Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Hivyo kama vinarusha basi ni chini ya uratibu maalumu wa muarabuDuh noma sana, inamaana na kile kipindi kinachorushwaga tbc taifa cha usia wa baba hakipo tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo kama vinarusha basi ni chini ya uratibu maalumu wa muarabuDuh noma sana, inamaana na kile kipindi kinachorushwaga tbc taifa cha usia wa baba hakipo tena?
Hivyo kama vinarusha basi ni chini ya uratibu maalumu wa muarabu
Alijifanya anataka kupendwaMh Samia you did technical mistake, this issue will affect much if you still insist to run for president post 2025, umewapa agenda nyepesi sana ya kukumaliza kwa wanaNchi.
Acha Kelele We Kahaba Wa KiajemiHuo mkataba wa DP World uko wapi?
Huyo fala wa Kinyaturu anacheza na maneno tu, hakuna mkataba na DP World. Lakini unasukwa bado, upo njiani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi Una mwagikaaaAfungue ifunguke kabisa
Mama yupo kwenye right track km mwanzo walivyosema wenyewe akina Lissu kuwa anaupiga mwingi.
Atajiweka mwenyewe kwa kuprint fomu moja tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa upumbavu wa ccm wanaweza kumuweka tena huyu Bibi 2025 kugombea urais.
Mitano Mingine kwa Mama.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi Una mwagikaaa
Kumbe ninyi mlisema anaifunga nchi?Mama anafungua nchi kama mlivyosema.
Si mlisema anafungua,jiwe alifungaKumbe ninyi mlisema anaifunga nchi?
Hiiiiii bagosha!
Si mlisema anafungua,jiwe alifunga
Mwache azidi kuifungua hadi kieleweke[emoji23]
Tupo kwenye right trackHukuwahi kusikia mgema akisifiwa tembo hulitia maji? Au kwenu "wanzuki" rangi yake na maji haviendani?
Sogeeni na pwani muone mambo!
Sasa hivi anajificha hana tena value.Kwani Mama haupigi tena mwingi?[emoji1787][emoji1787]
[emoji23]Sasa hivi anajificha hana tena value.
Kasome kitabu cha Mkapa, unavyosema kuruhusu mikutano sijui kama unaijua katiba vizuri ambayo ilifanyiwa marekebisho na kuruhusu mfumo wa vyama vingi. katiba inatamka nini kuhusu vyama vya siasa. JPM alitaka kumuua Lissu nini kimetokea?! Kwenye ukweli lazima pasemwe Magu na ukichaa wake wote hili la bandari hata hao Waarabu wasingelete pua zao, lakini wameona Rais dhaifu tena ambaye hayupo makini na masuala ya Taifa wameuza nchi. Wewe huu mkataba upo kila kona sasa unataka akusomee ili iweje. Tumia akili kuandika hoja sio kujaza ujinga wako. Kati ya Mbarawa na Samia nani kavuta hela ya kuhongwa? una habari Zanzibar inajengwa hotel kubwa sana ya moja hao niliowataja hapo. SAMIA KATUKOSEA PAKUBWA SANA.Nimemsikiliza Tundu Lissu akiwa kariakoo akishikashika vikaratasi flani akiita mkataba wa DP World, nilitegemea angeusoma mkataba wenyewe lakini alibaki kuongelea mauzuzshi mengi na matusi kwa rais. Huyu mtu ndio maana Magufuli alitaka kummaliza, ni mwongo, mzushi, mpotoshaji, ameshahongwa na ndio zake anafaidikaga ktk mazingira km haya. Nisubiri asome mkataba wenyewe wala hakuufungua kuonesha alikuwa anapotosha tu, ni mtu mtu hatari sana kwa ustawi wa nchi hii, Rais kuruhusu na kutoa uhuru wa aina ile sijui amejiandaaje kukabilana nao. Vitu alivyozungumza haviwezekani hata kwa akili ya kawaida.
Alivyo mnafki leo hakuzungumzia habari za Magufuli zaidi ya kujaribu kumsifu, hii inatokana na kusoma upepo kuwa akimsema Magufuli pengine wananchi wasingeelewa upotoshaji wake. Ila amewatukana mkapa na Kikwete na kuwarushia mauwongo mengi sana. Mimi nachoweza kumshauri Rais wangu apige kazi na mikataba km mingine ibaki siri ya serikali siyo lazima lwenda bungeni, watanzania wengi uwezo wao wa kuelewa na kupambanua mambo ni mdogo sana ila wakiona matokeo mazuri watakuelewa na kukusifu. Sasa hivi wananchi watachanganywa sana, ila huu uhuru uliopitiliza kiasi wa upotoshaji udhibitiwe. Mwisho rais we piga kazi ukiwasikiliza watakukwamisha baadaye waseme si mmeona ameshindwa?
Jibu hoja acha kujitoa akili mke wetu umekuja na umbea wanaume tunataka vielelezo vya JPM kutaka kumuua Lissu unajiharishia tu hapa. Leo tutaku...tomba mpaka ujute kuandika majungu.kilaza mamako angevaa condom lisizaliwe zuzu km wewe. kenge mburula mkubwa