Maandamano Iran: Hadi watu 35 wamekufa baada ya mwanamke kufia mikononi mwa polisi

Maandamano Iran: Hadi watu 35 wamekufa baada ya mwanamke kufia mikononi mwa polisi

Mtunzi wa hijab atabakiwa kuwa Umar

Umar said:.... , both righteous and evil doers enter your wives, so why don't you tell them to observe the hijab? Then the verse of hijab was revealed. ...... and it was revealed like that. Musnad Ahmad 157
Hujaacha kuphilwa na misalaba!?
 
Hujaacha kuphilwa na misalaba!?
Umar anabaki ndie muanzilishi wa hijab, na ukweli mpaka ibada ya jiwe ni yeye alipendekeza

Umar said:.... , both righteous and evil doers enter your wives, so why don't you tell them to observe the hijab? Then the verse of hijab was revealed. ...... and it was revealed like that. Musnad Ahmad 157
 
Umar anabaki ndie muanzilishi wa hijab, na ukweli mpaka ibada ya jiwe ni yeye alipendekeza

Umar said:.... , both righteous and evil doers enter your wives, so why don't you tell them to observe the hijab? Then the verse of hijab was revealed. ...... and it was revealed like that. Musnad Ahmad 157
Bado unaphilwa na misalaba!?..huwa unapaka mafuta!?..mamaako hukusaidia!?
 
Bado unaphilwa na misalaba!?..huwa unapaka mafuta!?..mamaako hukusaidia!?
Yani Wewe ni kichaa ndio maana unatamani mpaka nywele wewe ni sexual maniac

Umar kaja na wazo lake Muhammad kachukua kapachika kwenye Koran

Umar said:.... , both righteous and evil doers enter your wives, so why don't you tell them to observe the hijab? Then the verse of hijab was revealed. ...... and it was revealed like that. Musnad Ahmad 157

Ata utukane vipi haibadilishi Umar kuwaletea hijab
 
Yani Wewe ni kichaa ndio maana unatamani mpaka nywele wewe ni sexual maniac

Umar kaja na wazo lake Muhammad kachukua kapachika kwenye Koran

Umar said:.... , both righteous and evil doers enter your wives, so why don't you tell them to observe the hijab? Then the verse of hijab was revealed. ...... and it was revealed like that. Musnad Ahmad 157

Ata utukane vipi haibadilishi Umar kuwaletea hijab
Bado unaphilwa na msalaba!?
 
Bado unaphilwa na msalaba!?
Una ukichaa , sasa hilo ni tusi gani unaona umetukana

Umar said:.... , both righteous and evil doers enter your wives, so why don't you tell them to observe the hijab? Then the verse of hijab was revealed. ...... and it was revealed like that. Musnad Ahmad 157
 
Basi unajiona mjanjaa na dini hiyo uliyoletewa ,unajiona ushamaliza maisha
Uislamu ni dini iliyoletwa kwa wanadamu wote ulimwenguni, uwe mweusi, mweupe au vyovyote hii ndio njia ya mafanikio kwa maisha baada ya kuondoka hapa duniani.

Ingawa Mtume hakuletwa kwa ajili ya ku force watu waifuate dini ya kiislam, kazi yake kubwa ilikuwa ni kuitangaza na kufahamisha.

Hata wewe huna ulazima wa kuifata lakini ni vyema ukausoma uislamu angalau ujuwe kwanini waislamu? Kwanini dini ya kiislamu? Na usije hapa ukadharau labda na kutukana dini ya kiislamu
 
Aya anashusha Allah sw,bichwa Kama kitimoto akili hakuna..kamasi tupu,waislam wamesema waislam wamesema,uislam ni dini ya Allah sw siyo ya waislam

Mungu hana dini kaa ukilijua hilo, dini ni utaratibu uliowekwa na wanadamu ili kumwambudu Mungu, mpango wa Mungu kwa wanadamu ni kuwaokoa.

Point ya kujiuliza kati ya Mussa na Mohammed nani alikuwa wa kwanza kuja duniani?

Je Mussa hakumuabudu Mungu? Je alikuwa wa dini gani?

Ukristo ni ufuasi wa Yesu Kristo katika kumuabudu Mungu.

Uislam ni kufuata mienendo ya Mohammed katika kumuabudu Mungu.

Kwa kumalizia Mungu hana dini na mpango wake ni kuwaokoa wanadamu na sio wanadamu kumpigania ili kumuokoa yeye, sababu YEYE YUKO AMBAYE YUKO hakuna kitu kinachomtisha bali yeye ukitiisha chochote kile, DHIMA YA MWANADAMU NI KUMCHA MUNGU KWA KUMUOMBA,KUMSIFU NA KUMTUKUZA YEYE TUU.
 
