Lissu: Mkataba na DP World Rais Samia ametukosea sana!

Lissu: Mkataba na DP World Rais Samia ametukosea sana!

Nimemsikiliza Tundu Lissu akiwa kariakoo akishikashika vikaratasi flani akiita mkataba wa DP World, nilitegemea angeusoma mkataba wenyewe lakini alibaki kuongelea mauzuzshi mengi na matusi kwa rais. Huyu mtu ndio maana Magufuli alitaka kummaliza, ni mwongo, mzushi, mpotoshaji, ameshahongwa na ndio zake anafaidikaga ktk mazingira km haya. Nisubiri asome mkataba wenyewe wala hakuufungua kuonesha alikuwa anapotosha tu, ni mtu mtu hatari sana kwa ustawi wa nchi hii, Rais kuruhusu na kutoa uhuru wa aina ile sijui amejiandaaje kukabilana nao. Vitu alivyozungumza haviwezekani hata kwa akili ya kawaida.

Alivyo mnafki leo hakuzungumzia habari za Magufuli zaidi ya kujaribu kumsifu, hii inatokana na kusoma upepo kuwa akimsema Magufuli pengine wananchi wasingeelewa upotoshaji wake. Ila amewatukana mkapa na Kikwete na kuwarushia mauwongo mengi sana. Mimi nachoweza kumshauri Rais wangu apige kazi na mikataba km mingine ibaki siri ya serikali siyo lazima lwenda bungeni, watanzania wengi uwezo wao wa kuelewa na kupambanua mambo ni mdogo sana ila wakiona matokeo mazuri watakuelewa na kukusifu. Sasa hivi wananchi watachanganywa sana, ila huu uhuru uliopitiliza kiasi wa upotoshaji udhibitiwe. Mwisho rais we piga kazi ukiwasikiliza watakukwamisha baadaye waseme si mmeona ameshindwa?
Hawa wapotoshaji dawa ni kuwapuuza tu
 
Wewe utayaona tu yakishindana kufungua threads za kusmhambulia Lissu,last week yalikua kwa Tibaijuka na Shivji,this week kwa Lissu!!
Ushibiki wa kijinga, mimi ni ccm, ila sishabikii yasiyo na manufaa kwa nchi.
NITASEMA KWELI DAIMA,FITINA KWANGU MWIKA..Hata Shivji ndio msimamo wake,.
 
Kwenye hiyo post yako jambo pekee la maana ulilozungumza ni hapo kuwa Magufuli alitaka kummaliza Lisu. Wenzako huwa wanataka ushahidi kama ni Magufuli alitaka kummaliza. Sasa badala ya kuacha wenzako wa CCM wapotoshe kuhusu nani alitaka kummaliza Lisu na ukweli unaujua, bora uwaambie tu.
Jamaa kajichanganya hapo tu, kiukweli ile kutamani kiti cha mbowe ndiko kulikomponza Lissu.
 
Nimemsikiliza Tundu Lissu akiwa kariakoo akishikashika vikaratasi flani akiita mkataba wa DP World, nilitegemea angeusoma mkataba wenyewe lakini alibaki kuongelea mauzuzshi mengi na matusi kwa rais. Huyu mtu ndio maana Magufuli alitaka kummaliza, ni mwongo, mzushi, mpotoshaji, ameshahongwa na ndio zake anafaidikaga ktk mazingira km haya. Nisubiri asome mkataba wenyewe wala hakuufungua kuonesha alikuwa anapotosha tu, ni mtu mtu hatari sana kwa ustawi wa nchi hii, Rais kuruhusu na kutoa uhuru wa aina ile sijui amejiandaaje kukabilana nao. Vitu alivyozungumza haviwezekani hata kwa akili ya kawaida.

Alivyo mnafki leo hakuzungumzia habari za Magufuli zaidi ya kujaribu kumsifu, hii inatokana na kusoma upepo kuwa akimsema Magufuli pengine wananchi wasingeelewa upotoshaji wake. Ila amewatukana mkapa na Kikwete na kuwarushia mauwongo mengi sana. Mimi nachoweza kumshauri Rais wangu apige kazi na mikataba km mingine ibaki siri ya serikali siyo lazima lwenda bungeni, watanzania wengi uwezo wao wa kuelewa na kupambanua mambo ni mdogo sana ila wakiona matokeo mazuri watakuelewa na kukusifu. Sasa hivi wananchi watachanganywa sana, ila huu uhuru uliopitiliza kiasi wa upotoshaji udhibitiwe. Mwisho rais we piga kazi ukiwasikiliza watakukwamisha baadaye waseme si mmeona ameshindwa?
Huyo Magufuli aliyetaka kumuua Lissu leo yuko wapi ?
 
