Lissu: Kauli ikiwa haina maana hata kama aliyesema ni Rais haitabadilika kuwa na mantiki

Tulia wewe! Nimesema Lissu hajatumia busara kumtukana Rais! Kulikuwa na njia nyingi za kufikisha ujumbe wala si kwa matusi kama alivyofanya! Unaweza kuwa na akili nyingi lakini ukakosa hekima! Lissu amekosa hekima!
Sasa imegundulika kuwa video clip hiyo, mleta mada ameitengeneza ili kumchafua Lisu. Muda si mrefu usishangae nduguyo kuwa banned.
 
Mama anaongelea tume ya mipango, Lissu analipuka na DPW kwani mama kwenye hotuba yake ni wapi alisema anataka watu waende kusaidia kurekebisha mkataba wa DP world?
 
Hapo ndiyo uelewe kwamba JPM alimjua tundu kwa nina sana
 
Sasa imegundulika kuwa video clip hiyo, mleta mada ameitengeneza ili kumchafua Lisu. Muda si mrefu usishangae nduguyo kuwa banned.
Hapana, mimi siyo ndugu yangu huyo apigwe ban tu kama ni kweli! Nilikuwa najiuliza tu Lissu amepata wapi ujasiri wa kumtukana Rais matusi mazito hivyo? Kwa kosa gani? Kwenye hicho kipande mbona Rais alikuwa anaongelea tume ya mipango wala siyo Mkataba?
 
Lisu anatafuta attention na kutaka azingatiwe,hakuna mtu mwenye muda wa kujibishana na chizi hata siku moja.
 
kama aliweza kipindi cha dikteta sahivi atashindwa nini?

Aingie basi tuone,umesahau alikuwa analia lia oooh ili nirudi nchini naomba uhakika wa usalama wangu??

Magu alimnyoosha kisawa sawa,amesahau leo anataka kuleta choko choko,hakuna atakempa airtime chizi huyo.
 
Your browser is not able to display this video.
Hayo yamesemwa na Lisu alipokuwa akijadili suala la MKATABA wa BANDARI.

Lisu ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na maendeleo.
 
Then aliposema hivyo kilimkuta Nini baadae.???

Na pia hakusema directly........

Alipepesa macho tu.

Ila hapo amekosa haya kabisa
 
I
Hizi ndio sababu japo ‘oral agreements’ zina nguvu za kisheria lakini ni ngumu kuthibitisha mahakamani.

‘A’ anaweza kuongelea mto, ‘B’ akatafsiri maporomoko...
Hawezi kuendelea kukausha kama vile it’s business as usual. She needs to address the elephant in the room ambao ni mkataba wa DPW.

Yeye kabakia kutoa vihotuba vyake vya kijinga kila mara anapoapisha wateule wake lakini hana muda kuzungumza na Wananchi kuhusu current relevant and controversial issues.

Yeye ndiyo maporomoko anyafanya kama mfereji au non issues. Awatumie vimemo vya maelekezo hao wateule wake siyo kutupotezea muda na vihotuba ambavyo havituhusu 99.9999% ya wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…