Longido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali

Mkata kiu,
Naamin kama Kuna mtu amebrainwashed basi ni wewe, maana hutaki kusikia chcht kuhusu uislam, waliokubrain wash wamefanikia.

Wamekujaza Kila aina ya chuki juu ya uislam na unachukia kweli.. lakin hata hicho ulichoambiwa nikizuru sion kam unajifanya,
 
Kuna upuuzi mwingine tunautaka wenyewe

Kuna ulazima gani wa kufundishana karate tena misikitini?

Wakati huo kushakuwa na dhana mbaya juu ya hilo

Kuna ulazima gani wa kuwaachisha watoto shule??
Shida ni dhana, kwahiyo siku ukiambiwa Kuna dhana mbaya juu ya swala Tano, utasema Kuna ulazima gan wakuswali swala Tano wakat Kuna dhana mbaya..

Hii michezo watu hujifunza popot pale, labda useme hawakufuata utaratibu.
 
Lupwepo,
Wewe sio mfuatiliaji, jifunze kufuatilia jambo.. najifunze kuchuja maneno Yako sio Kila unachowaza ni chakuzungumza
 
Umeelezea vizuri sana. 👍
 
Mtume wao kawadanganya wanawaza "UGORO"
 
Kwa hiyo hayo yanafanyika kwenye huo msikiti wewe unaona ni sawa tu kisa hao ni waislam wenzako. Kwa nini nyie watu mnapenda sana kuunga mkono ugaidi.❓❗❓❗
 
Mpaka leo hakuna raisi muislam alietawala
Awamu zote mmetawaliwa na wakatoliki tu
 
Ndio maana mara zote hua najisemea huwezi kutenganisha uislamu na ugaidi hata kidogo, kaa mbali kabisa na muislam alieshika Sana dini tofauti yake na shetani ni kidogo sana
 

Faiza na mzee wa hovyo side mudi,ndio waratibu wa hayo mafunzo.
 

Tukisema hii dini ni tatizo kwa ulimwengu watu wanadhani tunatania,beware
 
Masta...
Mimi sina taarifa kamili ya hicho walichokuwa wanafundishwa hao vijana 70 wa Kiislam ambacho walioamua kufungia chuo chao wamekiona.

Ningefahamu hayo masomo yaliyoonekana ni itikadi kali ningeweza kujaribu kuchangia.
Lakini waislamu ni watu wa kuonewa tu kwasababu huwa hawakosei kabisa
 
Umeeleza vizuri sana.
 
Huu ujinga na njama za kuupiga vita kwa kutumia vyombo vya serikali utaisha lini
Kila mnapoona madrasa mnazusha jambo.
Mara karate .mara ushoga..............
Mnataka uislamu usifundishwe ?
 
Aki...
Suala la ugaidi limekuwa nyeti sana.
Mamlaka husika zimeshindwa kuthibitisha bila chembe ya wasiwasi kuwa tunalo tatizo la ugaidi Tanzania.
Yawezekana mambo yanamalizwa kimya kimya ili isitokee taharuki. Lakini kituo cha mafundisho ya dini kwa watoto wadogo kukutwa na vifaa vya mazoezi mazito mazito kama vile ni jambo la kutilia shaka kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…