Huyu mtu ndio maana Magufuli alitaka kummaliza, ni mwongo, mzushi,
Noted 👆👆👆!!! Hujaainisha hayo matusi dhidi ya Rais, hujaainisha huo uzushi wake. NB; Jukwaa lingependa utoe utaalam wako na ujuzi kuhusu mkataba wa DP world, ili kum prove wrong LISSU!!
 
Alipinga wapi wkt kill siku nasikia TBC hotuba za nyerere
Wewe ujui ya sirini sa100 anachuki na Nyerere kuliko magufuli ...hao unaosikia wajomba oman unajua ni hakina nani wakati wa mapinduzi ya zanzibar ? Tena hao wajomba wa oman wana amini kuwa Nyerere ndiyo aliye wapindua ....hivyo chuki ya huyo mama niya mbali ...wajomba zake bado wanaamin kuwa zanzibar ni koloni lao na ngozi nyeusi ni watumwa wao ...hivyo wanajipanga kurudi kwa njia yoyote
 
Jamaa kajichanganya hapo tu, kiukweli ile kutamani kiti cha mbowe ndiko kulikomponza Lissu.
Kama Mbowe ndio alimshambulia Lisu kwanini asingefunguliwa mashitaka ya hayo mashambulizi, badala yake akabambikiwa kesi ya ugaidi? Punguza utoto dogo.
 
Nimemsikiliza Tundu Lissu akiwa kariakoo akishikashika vikaratasi flani akiita mkataba wa DP World, nilitegemea angeusoma mkataba wenyewe lakini alibaki kuongelea mauzuzshi mengi na matusi kwa rais. Huyu mtu ndio maana Magufuli alitaka kummaliza, ni mwongo, mzushi, mpotoshaji, ameshahongwa na ndio zake anafaidikaga ktk mazingira km haya. Nisubiri asome mkataba wenyewe wala hakuufungua kuonesha alikuwa anapotosha tu, ni mtu mtu hatari sana kwa ustawi wa nchi hii, Rais kuruhusu na kutoa uhuru wa aina ile sijui amejiandaaje kukabilana nao. Vitu alivyozungumza haviwezekani hata kwa akili ya kawaida.

Alivyo mnafki leo hakuzungumzia habari za Magufuli zaidi ya kujaribu kumsifu, hii inatokana na kusoma upepo kuwa akimsema Magufuli pengine wananchi wasingeelewa upotoshaji wake. Ila amewatukana mkapa na Kikwete na kuwarushia mauwongo mengi sana. Mimi nachoweza kumshauri Rais wangu apige kazi na mikataba km mingine ibaki siri ya serikali siyo lazima lwenda bungeni, watanzania wengi uwezo wao wa kuelewa na kupambanua mambo ni mdogo sana ila wakiona matokeo mazuri watakuelewa na kukusifu. Sasa hivi wananchi watachanganywa sana, ila huu uhuru uliopitiliza kiasi wa upotoshaji udhibitiwe. Mwisho rais we piga kazi ukiwasikiliza watakukwamisha baadaye waseme si mmeona ameshindwa?
Mbona Watanganyika wote tunao mkataba? Hatuhitaji mtu atusomee, tunahitaji uchambuzi na ufafanuzi tu!!

Huko Zenji hamjaupata?
 
Mashungi ni mpumbavu na adui wa taifa ...wewe jiulize kwanini alipiga marufuku hotuba za Nyerere na Jpm
Nimechelewa sana kupata hii habari,
Kazipiga ban kusikika wapi mzee!
 
Nimechelewa sana kupata hii habari,
Kazipiga ban kusikika wapi mzee!
Watu wa vyombo vya habari walipokea agizo na wamiliki.... wewe ukuona hata daraja la tanzanite picha ya magufuli na nyerere hazikuwekwa wala jina la jpm alikutajwa hata wananchi alio hojiwa kuhusu daraja wale wote ambao walimtaja jpm basi clip zao zilifutwa zisirushwe popote
 
Watu wa vyombo vya habari walipokea agizo na wamiliki.... wewe ukuona hata daraja la tanzanite picha ya magufuli na nyerere hazikuwekwa wala jina la jpm alikutajwa hata wananchi alio hojiwa kuhusu daraja wale wote ambao walimtaja jpm basi clip zao zilifutwa zisirushwe popote
Duh noma sana, inamaana na kile kipindi kinachorushwaga tbc taifa cha usia wa baba hakipo tena?
 
Back
Top Bottom