Mawaziri wasiokuwa na wizara maalumu kama alivyokuwa Kingunge enzi za mchonga.
Wamekula kiapo? Maana huruhusiwi kuingia kwenye baraza la mawaziri kama hujala kiapo hadharani
 
Shida ya hii nchi ni kuongozwa na failures, hasa pale kwenye Executive.
 
Hili ni tatizo la kikatiba kuendelea kumlaumu huyu mama kwa anayoyafanya mnamuonea tuu katiba imempa nguvu kubwa sana.
 
Hawataki Lukuvi Awe Spika wamemtafutia pa kumficha

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
CCM wataendelea na hizi sarakasi na hii midundo mpaka 2025.... mtashangaa wanakwenda kwenye chaguzi wakiwa nguvu moja wanashinda tunaanza tena oooooh tumeibiwa kura...
 
Kinachomponza Samia ni kusoma sana mitandaoni!

Alafu sasa ile sababu ya kuwatoa aliyoisema kumbe ilikuwa ya uongo?

Ok.. Swali kwa machadema, je hao tena si sukuma gang
Wewe mjane wa pombe unaiwaza chadema kuliko hata unavyomuwaza mume wako.

Baada ya the gang kutupwa pembeni umepiga u-turn moja matata mnoo 🤣
 
Mama alisema kuna watu wana mawazo ya uraisi 2025 nawaondoa wakapate nafasi ya kujiandaa ni akina nani?
 
Mnaweza kudanganywa hapo tena Chama kimepasuka....karibu na 2024 Lukuvi anapewa fungu anajitoa CCM na kujiunga CDM na watu kadhaa anakuwa mgombea Urais wa CDM...
 
Mbona Watanzania hatuna jema? Juzi na jana watu walikuwa wanahoji kuachwa hawa viongozi wetu. Leo Rais kasema sababu za kuwaacha na kwamba atawatumia maeneo mengine zimeibuka sarakasi nyingine! Tumuache Rais afanye kazi. Dah!🙏🙏
 
Je, ni akina nani wamepewa nafasi ya kujiandaa na 2025? Ikiwa kabudi na lukuvi wamepewa kazi maalum? Je, wasiotajwa ndio wapinzani wa mama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…