GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Atazikwa Lupaso masasi tar 29/07/2020 confirmed.
Asante mno kwa Taarifa yako hii Muhimu Mkuu. Ningeshangaa sana kama angezikwa mahala pengine tofauti na huko Kwao Kijijini Lupaso Masasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atazikwa Lupaso masasi tar 29/07/2020 confirmed.
Mzigo wa mwenzako ni ganda la usufi
Sisi tulioko hapa hatuwezi kumsahau Laanatullahi Mkapa
Ila tukisema tunatokea JF tuheshimiwe na kupewa kalamu za kusainia kitabuWana JamiiForums, sio mbaya tukienda ku sign daftari la maombolezo kwa mliopo Dar es Salaam
marehem namkumbuka kwa mengi mazuri serikalini ila moja tu kutuita wenzie malofa, Mungu amlaze mahali pema peponi amen.
Akawaue tena basUnaeza shangaa hakutani nao...au akakutana naao n "akawaua tena"
Mimi sija muhukumu, Nimetangalia Kusema Mungu amlipe anachostahili.Yalitokea akiwa RAIS hakuwa Mkapa; na hunahakai ya kuhukumu mtu yeyote usifanye kazi isiyo yajo
utakuwa umelelewa na wazazi wa ajabu sanaMimi sija muhukumu, Nimetangalia Kusema Mungu amlipe anachostahili.
Kwa mshauri ajibu, si kuwa mimi alikuwa Rais, au siku mkienda kufukia mzoga wake mwambie Mungu alieuwa hakuwa yeye alikuwa Rais.
Mtusamehe jamani machogo sie!Yaani asamehewe kwa kusema "amesoneka sana" na mauaji ya ndugu zetu?
Hivi mnatuchukuliaje lakini?
Soma chanzo kilichowapeleka huko,Hawa wapuuzi walijipeleka Mogadishu kwa kudhani kuwa watapelekwa Ulaya.. ***** wanachokipata hawana hamu kwa sasa
Sasa tukufanyie nini we chogoNa mimi ndugu yangu polisi alichinjwa na wana CUF 2001 na katika kujiokoa ndio hao wana CUF wakauliwa.
hakuna mkamilifu samehe ndugu yanguYaani asamehewe kwa kusema "amesoneka sana" na mauaji ya ndugu zetu?
Hivi mnatuchukuliaje lakini?
Nipeni jicho eboSasa tukufanyie nini we chogo
Huko aliko anaulizwa: 'Kwanini uliwaita wanadamu wenzako kuwa ni wapumbavu na malofa?'
Na yeye ndio anaenda ardhini sasa, after 19 years alichozidi ni kuvimba kama nyangumi tu na lisura limekuwa kama kasa.Hawa wapuuzi walijipeleka Mogadishu kwa kudhani kuwa watapelekwa Ulaya.. ***** wanachokipata hawana hamu kwa sasa
norbit, utakuwa mrithi wa kizazi cha mwisho cha waomanNa yeye ndio anaenda ardhini sasa, after 19 years alichozidi ni kuvimba kama nyangumi tu na lisura limekuwa kama kasa.
Sasa muekeeni taifa pale linuke kama mzoga wa mbwa Baadae mkalifukie.
hapana sikumpenda ila Kwenye mfumko wa bei alifanikiwaInawezekana pia shs 400 ilikuwa na thamani ya hiyo sukari