Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashungi ni mpumbavu na adui wa taifa ...wewe jiulize kwanini alipiga marufuku hotuba za Nyerere na Jpm
Tumeaibishwa sana, sijui hawa wanaounga mkono huu ujinga wamepewa nini.
Nia ovu kutoka kwa viongozi wetu ulidhihirika pale walipoudanganya umma kwamba walichosaini sio mkataba. Wabunge pia bungeni wameidhinisha kitu wasichokijua, hawakuelewa kwamba wameidhinisha mkataba.
Kitakachofuata sasa hivi ni kurekebisha sheria za Tanzania ili kuingiza vifungu vya mkataba wao huo.
Hivi kweli kama taifa tumefikia hatua ya kuipa nchi nyingine bandari yetu waitawale? Kama taifa tumefikia hatua ya kumpa mgeni lango letu alitawale?
Tumekosewa sana, sana!
Kwani zile sauti za hotuba za Nyerere, Baba wa Taifa, na video fupi kwenye TV, Hazichezwi tena?? Tangu lini?Mashungi ni mpumbavu na adui wa taifa ...wewe jiulize kwanini alipiga marufuku hotuba za Nyerere na Jpm
Ufutwe tu, hata kuurekebisha hauwezakani!!Huu ndiyo ulio ukweli:
View attachment 2678574
"Hatupoi!"
Alipo sasa Rais Samia anayo namna moja pekee:
"Kuufuta tu, mkataba huu ambao ni wa hovyo mno, usiorekebishika!"
Mkataba wowote unao onyesha dhamira chafu ni hatari kujaribu kuulekebisha ...tayari mwekezaji kaonyesha wazi wazi dhamira mbaya na ovu kwenye huo mkataba hivyo ni hatari kuendelea naye huyo mwekezaji kwa namna yoyote hata kwa kulekebisha huo mkataba haifaiUfutwe tu, hata kuurekebisha hauwezakani!!
Huyu kahaba ni mpumbavu sana huyuNi wakati wakufungua case ya uhaini
Mh Samia you did technical mistake, this issue will affect much if you still insist to run for president post 2025, umewapa agenda nyepesi sana ya kukumaliza kwa wanaNchi.
Mwekezaji hana dhamira chafu dhamira yake ni kupata faida ya mtaji wakeMkataba wowote unao onyesha dhamira chafu ni hatari kujaribu kuulekebisha ...tayari mwekezaji kaonyesha wazi wazi dhamira mbaya na ovu kwenye huo mkataba hivyo ni hatari kuendelea naye huyo mwekezaji kwa namna yoyote hata kwa kulekebisha huo mkataba haifai
Huo mkataba wa DP World uko wapi?Huu ndiyo ulio ukweli:
View attachment 2678574
"Hatupoi!"
Alipo sasa Rais Samia anayo namna moja pekee:
"Kuufuta tu, mkataba huu ambao ni wa hovyo mno, usiorekebishika!"
Hakuna mtu aliekosea Watanganyika kwani Tanganyika does not exist and no one gives a damn about Tanzania.
Tumeaibishwa sana, sijui hawa wanaounga mkono huu ujinga wamepewa nini.
Nia ovu kutoka kwa viongozi wetu ilidhihirika pale walipoudanganya umma kwamba walichosaini sio mkataba. Wabunge pia bungeni wameidhinisha kitu wasichokijua, hawakuelewa kwamba wameidhinisha mkataba.
Kitakachofuata sasa hivi ni kurekebisha sheria za Tanzania ili kuingiza vifungu vya mkataba wao huo.
Hivi kweli kama taifa tumefikia hatua ya kuipa nchi nyingine bandari yetu waitawale? Kama taifa tumefikia hatua ya kumpa mgeni lango letu alitawale?
Tumekosewa sana, sana!
Lengo la mikataba mibovu ni kuishitaki nchi baadae na kuisababishia hasara kama kukamatwa kwa ndege nk huo mkataba umeonyesha wazi wazi dhamiri chafu ya mwekezaji pia mkataba umempa uungu fulani mwekezajiMwekezaji hana dhamira chafu dhamira yake ni kupata faida ya mtaji wake
Nafiri wewe ndio fala na mjinga mkataba upo na ulishawekewa sahihi kwa hiyo jifunze kusoma na kuelewa unachosoma there’s a bona fide contract and it’s kosherHuo mkataba wa DP World uko wapi?
Huyo fala wa Kinyaturu anacheza na maneno tu, hakuna mkataba na DP World. Lakini unasukwa bado, upo njiani.
"furani" ndiyo mungu yuppi huyo?Lengo la mikataba mibovu ni kuishitaki nchi baadae na kuisababishia hasara kama kukamatwa kwa ndege nk huo mkataba umeonyesha wazi wazi dhamiri chafu ya mwekezaji pia mkataba umempa uungu furani mwekezaji