Lupaso, Mtwara: Rais Mstaafu, Hayati Benjamin William Mkapa azikwa kwa Heshima
Your communication should be given level four alert by those who are concerned.
Mimi sikumfahamu. Jiwe?
Uliambiwa na nani?
Kwa taarifa za awali humu JF! Kwa hiyo place and cause of death vinabakia siri lakini bado tunaambiwa tukauage mwili!

Unajuwa hii Deportivo sisi inatuonea huruma sana lakini itafika wakati itasema tunamuona mjinga na itatutia adabu.
 
Channel Pekee yenye ubora wa urushaji matangazo ni channel Ten, nimeipenda sana, kwanza wana drone za juu na muonekano wa picha ni safi na tulivu.
Sauti imetulia vizuri kabsa.
Channel ya chama
 
Hivi Muheshimiwa hakuwa na watoto kabisa?? Au huyo aliye jirani na bi mkubwa ndio mwanae??
 
Acha utapeli wako.
unadhani corona ni ukimwi ambao ukaa miaka mpaka 10 ndo uonekane?.
Wajue kuwa kipochosababisha kifo cha Mkapa kimefichwa tena kwa makusudi maana alifariki kwenye hospitali ya Makumbusho na sababu inajulikana kwa baadhi.

Chukua tahadhari Corona ipo, inaua na kama ukiendelea kushupaza shingo "UTAKUFA TU NA MIMI NASEMA UFE MAANA HAKUNA NAMNA SASA! CHAGUENI WAKUMSIKILIZA KISHA UWE MBAYUWAYU MAANA ANGEWASIKILIZA NDEGE WENZAKE ANGEANGUKIA KICHWA"

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Kama si ujinga vipi usimame barabarani for 2 hours kwa kusubiri mzoga upite,
Binadamu Haitwi Mzoga,Kuwa na Lugha Nzuri
Huyo ni Maiti,ni Ni Hayati Mkapa ,Yeye katangulia na kesho sisi.
Wote tutakunywa kikombe kicho, hatuna ujanja.
Uwe na Adabu ya Lugha,na staha ya Raisi wetu Mstaafu.
 
Tumeidharau sana COVID-19 tunaenda kukusanyika tena, basi huyu mungu ni wa peke yetu dunia nzima
Wacha mihemko wewe. Lini mji huu watu waliacha kukusanyika. Ulishapita kule feri soko la samaki au k/Koo au nyumba za ibada ukaona Hakuna mikuaanyiko? Kila kitu kimerudi kawaida hiyo korona iko wapi? Ndio itoke huko Kenya ije Leo kwenye ibada ya taifa.?
 
Kama si ujinga vipi usimame barabarani for 2 hours kwa kusubiri mzoga upite, wakati huo huo unajihatarishia maisha yako kwa maradhi ya maambukizi kama Covid-19.
Mkuu tumia lugha ya staha kidogo...hata kama humpendi ungebakia kimya ingekuwa vema pia.
 
hao makameraman chaneli zote mbona kwenye tukio la kupeana mikono (kupeana Aman) hawajaonesha watu wakipeana mikono
 
Mzoga wa Sokwe mtu ndio unaingia kwenye hilo kaburi.?! shimoni😂
Mnaopewa dhamana tendeni wema jamani.
 
Huu uzi hautembei kabisa!...mpaka sasa tungekuwa walau page 20+...wajumbe wanalo lambo moyoni!
 
Back
Top Bottom