Lissu: Sheria na Tamaduni za kitanzania haziungi mkono mapenzi ya jinsia moja, mimi pia siungi mkono jambo hilo

Lissu: Sheria na Tamaduni za kitanzania haziungi mkono mapenzi ya jinsia moja, mimi pia siungi mkono jambo hilo

Alipokua huko kwao alisema vile, na amerudi hapa kwetu amesema hivi.
Nikama anacheza na wakati na hii ndio maana halisi ya siasa...😂
Anaanza kuwa mwanasiasa sasa naondoka kwenye uharakati....Mie sioni shida mtu kurekebisha mKosa yake ndiyo akili yenyewe
 
Kwa hivyo Lissu anauga mkono Ushoga wa faragha. Jee sheria inasemaje kuhusu wale wanao tumia au kuuza Gongo, Mihadarati kwa faragha, wanaruhusiwa kuvamiwa na polisi na kupelekwa mbele ya sheria? Au katiba hai ruhusu kuwaingilia watu vyumbani?

Alichosema hiki hapa:

Screenshot_20230203-140057.jpg


Mengine ya kwako.
 
Lissu ameyasema hayo baada ya kuulizwa swali kwenye kipindi cha Clouds 360 ambapo mtangazaji alimuuliza Lissu yupo upande gani sababu mahasimu wake wa kisiasa wamekuwa wakimtuhumu kuwa supporter wa mapenzi ya jinsia moja kwakuwa anakaa ulaya.

Lissu amesema hizo ni siasa za maji taka na kwamba hajawahi kusema popote kuwa anaunga mkono mapenzi ya jinsia moja.

Anasema jambo hili liliibuliwa alipojibu swali kwenye kipindi cha Hard Talk BBC ambapo alisema mambo ya faragha serikali haitakiwi kuingilia na kwamba nchi ina katiba inayosema serikali hairuhusiwi chumbani.

Akielezea msimamo wake juu ya jambo hili Lissu amesema, "Watu wenye utamaduni huo waendelee na utamaduni wao, sisi wenye utamaduni tofauti tuendelee na utamaduni wetu, sheria na tamaduni zetu haziruhusu ushoga hivyo tuendelee na utamaduni wetu, siungi mkono ushoga."

View attachment 2504788
GIA angani
 
P
ii ni habari mbaya sana kwenu. Leo usingizi mtaupata wapi?ol
Pole
 
Anasema nini kuhusu faragha ya ushogha? Inamaana anasema wafanye ushoga kwa siri.
Tuliosoma cuba tumeelewa.
 
Kwa hivyo Lissu anauga mkono Ushoga wa faragha. Jee sheria inasemaje kuhusu wale wanao tumia au kuuza Gongo, Mihadarati kwa faragha, wanaruhusiwa kuvamiwa na polisi na kupelekwa mbele ya sheria? Au katiba hai ruhusu kuwaingilia watu vyumbani?
Nikwamba, Tanzania Ushoga unatuhusiwa kwa Sheria, hapo Zanzibar mashoga wazungu kibao tunawaita watalii na wakienda Hotelin wanabook room moja, Kama kweli Ushoga mbona hawachukuliwi hatua, hao Wazungu waende na ushoga wao Qatar tuone, hata Arusha, Mashoga ww Kizungu wanakuja kibao tu, wanasema wapo Vacation , na waongoza watalii watawapeleka huko Serengeti na watafanya Romance na huwaambii kitu

Hicho ndicho Lissu anasema, huwa hamumuelewi tu, yy kusema Katiba haijakataza Ina maana kasema anaunga mkono?
 
Back
Top Bottom