Lissu: Mkataba na DP World Rais Samia ametukosea sana!

Lissu: Mkataba na DP World Rais Samia ametukosea sana!

Hivi ni nani kati ya Tanzania na Dubai aliyetakiwa kuandaa mkataba? Huu hauna sura ya kwamba TZ ndio yenye kuhitaji mwekezaji. AIBU
Mlipewa ofa bure jengo la burj khalifa
 
Lisu uko vizuri kwenye sheria,lakini akihamia kwenye siasa ni mzandiki,mzushi,muongo,mfitini na mbabaishaji mno.
Kumbe Lissu ni mzinguaji sana!! Ili niweke taarifa sawasawa, unaweza kunisaidia kujua, Uzandiki, Uzushi, Uongo, ufitini na ubabaishaji wa Lissu?
 
Naandika kama raia mwema mwenye mapenzi mema nawe na taifa langu la Tanzania. ni jambo lililo wazi kuwa kupata kwako urais kuliamsha matumaini mapya kwa wazalendo wa nchi hii, wakiamini sasa utawala wa haki, demokrasia na usawa utarejea katika taifa letu adhimu.
Hata hivyo, suala la bandari limeonesha picha yako tofauti. Hutaki nkusikiliza kilio na concern za maelfu ya watanzania bali umeamua kusikiliza machawa na walamba asali. Umehiari bandari zetu zikodishwe kwa mikataba ya hovyo kwa kila kigezo cha mkataba.

Jambo la kujua ni kuwa taifa hili lipo 'mikono' salama. Wanatizama tu mwendo wako and soon, they will fix you madam.
Uwe na majukumu mema
 
Kumbe Lissu ni mzinguaji sana!! Ili niweke taarifa sawasawa, unaweza kunisaidia kujua, Uzandiki, Uzushi, Uongo, ufitini na ubabaishaji wa Lissu?
Siasa ni uzandiki kwa asili Dogo,na uzandiki huu wa siasa ndio uharibifu kwa mataifa ,dunia na Tanzania yetu🤔
 
Naandika kama raia mwema mwenye mapenzi mema nawe na taifa langu la Tanzania. ni jambo lililo wazi kuwa kupata kwako urais kuliamsha matumaini mapya kwa wazalendo wa nchi hii, wakiamini sasa utawala wa haki, demokrasia na usawa utarejea katika taifa letu adhimu.
Hata hivyo, suala la bandari limeonesha picha yako tofauti. Hutaki nkusikiliza kilio na concern za maelfu ya watanzania bali umeamua kusikiliza machawa na walamba asali. Umehiari bandari zetu zikodishwe kwa mikataba ya hovyo kwa kila kigezo cha mkataba.

Jambo la kujua ni kuwa taifa hili lipo 'mikono' salama. Wanatizama tu mwendo wako and soon, they will fix you madam.
Uwe na majukumu mema

Kwa hili Kanda ya ziwa usukumani huko wanaita "amepalama."

Hiiiiiiiii baghosha!
 
Amelikosea Taida letu mno tena sana na mno!
Na sasa wameamua kuwakamata watu wakidhani ndio kumaliza tatizo!
Wanamwaga petroli kwenye moto kama hawajui!
 
Back
Top Bottom