Malaria inaweza kuuwa bila msaada wa kingine na hata mshtuko wa moyo pia. Ama sivyo?Malaria na mshituko wa moyo....Kile kipimo kingine kimekatazwa ila Malaria + mshituko wa moyo = ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malaria inaweza kuuwa bila msaada wa kingine na hata mshtuko wa moyo pia. Ama sivyo?Malaria na mshituko wa moyo....Kile kipimo kingine kimekatazwa ila Malaria + mshituko wa moyo = ?
DahMalaria na mshituko wa moyo....Kile kipimo kingine kimekatazwa ila Malaria + mshituko wa moyo = ?
Marehemu hasemwi vibaya..Ni jambo la kushangaza lakini ipo hivyo na itabaki kuwa hivyo.
[emoji16][emoji16][emoji16]Dunia inawatu wa ajabuJWTZ, nawapenda na kuwakubali sana Wanajeshi wetu, huwa napata furaha sana nikiwaona, Mungu wabariki Wajeda wetu, ...
Heshima ni kuusitiri mwili na sio kuutembeza mitaani kama mwenge.Una maneno makali sana! Tumpe heshima yake marehemu na si kumdhika kwa kumbatiza majina ya Kifedhuli.
kwel lakin hatujifunzi tu? tunaona tutaishi mileleDunia ni uwanja wa fujo kila ajae ufanya fujo zake mbwembwe zake uondoka huja mwingine hivyohivyo, laiti Kama tungejua sisi ni wapangaji tusingekuwa chanzo cha huzuni kwa wengi.
Mkuu, hao ni binadamu wa kawaida kama mimi na wewe na wanaimani zao, tofauti ni majukumu yao tu, pia kumbuka jeshini kuna band, na pia wanafanya ibada kama binadamu wengineHii combination ya ibada na wajeda ni ya kipekee sana.
Wajeda wananyata na biti za kanisani.
Damn!Ndo maana waliitwa malofa na wapumbavu
Mkuu heshima huombewi umeshakufa, tunaijenga wakati tupo hai.Una maneno makali sana! Tumpe heshima yake marehemu na si kumdhika kwa kumbatiza majina ya Kifedhuli.
Damn!
Nah!, I didn't mean to offend you mkuu.Whatever
Kwa hiyo kwenye post #1 hao waliosimama barabarani wanaangalia mwenge?Uzungushwe mtaani umekuwa mwenge?
Tusubiribazikwe kwanzaUnataka kusemaje kwa mfano
Wewe ni m'mbugwe. Wambugwe ndiyo huwa na tabia ya kushangilia na kuhusudu sana wanajeshi. Hata tobo wanaweza kuwagawia bila hiyana.