Lupaso, Mtwara: Rais Mstaafu, Hayati Benjamin William Mkapa azikwa kwa Heshima
huyu alihama toka CCM, hakuwa CDM akahamia CCM. It is vice versa hawezi kuondoka na yeyote. na sasa kabwagwa! Labda mmuinue
 
Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.

Amini usiamini pana watanzania walikuwapo JKNIA juzi, Uhuru jana na hata watakuwapo Lupaso leo kama wazalendo wa dhati kabisa.

Kongole kwenu, na kwa hakika mmetutoa kimasomaso kweli kweli sisi kama Watanzania dhidi ya maadui zetu wote.

Utawafunza funzo gani Watanzania hawa kuhusu uzalendo?

Lissu na mwana wa nchi hii akirejea kutoka katika kifo. Mpendwa wetu Benjamin Mkapa akirejea nyumbani kwa Baba yetu kwenye makazi yetu ya milele.

Ni huzuni kubwa iliyo changanyika na furaha.

Nimeshindwa kwenda Lupaso.

Tuwakilishane Lupaso.

Apumzike kwa amani mzee wetu Benjamin William Mkapa.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Afute kwanza kauli yake ya "MALOFA" ndipo apewe fursa ya kupumzika.
 
Afute kwanza kauli yake ya "MALOFA" ndipo apewe fursa ya kupumzika.

Msiba ni msiba mkuu na ndiyo maana mfu kurejea, kamwe siyo jambo dogo.

Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.
 
Ilitakiwa Mheshimiwa awaombe watanzania msamaha kwa kauli zile za marehemu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu, wewe ulikuwa kipande ipi? JKNIA, Uhuru au utakuwa Lupaso?

Tunakoelekea kupeana makavu labda bila kuangalia makunyanzi inaweza kuwa ni wajibu.

Hukuwa kote, au umekuwa kumoja, au kuwili tu.

Unafunzo gani kwa wazalendo watakao kuwa kote huko hata kama hawakuingia ndani na nia yao ilikuwa ya dhati kabisa?
 
Leo mbona hamna youtube live? wengine tuko maofisini tulipenda tuone angalau mandhari kisha tuendelee na kazi huku tunasikiliza wakianza kuzika pia tuone
 
Leo mbona hamna youtube live? wengine tuko maofisini tulipenda tuone angalau mandhari kisha tuendelee na kazi huku tunasikiliza wakianza kuzika pia tuone
Live ipo angalia milard na global tv

California love
 
Bora msiba uishe tuendelee na mambo mengine!
 
Back
Top Bottom