Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
"Kaka yangu Lukuvi, yeye ana kazi na mimi, mtaisikia baadaye. Lakini namvuta Ikulu, kazi yetu ni kuwasimamia nyinyi."- Rais Samia Suluhu Hassan https://t.co/4M4G3wiwg0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais mwenyewe kasemaChanzo Cha taarifa yako?
Chanzo ni Ikulu ya Dom leo baada ya kuwaapisha wateule.Chanzo cha taarifa ninini? au ni walewale wa kukutrupuka kama 'ile kitu'
Mmmh! Kuitwa kuwasimamia Mawaziri? Hiki nacho ni cheo gani hiki? Si Mawaziri huwa wanasimamiwa na Waziri Mkuu,au? Mmmh..ngoja niishie kuguna utafikiri nakunya.Salaam Wakuu,
William Vangimembe Lukuvi na Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi wametakiwa kwenda Ikulu kumsaidia Rais Samia kuwasimamia Mawaziri
Spika ajaye..."Kaka yangu Lukuvi, yeye ana kazi na mimi, mtaisikia baadaye. Lakini namvuta Ikulu, kazi yetu ni kuwasimamia nyinyi."- Rais Samia Suluhu Hassan https://t.co/4M4G3wiwg0
Bila kusoma atapataje Dira? Acha asome.Kinachomponza Samia ni kusoma sana mitandaoni!
Alafu sasa ile sababu ya kuwatoa aliyoisema kumbe ilikuwa ya uongo?
Ok.. Swali kwa machadema, je hao tena si sukuma gang
Una shangaa nini, Chief Hagaya hajawahi kuwa na mapenzi na Lukuvi, na hataki watu smart na wenye misimamo....yeye wake ni magoi goi wa ndio mzee (sawa mama)Akitoa salam kwa viongozi walioapishwa leo ikulu Rais Samia amesema Mh. William Lukuvi hatakuwa spika maana kuna majukumu mengine atakayopangiwa ikulu
Ikumbukwe mara baada ya kumuacha ktk baraza la mawaziri baada ya kufanya mabadiliko madogo kulikuwa kuna hisia kuwa huenda Mh Lukuvi ndiye angekuwa spika ila leo Rais amefuta uwezekano huo
Tutarajie sura mpya kwenye nafasi hiyo maana siyo Lukuvi wala Kabudi
Nchimbi kuwa spika?"Wengine wameanza kumletea [William Lukuvi] meseji za ajabu ajabu wakijua atagombea Uspika, hatogombea. Ana kazi na mimi."- Rais Samia Suluhu Hassan https://t.co/GEpcwZ8HuA
Nchimbi kuwa spika?"Wengine wameanza kumletea [William Lukuvi] meseji za ajabu ajabu wakijua atagombea Uspika, hatogombea. Ana kazi na mimi."- Rais Samia Suluhu Hassan https://t.co/GEpcwZ8HuA
Hangaya MwenyeweChanzo Cha taarifa yako?
Teña ETI wawasimamie mawaziri hahahaha nimecheka sanaNi hatari sana kazi gani wanazopewa Ikulu wakati hazipo kwenye utaratibu wa Serikali . Hayo siyo matumizi mabaya ya fedha
Kusimamia mawaziri kwani kazi ya waziri mkuu ni ipo. Waziri mkuu naye anahitaji kusimamiwa kwenye kazi yake.
Mikataba ina simamiwa vipi wakati kuna bunge