Nombo de classic
JF-Expert Member
- Jan 15, 2016
- 249
- 319
"Hamta ishi milele sifa ya mtu kufa, mara Tasaf, Mkukuta, Mkurabita, yote hii ni mifuko ya upigajiiiii" Nikki Mbishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alikuwa waziri wa ujenzi wakati huo? Unafahamu kuwa wakati Magu akiwa Naibu waziri wa ujenzi alikuja na wazo la mfuko wa barabara ambayo ndiyo ikaja kuwa Tanroad? Na bathi ya mawaziri wakamwekea kauzibe mpaka Rais Mkapa alipoingilia?Nope!
Mwanzilishi wa TANROADS ni Mkapa!
Kabla ha hapo kulikuwa na idara za serikali-Ujenzi RRM(Rural Roads Maintainance) na TRM (Trunk Roads Maintainance) ambazo ufanisi wake ulikuwa mbaya.
Mkapa alibuni TANROADS, ambayo ingekuwa taasisi ya kuendeleza na ku maintain Trunk roads.
Barabara za wilayani ziliwekwa chini ya wizara ya TAMISEMI.
Hayo yalikuwa mapinduzi makubwa ambayo hapo mbeleni yataibua kampuni kubwa za kizalendo na wazawa.
Magufuli aliteuliwa kuwa waziri mdogo chini ya mama Anna Abdalla kusimamia sera hizo.
Mfuko wa barabara ni kitu tofauti kabisa.Nani alikuwa waziri wa ujenzi wakati huo? Unafahamu kuwa wakati Magu akiwa Naibu waziri wa ujenzi alikuja na wazo la mfuko wa barabara ambayo ndiyo ikaja kuwa Tanroad? Na bathi ya mawaziri wakamwekea kauzibe mpaka Rais Mkapa alipoingilia?
Jobless ni wengi,watz ndo rahisi kuwapata popote mda wowote uwatakapo kuwakusanya.Mtuwakilishe tumetingwa majukumu japo tungependaMwitikio utatupa majibu ya "MALOFA"
Usisahau pia kuwa watanzania sio wajinga.Jobless ni wengi,watz ndo rahisi kuwapata popote mda wowote uwatakapo kuwakusanya.Mtuwakilishe tumetingwa majukumu japo tungependa
Ukifiwa watu wakaacha kuja ndio utajua ni waajiriwa kwa kuwa akiki zako ni ndogo sana mtu kuja kwenye msiba ni tafsiri ya ukoo wenu kuwa hana kaziJobless ni wengi,watz ndo rahisi kuwapata popote mda wowote uwatakapo kuwakusanya.Mtuwakilishe tumetingwa majukumu japo tungependa
Tutakusanyika kuzika wengineTumeidharau sana COVID-19 tunaenda kukusanyika tena, basi huyu mungu ni wa peke yetu dunia nzima
Sasa hapo umeandika nini?JWTZ, nawapenda na kuwakubali sana Wanajeshi wetu, huwa napata furaha sana nikiwaona, Mungu wabariki wajeda wetu, ...
Mie wameniboa tu kutushtukiza na njia ya msafara asubuhi hii. Jana nimefuatilia mpaka taarifa za saa 4 usiku labda wangeeleza hola. Mie niko jirani na hapo Lugalo lakini nimeshtuka wao wako Mwenge tayari. Sasa inabidi niende uwanja wa Taifa, wakati ningeweza kuaga hapa hapa.Huo mwili kwanini wasiuzungushe mtaani kwa gari maalum kuliko kuwapa wananchi shida na kuwahatarisha na magonjwa ya mlipuko!?
Wenye nchi wamesema hakuna CoVID-19 TanzaniaTumeidharau sana COVID-19 tunaenda kukusanyika tena, basi huyu mungu ni wa peke yetu dunia nzima
Aaaah kweli .Mzee Ndesamburo alipofariki hatukuweza kumuaga uwanja wa Memorial.
Wanaoenda uwanjani wajihadhari sana corona bado IPO sana tu