kitonsa
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 1,211
- 2,649
haumiYani inauma sana jamani.. [emoji36][emoji24][emoji24][emoji22]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haumiYani inauma sana jamani.. [emoji36][emoji24][emoji24][emoji22]
Tayari nimeisha tia chataWana JamiiForums, sio mbaya tukienda ku sign daftari la maombolezo kwa mliopo Dar es Salaam
Njia ni moja ila alikuwa na kibriJamani embu tuache haya ndugu zangu. Huu si wakati wa haya. Tumuombee Mzee wetu, njia yetu ni moja.
Wanatuchukulia kama ma toyYaani asamehewe kwa kusema "amesoneka sana" na mauaji ya ndugu zetu?
Hivi mnatuchukuliaje lakini?
Pole sana; cha msingi Beba tu Kanga na vaa nguo nyeusi nenda nazo ofisiniIla jamaa wanabana
Hivi kutoa siku moja kuacha kazi Kuna shida gani?
Yaani mi nilishapanga kudoji jumatatu nifanye mambo yangu kwa kisingizio niko taifa, kumbe tutatakiwa kurudi ofisini.....eboooo
Kuna watu wana roho ngumuu
Jicho linamaandalizi yake yakhe. Panda boti uje huku tukuonyeshe maandalizi yake, jicho haliliwi tu hivi hivi.Nipeni jicho ebo
Wafu hawaombewi. Ukitaka kumuombea mtu, muombee akiwa hai. Baada ya kufa ni hukumu. Ibada za kuwaombea wafu ni za kipagani.Jamani embu tuache haya ndugu zangu. Huu si wakati wa haya. Tumuombee Mzee wetu, njia yetu ni moja.
Pole sana; cha msingi Beba tu Kanga na vaa nguo nyeusi nenda nazo ofisini
Mimi bro ni muAfrica zaidi ya mkapa, but I hate killers, wakati watu wanauliwa Pemba nilikuwepo kule, sitosahau till my death.norbit, utakuwa mrithi wa kizazi cha mwisho cha waoman
Bujibuji leo umepiga Cha wapi,? Bwana mbv zinaumaHayo maombolezo yako ndiyo ya kuyaandika kwenye daftari la maombolezo.
Inauma Nini sasaYani inauma sana jamani.. [emoji36][emoji24][emoji24][emoji22]
Tanroad yalikuwa ni mawazo ya Magu.Ndiye Rais aliyeiunda Taasisi ya TANROADS kama ilivyo leo na vile vile TRA.
Miaka ya zamani kazi zote za ujenzi wa barabara ziliaminika kuwa zinafanywa na wazungu.
Mkapa aliondoa dhana hiyo.
Umevuta petroli ama umevuta bangi...Na yeye ndio anaenda ardhini sasa, after 19 years alichozidi ni kuvimba kama nyangumi tu na lisura limekuwa kama kasa.
Sasa muekeeni taifa pale linuke kama mzoga wa mbwa Baadae mkalifukie.
Nope!Tanroad yalikuwa ni mawazo ya Magu.
chanzo ni wao CUF kumchinja polisiSoma chanzo kilichowapeleka huko,
Maalim anagombea toka 1995, 2000, 2005, 2010, 2015 na 2020 yeye tu. Tamaa mbaya sanaUsijifiche kuwa muwazi tu kwa sababu Mungu anakuona- wewe ni Mtanzania, Mpemba, mwenye asili ya Oman na ni msukule wa maalim seif
COVID 19 Brother, uwe makini hawa jamaa walikuwa Dodoma kwenye kikao chao na marehemu kafa bila ugonjwa kutangazwa wazi. Ugonjwa upo lazima sisi kama wanannchi tujilinde. Epuka mikusanyiko.Wana JamiiForums, sio mbaya tukienda ku sign daftari la maombolezo kwa mliopo Dar es Salaam
Ninao wakumbuka mikononi mwake niAlifikiri hatokufa, sasa akakutatane na aliowauwa.
Mungu amlipe anachostahili.
Kila nafsi itaonja mauti, tuwe waadalifu tunapotunukiwa neema haswaa, ya afya, utajiri & power, mauti ndio mwisho wetu na tutalipwa kwa tulichopanda.