Lissu: Mkataba na DP World Rais Samia ametukosea sana!

Lissu: Mkataba na DP World Rais Samia ametukosea sana!

"furani" ndiyo mungu yuppi huyo?
Mimi najua sana kiarabu kuliko kiswahili [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani ujui kiarabu ni lugha ya mtume mudi aleku musalamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] pia kumbuka sisi ngozi nyeusi kukifufuliwa tutafufuliwa waarabu peponi
 
Huo mkataba wa DP World uko wapi?


Huyo fala wa Kinyaturu anacheza na maneno tu, hakuna mkataba na DP World. Lakini unasukwa bado, upo njiani.

Kumbe hawa ndugu hawajui wanayoongelea kuwa ni mkataba ila wewe?

Fz29UR6WAAAfh9G.jpeg




Pac the Don wale manguli wa sheria wasiokuwa mafala wameanza ku test mitambo.
 

Tumeaibishwa sana, sijui hawa wanaounga mkono huu ujinga wamepewa nini.

Nia ovu kutoka kwa viongozi wetu ilidhihirika pale walipoudanganya umma kwamba walichosaini sio mkataba. Wabunge pia bungeni wameidhinisha kitu wasichokijua, hawakuelewa kwamba wameidhinisha mkataba.

Kitakachofuata sasa hivi ni kurekebisha sheria za Tanzania ili kuingiza vifungu vya mkataba wao huo.

Hivi kweli kama taifa tumefikia hatua ya kuipa nchi nyingine bandari yetu waitawale? Kama taifa tumefikia hatua ya kumpa mgeni lango letu alitawale?

Tumekosewa sana, sana!
We are doomed.....
 
Kwani Mama haupigi tena mwingi?[emoji1787][emoji1787]

Kuupiga mwingi siyo kipaji kama urefu au ufupi. Hata mgema akisifiwa tembo hutiwa maji.

Sifa Kwa binadamu mwenye nyama na roho hazijawahi kuwa "perpetual." Ndiyo maana wakasema "hujafa hujaumbika."

Ukibutua unavaliwa vizuri tu.
 
Nia ovu kutoka kwa viongozi wetu ilidhihirika pale walipoudanganya umma kwamba walichosaini sio mkataba. Wabunge pia bungeni wameidhinisha kitu wasichokijua, hawakuelewa kwamba wameidhinisha mkataba.
Wabunge wenyewe akina Msukuma, Jahpipo, Kibajaji
 

Tumeaibishwa sana, sijui hawa wanaounga mkono huu ujinga wamepewa nini.

Nia ovu kutoka kwa viongozi wetu ilidhihirika pale walipoudanganya umma kwamba walichosaini sio mkataba. Wabunge pia bungeni wameidhinisha kitu wasichokijua, hawakuelewa kwamba wameidhinisha mkataba.

Kitakachofuata sasa hivi ni kurekebisha sheria za Tanzania ili kuingiza vifungu vya mkataba wao huo.

Hivi kweli kama taifa tumefikia hatua ya kuipa nchi nyingine bandari yetu waitawale? Kama taifa tumefikia hatua ya kumpa mgeni lango letu alitawale?

Tumekosewa sana, sana!
Nadhani Kuna watu wamedhamiria kuuvunja Muungano na kuhakikisha tunagombana lengo Uganda na Tanzania zisifaidi rasilimali zao za kuwainua kiuchumi.

Watashindwa na wanaotumiwa kutuchonganisha wataadhibiwa!
 
Niseme ametukosea sana, au pia naweza kusema ametutukana kabisa. Kitendo cha kuwapa wageni mamlaka kamili wajitawale ndani ya nchi yetu, kama sio tusi kwa wale waliopigania uhuru sijui niite ni kitu gani tena..

Atambue tu huko alipo, anatakiwa kutuomba radhi watanganyika, aende pia kwenye makaburi ya wazee wetu waliopigania uhuru wetu awaombe radhi, kisha baada ya hapo auvunje ule mkataba wa kinyonyaji unaomtweza mtanganyika ndani ya mipaka ya nchi yake.

