Lupaso, Mtwara: Rais Mstaafu, Hayati Benjamin William Mkapa azikwa kwa Heshima
Jiwe alishapa na akaenda kujiuguza chattle na akasavaivu. Ishu ni kwamba korona inabidi tuizoee ila tusiiogope.
Mkazi wa lupaso alikua haiogopi kama unavyotushauri, ona ilivyombidua.
 
Your communication should be given level four alert by those who are concerned.
It won't help anything as 5 years second term is near and will start counting down to a power handing over ceremony.

Nkurunzinza was reluctant but in vain.
 
Binadamu Haitwi Mzoga,Kuwa na Lugha Nzuri
Huyo ni Maiti,ni Ni Hayati Mkapa ,Yeye katangulia na kesho sisi.
Wote tutakunywa kikombe kicho, hatuna ujanja.
Uwe na Adabu ya Lugha,na staha ya Raisi wetu Mstaafu.
Sisi malofa!
Jeneza linamdhibiti vilivyo kwa sasa.

Wale walinzi walishindwaje kuikwida depotivo la Corona?

Kuna mtu analindwa na helikopta mbili angani depotivo inamdekshia tu.
 
MSEMAJI WA FAMILIA: RAIS MKAPA AMEFARIKI KWA MSHTUKO WA MOYO

William Erio amesema Rais Mkapa alikuwa hajisikii vizuri Jumatano na alikutwa na Malaria, akalazwa

Alhamisi alikuwa anaendelea vizuri na kufuatilia Kura za Maoni za CCM, na alifariki kwa mshtuko wa moyo
Alilazwa hospitali ipi?
 
Japokuwa sio vizuri kulinganisha misiba ila inatia shaka sana tukikimbuka misiba miwili ya watu maarufu hapa nchini; Ruge na Mengi watu walivyojitokeza barabarani hadi kwenye kuaga pale Karimjee kuliratibiwa vizuri na watu walijitokeza kweli kweli.

Licha ya hivyo, wahusika walijipanga vizuri na mambo yalikwenda vizuri kabisa na unaona watu kuguswa na vifo hivyo.

Hata walipokwenda kupumzishwa kulikuwa vivyo hivyo.

Lakini kwa Mkapa mie naona tofauti kabisa kuanzia mapokezi yake hadi kuagwa kwake inakuwa kama kulazimishwa ivi.

Tuitafakari hii, sio sawa na sio inavyostahili kwa kiongozi wa nchi na chama kama huyu.

Tuishi kwa upendo na kuwapenda watu wote japo sio watu wa imani lakini watu wanaweza kuwa wawakilishi wa Mungu na inaonyesha iliishi vipi na watu wa Mungu.
 
Let's something happens.. you just draw the picture
 
Back
Top Bottom