Pre GE2025 Lissu: Sijui ilikuwaje CHADEMA tukamualika Rais Samia, ila mbeleni tutaelezana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unazungumza ujinga mtupu..JPM alivuruga vipi au mlijivuruga wenyewe...msimsingizie...mliambiwa kama mlikuwa na ushahidi pelekeni Mahakamani hamsikii, mnabaki kupiga mayowe tu....inawasaidia nini..haya, JPM hayupo, aliyekuwa Makamu wake si ndio Rais wetu, anasema Kazi iendelee ileile kama walivyoanzisha na mtangulizi wake...CCM inaendelea kujiimarisha na kumtumikia wananchi mbelekwa mbele..mpo..!!!! Mmekaa kukenua meno tu kama sifi..au fisi..
 
Labda wewe hukumpigia magoti lakini viongozi wengi sana wa chama chako walimpigia magoti Magufuli, wengine kukimbia nchi, Magufuli alivyokufa wakashukuru Mungu, maana ndio ilikuwa ahueni yao

Sijasema kuwa Samia yupo anataka kum prove wrong Magufuli, nilichosema ni kuondoka kwa zile extremist politics za awamu ya Magufuli ambazo naona Lissu anataka sana kuziamsha

Watanzania hawana uwezo wowote wa kufanya vurugu wa kupinga eti kiongozi katili, ndio kwanza watamshangilia kuwa ndio kiongozi aliyeiweza nchi....Ndio maana hata ukiweka poll hapa leo ya viongozi bora Tanzania, wengi watasema Magufuli alikuwa bora
 
Unaposema "mlijivuruga wenyewe" unamaanisha nini, maana mimi siwakilishi kundi lolote... Magufuli alivuruga nchi ndio maana viongozi wa vyama vyote CCM na upinzani walifurahia kifo chake, utakuwa mshamba sana kama hujui hili
 
Sitegemei mabadiliko yoyote kwao, naowaona kama watu walio disorganized, hawana principle, hawana discipline na hawawezi kuleta mabadiliko chanya,
 
Sisi sote siyo watanzania. Ingekuwa hivyo Samia asingewavurumisha wamasai ili waarabu wapate sehemu.
Ni mtazamo tu, wengine wamekuaminisha ni kuwavurumisha wamasai, wengine wanaona ni kulinda ngorongoro, ila hiyo ni topic nyingine
 
Nimekuambia aliyeshindwa hayo alienda kuunga juhudi, lakini Bado tuko wengi ambao. Watanzania hawawezi kufanya fujo Leo ama kesho, lakini hakuna uwezekano wa kutawala watu muda wote kwa mabavu.

Ni kweli Kuna watu walimkubali Magufuli, lakini hiyo haimaanishi wote tulimkubali. Watu wachache sana wangetosha kumuondoa mtu kama Magufuli. Nadani umeona Nini kilitokea. Tunataka mabadiliko ya kweli, sio uungwana wa kiongozi boss.
 
Sitegemei mabadiliko yoyote kwao, naowaona kama watu walio disorganized, hawana principle, hawana discipline na hawawezi kuleta mabadiliko chanya,
Kama ccm wako madarakani Hadi Leo mkuu nani atashindwa kuongoza nchi ya hivyo?
 
Lissu anataka siasa za ushindani na haki. Unataka awe kama Zitto anayeweka tumbo lake mbele?
Hawezi ushindani wowote, kashindwa kutengeneza hoja za kuvutia wananchi anaanza ku attack asili ya Samia kuwa ni Mzanzibari eti ndio maana anauza sijui ardhi...na nyie wafuasi wake mnakua kama manyumbu flani hivi kudhangilia kila uharo wake
 
Unaposema "mlijivuruga wenyewe" unamaanisha nini, maana mimi siwakilishi kundi lolote... Magufuli alivuruga nchi ndio maana viongozi wa vyama vyote CCM na upinzani walifurahia kifo chake, utakuwa mshamba sana kama hujui hili
Nyie mliotumbuliwa na vyeti feki na ufisadi ndio mlifurahia...fanya research basi kwa wananchi upate data...ndio maana hata Dr SSH anaendeleza yote na wananchi wamemwelewa.. kwa sabab mipango yote walipanga pamoja..Sasa wewe mtumbuliwaji endelea kukenua meno tu kwa ushamba
 
Hawezi ushindani wowote, kashindwa kutengeneza hoja za kuvutia wananchi anaanza ku attack asili ya Samia kuwa ni Mzanzibari eti ndio maana anauza sijui ardhi...na nyie wafuasi wake mnakua kama manyumbu flani hivi kudhangilia kila uharo wake
I seems that you are full of anger about Lissu. Samia ni mzanzibar au siyo mzanzibar? Samia kawafukuza wamasai na kwenye ardhi na kuwapa waarabu au hakuwapa? Kama ''unyumbu'' ni kusema ukweli, basi acha iwe hivyo. Kwanza huu muungano ni hasara kwetu Tanganyika na hautusaidii lolote. Inakuwaje kila rais anayetoka Zanzibar anauza mali zetu kwa waarabu?
 
Unaposema "mlijivuruga wenyewe" unamaanisha nini, maana mimi siwakilishi kundi lolote... Magufuli alivuruga nchi ndio maana viongozi wa vyama vyote CCM na upinzani walifurahia kifo chake, utakuwa mshamba sana kama hujui hili
Viongoz haohao wa upinzani walihamia CCM kwenda kupiga kazi we unatuambia nini jomba, hahahaha..utasema walinunuliwa, hivi mpinzani wa ukweli unawezaje kununuliwa...basi kama itakuwa hivyo nchi yetu Haina mpinzani wa kweli, maana wote wanaweza kununuliwa..ni jambo la wakati tu
 
Sitegemei mabadiliko yoyote kwao, naowaona kama watu walio disorganized, hawana principle, hawana discipline na hawawezi kuleta mabadiliko chanya,
Anzisha chama chako na basi. Utapata wafuasi wengi sana kwa jinsi ulivyo na mikakati.
 
Kwani ni nini kilitokea?
 
Uko sahihi kwenye hoja zako ila kuna jambo CDM ililitegemea kutoka kwa MH.rais nalo ni real reform ya mifumo ya kisiasa kitu ambacho hakijafanyika na hakitofanyika chini ya uongozi wa CCM,hivyo kwa mtazamo wangu ninaona ile nia ya mwanzo ya rais ni either delay tactic au kupingwa na wenzake ndani ya chama
 
Kwa hiyo tutarajie akina Abdul wengi ChamanišŸ¤”
 
Kuna ambao Walimfuata sababu walikuwa wakimumini na kuna ambao walimfuata sababu walikuwa wakiogopa, alikuwa na jeshi la kuwaua au kuwafunga na fedha za kuwapa..ni kama jambazi anakuvamia nyumbani kwako anakitishia kukuua akitaka umpe fedha, unaona bora kumpa fedha kuliko uhai, ndio alichokuwa akifanya Magufuli...Ila hatupo nae tena na tunashukuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…