Asijisanganye na majibu mepesi ya kuziba masikio, ajue tu anaotuambia hayo ni watu wazima wenye akili zetu timamu, ameshakosea mwanzo kusaini ule mkataba, asiendelee kukosea zaidi, werevu tutazidi kumuona asivyojielewa.
Maneno kuntu
Niseme ametukosea sana, au pia naweza kusema ametutukana kabisa. Kitendo cha kuwapa wageni mamlaka kamili wajitawale ndani ya nchi yetu, kama sio tusi kwa wale waliopigania uhuru sijui niite ni kitu gani tena..

Atambue tu huko alipo, anatakiwa kutuomba radhi watanganyika, aende pia kwenye makaburi ya wazee wetu waliopigania uhuru wetu awaombe radhi, kisha baada ya hapo auvunje ule mkataba wa kinyonyaji unaomtweza mtanganyika ndani ya mipaka ya nchi yake.

Asijisanganye na majibu mepesi ya kuziba masikio, ajue tu anaotuambia hayo ni watu wazima wenye akili zetu timamu, ameshakosea mwanzo kusaini ule mkataba, asiendelee kukosea zaidi, werevu tutazidi kumuona asivyojielewa.
Ujumbe maridhawa sana huu kwa huyu mama. Asipozisikia sauti zote hizi asije kulaumu mtu mambo yakimharibikia.
 

Tumeaibishwa sana, sijui hawa wanaounga mkono huu ujinga wamepewa nini.

Nia ovu kutoka kwa viongozi wetu ilidhihirika pale walipoudanganya umma kwamba walichosaini sio mkataba. Wabunge pia bungeni wameidhinisha kitu wasichokijua, hawakuelewa kwamba wameidhinisha mkataba.

Kitakachofuata sasa hivi ni kurekebisha sheria za Tanzania ili kuingiza vifungu vya mkataba wao huo.

Hivi kweli kama taifa tumefikia hatua ya kuipa nchi nyingine bandari yetu waitawale? Kama taifa tumefikia hatua ya kumpa mgeni lango letu alitawale?

Tumekosewa sana, sana!
Dubai si nchi bali ni sehemu tu ya nchi iitwayo Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates - UAE), kwa Kiswahili hufupishwa Himarati. Ni kama ilivyo Dar es Salaam ni sehemu tu ndogo ya nchi ya Tanzania.

Ni aibu na fedheha kubwa kwa nchi yetu kuingia mkataba wa kutawaliwa na kisehemu tu cha nchi fulani.
 
Samia ana namna mbili za kujinusuru, si moja! Mbali na kuufuta mkataba, namna ya pili ni kujiuzulu urais kwa aibu aliyoiingiza nchi ili awapishe wazalendo wa kweli na wanaoweza kusimamia, kudhibiti, kuendesha na kuendeleza bandari zetu kwa ufanisi.
 
Nimemsikiliza Tundu Lissu akiwa kariakoo akishikashika vikaratasi flani akiita mkataba wa DP World, nilitegemea angeusoma mkataba wenyewe lakini alibaki kuongelea mauzuzshi mengi na matusi kwa rais. Huyu mtu ndio maana Magufuli alitaka kummaliza, ni mwongo, mzushi, mpotoshaji, ameshahongwa na ndio zake anafaidikaga ktk mazingira km haya. Nisubiri asome mkataba wenyewe wala hakuufungua kuonesha alikuwa anapotosha tu, ni mtu mtu hatari sana kwa ustawi wa nchi hii, Rais kuruhusu na kutoa uhuru wa aina ile sijui amejiandaaje kukabilana nao. Vitu alivyozungumza haviwezekani hata kwa akili ya kawaida.

Alivyo mnafki leo hakuzungumzia habari za Magufuli zaidi ya kujaribu kumsifu, hii inatokana na kusoma upepo kuwa akimsema Magufuli pengine wananchi wasingeelewa upotoshaji wake. Ila amewatukana mkapa na Kikwete na kuwarushia mauwongo mengi sana. Mimi nachoweza kumshauri Rais wangu apige kazi na mikataba km mingine ibaki siri ya serikali siyo lazima lwenda bungeni, watanzania wengi uwezo wao wa kuelewa na kupambanua mambo ni mdogo sana ila wakiona matokeo mazuri watakuelewa na kukusifu. Sasa hivi wananchi watachanganywa sana, ila huu uhuru uliopitiliza kiasi wa upotoshaji udhibitiwe. Mwisho rais we piga kazi ukiwasikiliza watakukwamisha baadaye waseme si mmeona ameshindwa?
 
Back
Top Bottom