Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Ndiye Rais aliyeiunda Taasisi ya TANROADS kama ilivyo leo na vile vile TRA. Miaka ya zamani kazi zote za ujenzi wa barabara ziliaminika kuwa zinafanywa na wazungu.Mzee Benjamin Mkapa Tunakukumbuka Kwa Kutuwekea Kasi na Viwango Serikalini. Tutakukumbuka kwa Maono yako BORA YA KUKUZA uchumi wa taifa letu pendwa...
R.I.P
Hivi vyombo vyetu havina watu wanaochambua kwanza watu wa kuwahoji kabla ya kuwakaribisha studio? Hivi kwa Udhaifu wa kifikira aliounesha Msekwa siku za karibuni alikuwa wa kualikwa kuongelea tukio kubwa kama hili?Tangu asubuhi nimekuwa nikifuatilia coverage ya kuifiwa na kiongozi wetu mstaafa mh. Benjamin William Mkapa kupitia ITV.
Ilipofika takriban saa saba na dakika kumi na tatu, ITV ilikuwa ikimhoji mh. Msekwa kufuatana na kifo hicho. Cha kushangaza mheshimiwa huyo alianza kuongelea maandamano baada ya uchaguzi wa mwaka 2000 katika mwelekeo ambao ungefufua vidonda vilivyopona..
Mtu akisign mbele aweke JF member maana sie ndio tunaiongoza serikali zaidi.Wana JamiiForums, sio mbaya tukienda ku sign daftari la maombolezo kwa mliopo Dar es Salaam
Mtasema nyie ndiyo mmemuua kwa dua zenuWapemba ndio tunamalizia swala ya ijumaa, tupande boti kuja kutoa salamu zetu za pole
HahahahahaHuko aliko anaulizwa: 'Kwanini uliwaita wanadamu wenzako kuwa ni wapumbavu na malofa?'
Liamsheni tena muone cha motoYaani asamehewe kwa kusema "amesoneka sana" na mauaji ya ndugu zetu?
Hivi mnatuchukuliaje lakini?
huyo mzee wasiwe wan mhoji ...ameshachoka mwili,roho na akili! Mimi huwa simwelewi kabisa zaidi ya kusoma vitabu vyake (Ili nijibie mitihani)Tangu asubuhi nimekuwa nikifuatilia coverage ya kuifiwa na kiongozi wetu mstaafa mh. Benjamin William Mkapa kupitia ITV.
Ilipofika takriban saa saba na dakika kumi na tatu, ITV ilikuwa ikimhoji mh. Msekwa kufuatana na kifo hicho. Cha kushangaza mheshimiwa huyo alianza kuongelea maandamano baada ya uchaguzi wa mwaka 2000 katika mwelekeo ambao ungefufua vidonda vilivyopona.
hongera sana sana ITV kwa kukatisha maongezi hayo...
ndiyo hayo hayo mamoja ya BWM.Na mimi ndugu yangu polisi alichinjwa na wana CUF 2001 na katika kujiokoa ndio hao wana CUF wakauliwa.
Tangu asubuhi nimekuwa nikifuatilia coverage ya kuifiwa na kiongozi wetu mstaafa mh. Benjamin William Mkapa kupitia ITV.
Ilipofika takriban saa saba na dakika kumi na tatu, ITV ilikuwa ikimhoji mh. Msekwa kufuatana na kifo hicho. Cha kushangaza mheshimiwa huyo alianza kuongelea maandamano baada ya uchaguzi wa mwaka 2000 katika mwelekeo ambao ungefufua vidonda vilivyopona.
hongera sana sana ITV kwa kukatisha maongezi hayo.
Marehemu alikuwa jasiri sana hadi akasema mauaji yale yalimsononesha sana. Naamini hata familia zilizoathirika zimesamehe na sasa tu wamoja. kuongelea maandamano yale kwa jinsi alivyoanza mh. Msekwa ilikuwa ni hatari.
Hayo maombolezo yako ndiyo ya kuyaandika kwenye daftari la maombolezo.mkuu, ujue humu tumo waathirika wengi wa haya matukio:
1. mauaji ya wana CUF Pemba 2001
2. wahanga wa ufisadi wa EPA ambao BWM mwenyewe amekiri kupitia kitabu chake kuwa pesa zilichotwa na CCM
3. wahanga wa matusi ya BWM kama vile "malofa"
nk, nk, nk
so, inakuwa ngumu sana kumeza kama familia ya JF. kila mtu aende kivyakevyake tu mi naona!
Yalitokea akiwa RAIS hakuwa Mkapa; na hunahakai ya kuhukumu mtu yeyote usifanye kazi isiyo yajoAlifikiri hatokufa, sasa akakutatane na aliowauwa.
Mungu amlipe anachostahili.
Kila nafsi itaonja mauti, tuwe waadalifu tunapotunukiwa neema haswaa, ya afya, utajiri & power, mauti ndio mwisho wetu na tutalipwa kwa tulichopanda.
Ni afadhali Mkapa alikuwa mtu mwenye kuruhusu maandamano na demokrasia, siku hizi andamana uone. Sijui huyu akifa watu watasema nini kuhusu mchango wake kwenye demokrasia ya taifa letu.Tangu asubuhi nimekuwa nikifuatilia coverage ya kuifiwa na kiongozi wetu mstaafa mh. Benjamin William Mkapa kupitia ITV.
Ilipofika takriban saa saba na dakika kumi na tatu, ITV ilikuwa ikimhoji mh. Msekwa kufuatana na kifo hicho. Cha kushangaza mheshimiwa huyo alianza kuongelea maandamano baada ya uchaguzi wa mwaka 2000 katika mwelekeo ambao ungefufua vidonda vilivyopona.
hongera sana sana ITV kwa kukatisha maongezi hayo.
Marehemu alikuwa jasiri sana hadi akasema mauaji yale yalimsononesha sana. Naamini hata familia zilizoathirika zimesamehe na sasa tu wamoja. kuongelea maandamano yale kwa jinsi alivyoanza mh. Msekwa ilikuwa ni hatari.