Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
mtu akisoma uzi wako kama bado hajaiona ile taarifa ya familia anaweza kuona unapiga ramli,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini bwasheemtu akisoma uzi wako kama bado hajaiona ile taarifa ya familia anaweza kuona unapiga ramli,
Siku nyingine usomage post za wenzako hata una like tuuMSEMAJI WA FAMILIA: RAIS MKAPA AMEFARIKI KWA MSHTUKO WA MOYO
William Erio amesema Rais Mkapa alikuwa hajisikii vizuri Jumatano na alikutwa na Malaria, akalazwa
Alhamisi alikuwa anaendelea vizuri na kufuatilia Kura za Maoni za CCM, na alifariki kwa mshtuko wa moyo
Ukijibiwa nambie.Yani wale waliotoka kiunoni make kabisaJamani naomba kuuliza huyu mzee hana watoto?
maana aliona rushwa inavyotolewa na watu wakinunuliwa, hio ndio sababu ukiingia kwa undani sana!Kura za Maoni za CCM,
Ndiyo naulizia wa kwake kabisa wa kuzaa kutoka kiunoni kwake,kwa umri aliokuwa nao ilitakiwa mtoto wake mmojawapo atoe taarifa za kifo chakeUkijibiwa nambie.Yani wale waliotoka kiunoni make kabisa
Na sijaona uwepo wa KIKWETE ,hapo uhuru wakati WA kuaga Mwili wa MarehemuKitendo cha kwenda hospital kumwona na wakazungumza mengi tena kuhusu kinachoendelea chamani bila viongozi wengine au umma kuambiwa kuwa mkapa anaumwa na kalazwa,kuna siri nzito sana itakuwa wameongea maana ukimsikiliza kikwete anasema waliongea sana na hawakumaliza mazungumzo hayo hadi kikwete akamwambia ukitoka hospital tutaongea zaidi.je?ni mazungumzo gani waliongea na je?walizunguzia nini bila kumshirikisha mwenyekiti wao?
Pumzika kwa amani b.mkapa
Mzee Ndesamburo alipofariki hatukuweza kumuaga uwanja wa Memorial.
Azam chaneli gani?
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1][emoji28]Aaaah kweli .
Hivi alikuwa rais awamu ya ngapi vile? Dah umetukumbusha