Lissu: Mkataba na DP World Rais Samia ametukosea sana!

Lissu: Mkataba na DP World Rais Samia ametukosea sana!

Mh Samia you did technical mistake, this issue will affect much if you still insist to run for president post 2025, umewapa agenda nyepesi sana ya kukumaliza kwa wanaNchi.
Alijifanya anataka kupendwa
 
Kweli kabisa huyu bibi katukosea sana wtz.anatakiwa asitishe huo mpango wake ovu na atuombe radhi hadharani kujutia huo mpango wake wa hovyo.
 
Huyu mama hili kosa atalibeba milele .Yaani kuna watu ukiwaangalia huwezi dhania walivyo mbn huko Zanzibar kwao asifanye hivi
 
Huyu mama wakati Magufuli anahutubia kuhusu kuingia kwenye mikataba ya ajabu alikuwa aamekaa mbele kabisa tena anasikiliza kwa makini.Cha ajabu kaenda kufanya kile kile alichoonywa uone akili za watu zilivyo.Hakuna wakulaumiwa zaidii yake .Mkapa,Mwinyi,Maghufuli huenda kuna mikataba walipitisha lkn sio wa kipumbavu kama huu.WAZANZIBARI mnafanya hivi simply because sio nchi yenu na WAARABU mnawaonaga kama miungu watu hata mkiwa nao huko kwenu Zenj
 
Si mlisema anafungua,jiwe alifunga
Mwache azidi kuifungua hadi kieleweke[emoji23]

Hukuwahi kusikia mgema akisifiwa tembo hulitia maji? Au kwenu "wanzuki" rangi yake na maji haviendani?

Sogeeni na pwani muone mambo!
 
Hukuwahi kusikia mgema akisifiwa tembo hulitia maji? Au kwenu "wanzuki" rangi yake na maji haviendani?

Sogeeni na pwani muone mambo!
Tupo kwenye right track
Mitano Mingine kwa Mama[emoji23]
 
Adui wa Watanganyika ni Samia, Mbarawa, Tulia na Wabunge wote ukitoa Mpina, na Kenani.
 
Sasa hivi anajificha hana tena value.
[emoji23]
Anayeelewa kuhusu mkataba naomba anieleweshe tafadhali ili nijue naegemea upande upi.

Umahusu nini
Una vitu gani
Faida zake ni zipi na hasara zake ni zipi,
Kiukweli toka nimeanza kusikia hili sekeseke, sijapata muda wa kufuatilia.
 
Nimemsikiliza Tundu Lissu akiwa kariakoo akishikashika vikaratasi flani akiita mkataba wa DP World, nilitegemea angeusoma mkataba wenyewe lakini alibaki kuongelea mauzuzshi mengi na matusi kwa rais. Huyu mtu ndio maana Magufuli alitaka kummaliza, ni mwongo, mzushi, mpotoshaji, ameshahongwa na ndio zake anafaidikaga ktk mazingira km haya. Nisubiri asome mkataba wenyewe wala hakuufungua kuonesha alikuwa anapotosha tu, ni mtu mtu hatari sana kwa ustawi wa nchi hii, Rais kuruhusu na kutoa uhuru wa aina ile sijui amejiandaaje kukabilana nao. Vitu alivyozungumza haviwezekani hata kwa akili ya kawaida.

Alivyo mnafki leo hakuzungumzia habari za Magufuli zaidi ya kujaribu kumsifu, hii inatokana na kusoma upepo kuwa akimsema Magufuli pengine wananchi wasingeelewa upotoshaji wake. Ila amewatukana mkapa na Kikwete na kuwarushia mauwongo mengi sana. Mimi nachoweza kumshauri Rais wangu apige kazi na mikataba km mingine ibaki siri ya serikali siyo lazima lwenda bungeni, watanzania wengi uwezo wao wa kuelewa na kupambanua mambo ni mdogo sana ila wakiona matokeo mazuri watakuelewa na kukusifu. Sasa hivi wananchi watachanganywa sana, ila huu uhuru uliopitiliza kiasi wa upotoshaji udhibitiwe. Mwisho rais we piga kazi ukiwasikiliza watakukwamisha baadaye waseme si mmeona ameshindwa?
Kasome kitabu cha Mkapa, unavyosema kuruhusu mikutano sijui kama unaijua katiba vizuri ambayo ilifanyiwa marekebisho na kuruhusu mfumo wa vyama vingi. katiba inatamka nini kuhusu vyama vya siasa. JPM alitaka kumuua Lissu nini kimetokea?! Kwenye ukweli lazima pasemwe Magu na ukichaa wake wote hili la bandari hata hao Waarabu wasingelete pua zao, lakini wameona Rais dhaifu tena ambaye hayupo makini na masuala ya Taifa wameuza nchi. Wewe huu mkataba upo kila kona sasa unataka akusomee ili iweje. Tumia akili kuandika hoja sio kujaza ujinga wako. Kati ya Mbarawa na Samia nani kavuta hela ya kuhongwa? una habari Zanzibar inajengwa hotel kubwa sana ya moja hao niliowataja hapo. SAMIA KATUKOSEA PAKUBWA SANA.
 
kilaza mamako angevaa condom lisizaliwe zuzu km wewe. kenge mburula mkubwa
Jibu hoja acha kujitoa akili mke wetu umekuja na umbea wanaume tunataka vielelezo vya JPM kutaka kumuua Lissu unajiharishia tu hapa. Leo tutaku...tomba mpaka ujute kuandika majungu.
 
Back
Top Bottom