Longido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali

Mimi nahisi serikali ya awamu ya sita inacheza mchezo fulani, na kama si hivyo mtanisamehe kwa hisia hizo. Wale mabinti 132 waliokutwa kwenye nyumba moja huko Dodoma walichukuliwa na serikali na kupelekwa katika Makao ya Taifa ya Malezi na Makuzi ya Watoto hapo Dodoma, ambapo wanapewa mafunzo na matunzo kwa gharama ya serikali. Hatukusikia kama mmiliki wa ile nyumba iliyowakusanya akichukuliwa hatua yoyote.
Hawa wa leo wamekutwa wavulana. Usishangae nao wanapelekwa Makao ya Taifa ya Malezi na Makuzi ya Watoto kule Dodoma, na usishangae hakuna hatua itakayochukuliwa dhidi ya hao waliowakusanya watoto

Hisia zangu ni kwamba hii ni njia tu ya kuhalalisha scholarship ya serikali kwa kundi fulani, ukizingatia kuwa hii ni awamu ya sita
 
Wakristo mnategemea waislamu (sio uislamu) wakosee mpate kujisafisha kupitia hilo na hio ni njia pekee ya kupata relief

Any way, wafuasi wa Brian Deacon wamepata Cha kuongea
 

Attachments

  • Screenshot_20240213-212028.jpg
    35.3 KB · Views: 7
Watu msijizime data

Mimi nakiri kweli Kuna madhehebu yenye misimamo hiyo

ila kukosea Kwa watu wenye maslahi yao binafsi isiwe ndio sababu ya kuporomosha chuki mlizo nazo dhidi ya uislamu


Mfano
Yule jamaa wa Kenya aliyewaua watu kwa kukaa na njaa, huwezi kuulaumu ukristo Kwa hilo bali hayo ni makosa ya mtu au watu fulani na sio dini
 
Aki...
Suala la ugaidi limekuwa nyeti sana.

Mamlaka husika zimeshindwa kuthibitisha bila chembe ya wasiwasi kuwa tunalo tatizo la ugaidi Tanzania.
Kwanini sanaa ya Mapigano ifundishwe katika Nyumba za Ibada au taasisi za kidini?

Serikali ithibitishe namna gani, Mkuu wa majeshi anaposema Vijana wetu wanakuwa recruited Kwenda Msumbiji na Congo unahisi ni muongo?
Uganda wanapotangaza wamemuua Kamanda wa magaidi ni Mtanzania unahisi wanatuchafua tu?
Ni kweli hujui haya au unafanya makusudi tu?
 
Aki...
Suala la ugaidi limekuwa nyeti sana.

Mamlaka husika zimeshindwa kuthibitisha bila chembe ya wasiwasi kuwa tunalo tatizo la ugaidi Tanzania.
Shikamoo Babu

Masuala ya ugaidi ni masuala ya ndani ya mtu. Kuna mtu, kavaa kanzu vizuri ila kimoyomoyo anatamani kumchinja mtu kichwa. Au anatamani kuua makafiri, au kujilipua katikati ya watu. Hivyo ni vigumu kumtambua.


Ila hata Rais, alishasema kuwa kuna watanzania wengi kwenye vikundi vya magaidi.



Swali:
Je wale jamaa wa walikuwa wakiua watu Tanga, Kibaha, Vikindu, Mkuranga,Rufiji, Kibiti, Mtwara, hao wote sio magaidi? Au kwa mtazamo wako unawaona walikuwa sahihi kuua "Makafiri"?
 
Naamini umesomeka na wahusika wameliona hilo.
 
Kinacholeta utata hapo ni kuchanganya dini pamoja na karate na judo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…