Lupaso, Mtwara: Rais Mstaafu, Hayati Benjamin William Mkapa azikwa kwa Heshima
Wewe ni m'mbugwe. Wambugwe ndiyo huwa na tabia ya kushangilia na kuhusudu sana wanajeshi. Hata tobo wanaweza kuwagawia bila hiyana.
Ni watu wa wapi hao? Umempqtia sana jamaa halafu jinsi anavyowatukuza utafikiri wanamfanyia kazi ya bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wajue kuwa kipochosababisha kifo cha Mkapa kimefichwa tena kwa makusudi maana alifariki kwenye hospitali ya Makumbusho na sababu inajulikana kwa baadhi.

Chukua tahadhari Corona ipo, inaua na kama ukiendelea kushupaza shingo "UTAKUFA TU NA MIMI NASEMA UFE MAANA HAKUNA NAMNA SASA! CHAGUENI WAKUMSIKILIZA KISHA UWE MBAYUWAYU MAANA ANGEWASIKILIZA NDEGE WENZAKE ANGEANGUKIA KICHWA"
 
Back
Top Bottom