Pazito sana aese!Majaliwa na Bashiru waliwahi Dar kufahamishwa kilichomkuta Rais kabla ya Makamu kwa sababu gani?
Huyu mpina huyu sasa amekuwa bundi kwenye kundi la njiwa. Kama yeye ni mwana-ccm anashindwa kumwamini mwenyekiti wake aliyetangaza kuwa magufuli alikufa kwa tatizo la mfumo wa umeme kwenye moyo. Au anataka kuwaamini wazushi waliosema alikufa kwa corona?Uko nje ya Maada, yeye anazungumzia Uchunguzi na sio teuzi
Ufisadi upi huo? Kuzuia mikutano ya kisiasa iliyopo kikatiba halafu yeye anafanya ndio kukemea ufisadi...Yaani iko hivi, ukali wa kukemea ufisadi wa Dkt Magufuli waliutumia mabeberu
Mbowe alimuua Azory wapi hivi unajua hata Azory haijawa confirmed kama alikufa zaidi ya kupotea tu baada ya kuchukuliwa na maofisa wa usalama ? acha kuotakupitia mbowe na kundi lake kutekeleza mauaji ili kusema Dkt Magufuli ni Dikiteta na muuaji, hivyo inasemekana
Hilo kundi la kina Mbowe linaitwaje na kwanini Mbowe hakukamatwa baada ya Dewji kupatikana?Mbowe alimuua azory, kamuua ben, alimkosa kosa tundu lisu etc.
Mbona unajishtukia sana wewe diehard fan wa Jiwe kwaninu unakuja na majibu ya inasemekana wakati mimi nimeona wakianzisha uchunguzi wa kifo chake basi pia tuwatendekee haki waliopotea , kuuwawa, na kutekwa kwenye utawala wake basi ufanyike uchunguzi mbona unaweweseka kusema alikuwa na roho nzuri kwani unafikiri hatujui alikuwa mtu wa namna gani hadi utuambie alikua na roho nzuri au tafsiri ya roho nzuri ni ipi?Hata Mo alitekwa na kundi la akina mbowe na msoga ili kuleta taharuki kuwa serikali inateka watu. Kwa ufupi Dkt Magufuli was very humble and kind sana, ila baadhi ya watanzania walimzidi kete kwa kufanya matukio na kuwahi haraka haraka kuripoti kwenye vyombo vya habari. Kwa ufupi wakisema wachunguze kwa kutumia tume wengi watafungwa
Nilitamani Sana kupata mtu jasiri atakaye toa kauli hii na sasa amepatikana. Kwa kuwa kauli imesemwa basi moyo umetulia. Pumzika Magufuli lakini naamini aliyeua kwa upanga atakufa kwa upangaMbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema “Baada ya kusikiliza kwa kina maelezo ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenari Venance Mabeyo aliyoyatoa Machi 16, 2024, nimeshawishika na ninawashawishi Wabunge wenzangu kuruhusu kuunda Tume huru ya kuchunguza utata wa kifo cha Rais wa awamu ya Tano, Dkt. John Joseph Pombe Magufuli ili kumtendea haki lakini na watu wengu waliotajwa ama kwa wema au kwa ubaya katika suala hili.”
Ameongeza “Pia tume hiyo itabaini hata watu waliokataa kuapishwa kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa Tanzania wakati ilikuwa ni takwa la kikatiba.
Kwa mambo yaliyosemwa na Taasisi ambayo sio ya kutiliwa mashaka na mtu ambaye si wa kutiliwa mashakaa kuna haja ya hii tume kuundwa.”
Hoja gani? Kipindi wapinzani wanamuulizia mlitoa kejeli kibao, baada ya kuumbuka ndio mnajifanya mna uchungu na utata wa kifo chake?Naunga mkono hoja ya Luhaga Mpina
Acha ujinga, kipindi tunamuulizia JPM ulikua unatuzodoa kuwa tunazusha!! Baada ya kifo ndio mnajifanya mko concerned naye!!Nilitamani Sana kupata mtu jasiri atakaye toa kauli hii na sasa amepatikana. Kwa kuwa kauli imesemwa basi moyo umetulia. Pumzika Magufuli lakini naamini aliyeua kwa upanga atakufa kwa upanga
Rekodi gani? Anachopigania ni uwaziri, nimeshasema humu nasubiri siku atakayoteuliwa ndio mtaona atakavyokana kauli zake zote!!Mpina anayo rekodi inayozungumza yenyewe.
Ongezea na kutekwa na kuteswa kwa Wakili Madeleka, Dr Steven Ulimboka, kuuwawa kwa Dr Mvungi na kumwagiwa tindikali kwa Saed KubeneaIundwe kamati huru kuchunguza kupotea kwa Ben Saanane na Azory Gwanda .
Kifo cha Leopold Lwajabe.
Shambulio la Tundu Lissu Dodoma.
Kutekwa kwa Roma Mkatoliki na Mohamed Dewji.
Sababu za kuvamiwa Clouds Media Group studio.
Hapa itakuwa tumeutendea haki umma wa watanzania na familia za hao watu.
Hivi bado analindwa kama mwanzo?Aisee hii wakiweza kuunda tume hakika taifa litapona. Yule anayejifanya lishe mara moyo anajifanya watanzania ili wasahau wakati ndiye master mind. Ila iko siku Dkt Magufuli atatendewa haki.