Lissu: Watoto wangu wote ni raia wa Marekani

Nyie wapuuz mnaofisi ipi majengo ya serikali mliyoyageuza ofisi za lumumba ndo mnaona mnaofis ndio maana uzezeta hautawaisha na chadema ikishika madaraka jiandaeni kujibu kesi za uhujumu uchumi kwa mali za umma.
Chadema ilishapoteza muelekeo
 
Brother unayajua machafuko?.

Hakuna Chama cha siasa kinacholeta machafuko duniani, maisha magumu ya raia ndio huleta machafuko....vingine ni njia tu za kupitia..

sijui umri wako, lakini jitahidi sana kupambania ndugu zako watanzania wanaoteseka na maamuzi ya hovyo ya wanasiasa unaowatetea ambao ndio chanzo cha umasikini huu unaouona lwa mamilioni ya watanzania.

Mataifa yote yaliyoendelea duniani yanajivunia kuwa na vijana wenye akili, wabunifu, wanaohoji na kufanya kazi kwa bidii, wanaosoma na kuelimika, wenye uwezo wa kupambana kokote duniani.

Think Gentle mike, Tanzania is for Tanzanians not for fool cartel....
 
Brother Watanzania wana kila sababu ya kupambana na CCM kutokana na ujinga mwingi ambao chanzo chake ni wanasiasa waliopewa/kujitwalia mamlaka ya kuongoza Watanzania..

Kaa chini fikiri vizuri, Tafuta nauli tembeatembea duniani, kutana na watu tofauto tofauti wa mataifa tofauti vijana, wazee, watoto halafu fananisha na nchi yako uone tofauti ~ UTAAMUA MWENYEWE.

Machafuko yataletwa na CCM maana wanalazimisha kutumia nguvu kwenye dunia inayoendeshwa kwa akili nyingi na facts, Nguvu inafika mahala zinashindwa na hao mnaotumia nguvu kwao na propaganda wanachoka taratibu na time ya liwalo na liwe itafike ambapo watu watakuwa tayari kujitoa sadaka kwa manufaa ya kizazi kijacho..

Hakuna aliye tayari kuona vitukuu au wajukuu waje waone baba/babu alikuwa mpumbavu....

Viongozi wajinga, wapumbavu, wanafiki, wachawi nk kizazi chao kilishapita duniani hapa toka 1800's, its time for clever and intelligent society...
 
Yaani jamaa yangu huoni huu ujinga wooote unapambana na CDM ambayo haina athari yeyote kubwa kulinganisha na maamuzi mabovu ya watawala...

Huoni shida ya umeme, huoni shida ya maji, huoni miundombinu mibovu, huone elimu mbovu inayozalisha vijana wapumbavu, huoni huduma mbovu za Afya, huoni shida ustawi wa jamii namatokeo yake taifa linakuwa na vijana wa hovyo (malaya,wazinzi, walevi, machawa, mashoga), Huono tatizo la ajira na hakuna anayejali.. matatizo ni mengi sana unawaza kumaliza server ya JF...

too sad kwako brother, kesho jumapili nenda kanisani kama wewe ni christian kamwambie Mungu akusamehe na akupe wepesi wa kuona maovu pamoja na kutetea wengi wanaoteseka...
 
Mimi sijazungumzia habari za uteuzi
Hata jpm mlimjaza ufitini hvhv leo hii mwenzenu anaoza chato ; chawa ni wabaya sana pengine bila ufitini wenu kajpm kawatu kangekuwa madarakani mpk leo ila chawa kama chawa ni watu wabadi sana.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Limeweka na namba ya cm haya ndio machawa yanayoishi kupitia ufitini na rushwa sasa hiyo namba ya cm ni yanini ili uitwe Kwenye kamati za uchaguzi na wizi wa kura?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…