎
Leta hoja mpya kila uzi ni msigwa alikuganya nini?Yaani ujanja wote ule LISSU mwishowe anaendeshwa na Msigwa kama vile drone?
Muulize LissuLeta hoja mpya kila uzi ni msigwa alikuganya nini?
Lichama limejaza vilaza sasa wanataka kupambana na msomi Lissu kweli?Mje na hoja kweli kweli maana Lissu kajipanga mkija na utoto kama huu atapasua mshono kila siku
Subirini tu sindano iwangie badala ya kumpigania kilaza wenu Mzee Mbowe nyie mnakuja na filimbia ya mtu ambae alishajitbua na kwenda mahali sahihi.Muulize Lissu
Si uteweke hilo gazeti hapa vinginevyo unaleta tu umbea kama yule mpuuzi wa Arusha (Lema)Hujasoma gazeti la mwananchi la juzi. Kwamba msigwa ndio mpanga mikakati ya lissu
Walau Msigwa anayo akili ya kumzidi Mzee MboweAlichokosea kuendeshwa na Msigwa