fundimchundo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2010
- 739
- 1,032
Kwa walio staarabika, "modern politics" unazosema, zinaanza na TUME HURU YA UCHAGUZI.Mimi nazungumzia modern politics siasa za kistaarabu Ila sipingi aina zako za kuingia madarakani za mapinduzi na nguvu ya umma,
Niambie kati ya hizo aina ipi Lissu anaiweza, mapinduzi? au nguvu ya umma kwa umma upi wa watanzania.
Kwa hiyo tuingie msituni? au tuandamane.Kwa walio staarabika, "modern politics" unazosema, zinaanza na TUME HURU YA UCHAGUZI.
Nafikiri hili unalijua.
Sasa tusimulie hizo "modern politics" kwa Tanzania zinafanyaje kazi wakati Tume ya Uchaguzi INATEULIWA NA MMOJA WA WAGOMBEA.
Lissu si alisema hakuna uchaguzi bila mabadiliko ila Mbowe kama kawaida anapenda maridhiano!! Ila Lissu akiachiwa umma wa chadema hao CCM wasingepindua hata mtaa mmoja maana pangewaka. Mbowe ana wanachama loyal sana ila ameshindwa kuwatumia vizuri kuwaondoa CCM.Kwahiyo Unaamini kulikuwa na uchaguzi? Lisu si ndio makamu mwenyekiti? Yeye alikuwa wapi?
Wakati wa uchaguzi Lissu alikuwa Singida sijasikia akihamasisha wagombea wake kupinga kuenguliwa.Lissu si alisema hakuna uchaguzi bila mabadiliko ila Mbowe kama kawaida anapenda maridhiano!! Ila Lissu akiachiwa umma wa chadema hao CCM wasingepindua hata mtaa mmoja maana pangewaka. Mbowe ana wanachama loyal sana ila ameshindwa kuwatumia vizuri kuwaondoa CCM.
Aah mpe party machinery, angeshafufua mpaka red Brigade inatakiwa chadema irudi ile ya 2008-2014 yaani mpaka tulikua tunanasa mawasiliano na wakati mwingine tukidaka moles wa Ccm tunamalizana nao kimyakimya.Wakati wa uchaguzi Lissu alikuwa Singida sijasikia akihamasisha wagombea wake kupinga kuenguliwa.
Kwamba Lissu hajasema Uchaguzi wa Kanda wa Chadema umegubikwa na rushwa ya wazi!!!kweli?.....yao hasi ndio wana kuza na kmuwekea maneno lisu
Lissu ni second man Chadema anashindwa nini ku implement maono yake kwa kujenga hoja kwenye kamati kuu hadi awe Mkiti.Aah mpe party machinery, angeshafufua mpaka red Brigade inatakiwa chadema irudi ile ya 2008-2014 yaani mpaka tulikua tunanasa mawasiliano na wakati mwingine tukidaka moles wa Ccm tunamalizana nao kimyakimya.
Mbowe hawezi hizo radical approaches kabisa ndio maana inatuuma wanachama.maana tunajua matokeo yatakuwaje.
Wachaga mnayumbayumba kama mmelewa mbegeLissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.
Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.
Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.
Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.
Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
Kamati kuu ya chadema huwezi kujenga hoja imejaa mamluku watupuLissu ni second man Chadema anashindwa nini ku implement maono yake kwa kujenga hoja kwenye kamati kuu hadi awe Mkiti.
Saccos??Sawa, fanya hilo vuguvugu pasipo kukivuruga chama unachotegemea kuja kushika dola.
Mtasubiri sanaWachaga mnayumbayumba kama mmelewa mbege
Chadema inafutwa mnatekana sana ๐ผ
Yote maisha.Faili la Meddy liko Kwa DPP
Ngoja tuone ๐ผ
Mawazo ya kijinga kabisa.Hakuna Dola inayotoka madaraka bila watu wakupambana nayo.Lissu go usikatishwe tamaa,pambana.Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.
Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.
Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.
Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.
Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
Unazungumzia Afrika?Mawazo ya kijinga kabisa.Hakuna Dola inayotoka madaraka bila watu wakupambana nayo.Lissu go usikatishwe tamaa,pambana.
Haya ๐ผ๐Yote maisha.
Porojo miiiiingi!Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.
Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.
Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.
Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.
Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.