Ingawa Mtume hakuletwa kwa ajili ya ku force watu waifuate dini ya kiislam, kazi yake kubwa ilikuwa ni kuitangaza na kufahamisha.

Hata wewe huna ulazima wa kuifata lakini ni vyema ukausoma uislamu
Alitumia nguvu , mpaka watu walikuwa wakisikia anakuja wanakimbia , na akajiapiza kabisa lazima awafute wakristo na Jews wote arabian peninsula

Hapa anasema amesaidiwa na ugaidi
I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror :......Sahih Muslim 523a

Hapa anasema atawafuta Christian and Jews
Muhammad said
I will expel the Jews and Christians from the Arabian Peninsula and will not leave any but Muslim. Sahih Muslim 1767a
 
Mungu hana dini kaa ukilijua hilo, dini ni utaratibu uliowekwa na wanadamu ili kumwambudu Mungu, mpango wa Mungu kwa wanadamu ni kuwaokoa.

Point ya kujiuliza kati ya Mussa na Mohammed nani alikuwa wa kwanza kuja duniani?

Je Mussa hakumuabudu Mungu? Je alikuwa wa dini gani?

Ukristo ni ufuasi wa Yesu Kristo katika kumuabudu Mungu.

Uislam ni kufuata mienendo ya Mohammed katika kumuabudu Mungu.

Kwa kumalizia Mungu hana dini na mpango wake ni kuwaokoa wanadamu na sio wanadamu kumpigania ili kumuokoa yeye, sababu YEYE YUKO AMBAYE YUKO hakuna kitu kinachomtisha bali yeye ukitiisha chochote kile, DHIMA YA MWANADAMU NI KUMCHA MUNGU KWA KUMUOMBA,KUMSIFU NA KUMTUKUZA YEYE TUU.
Ati mungu Hana dini!!!(mungu anayo dini(utaratibu) aliowapa watu namna gani wamuabudu,kuhusu Muhammad na Musa hayo tunafundisha humu kila siku,Soma Qur'an 5:20-21 utapata habari za Musa,Kisha Soma Qur'an 2:30 na 2:38 utapata habari za Adam,ukitaka kupata mtazamo wa uislam juu ya manabii wengine uwe unagoogle Moses in Qur'an,Jesus in Qur'an,Abraham in Qur'an nk...ili kutupunguzia kuwekeza kila siku
 
Una ukichaa , sasa hilo ni tusi gani unaona umetukana

Umar said:.... , both righteous and evil doers enter your wives, so why don't you tell them to observe the hijab? Then the verse of hijab was revealed. ...... and it was revealed like that. Musnad Ahmad 157
Bado unaphilwa na misalaba!?
 
Bado unaphilwa na misalaba!?
Sasa hili ndio tusi gani ,kajifunze kutukana
Ukirudi ukweli upo pale pale

Umar said:.... , both righteous and evil doers enter your wives, so why don't you tell them to observe the hijab? Then the verse of hijab was revealed. ...... and it was revealed like that. Musnad Ahmad 157
 
Sasa hili ndio tusi gani ,kajifunze kutukana
Ukirudi ukweli upo pale pale

Umar said:.... , both righteous and evil doers enter your wives, so why don't you tell them to observe the hijab? Then the verse of hijab was revealed. ...... and it was revealed like that. Musnad Ahmad 157
Bado unapekenyuliwa na misalaba!?
 
Kwa hiyo tamaa kwenye pesa haipo ...Hadi pawekwe ulinzi!?...uislam unazuia chanzo Cha matatizo,hauzuwii matokeo japo una utatuzi kwa yote,zinaa mtu ahemkwi bila sababu ni mpaka aone,ndiyo maana ukaanza kukataza kuikaribia,Kisha stara,Kisha kitenganisha jinsia,Kuinamisha macho,adhabu kwa mtendaji...tamaa si kila mtu anaweza zuwia
Kwa hiyo hapa Tanzania ni full tamaa maana nywele za wanawake kibao[emoji23]huku bongo nyie wote motoni.
 
Uislam unakataza kuua,Pana habari mbili juu ya kifo Cha huyo binti,polisi wanasema akipata mshituko wa moyo,familia yake inasema hakuwa na matatizo ya moyo,ila ukweli ni kafa mikononi mwa polisi...nini kilisababisha kifo chake!?..mateso au moyo!?
Unakata kuua isipokuwa kwa kibali cha Allah sio?dah huu uzombi ni wa kiwango cha phd!
 
Acha porojo, suala la kuvaa hijabu kwa muislamu ni jambo la kisharia kwa nchi yenye dola ya kiislamu hili sio jambo geni zaidi ya kutii sharia, ingawa sina hakika sana kwamba ukikataa kuvaa hijabu inabidi kuuliwa.

Dini zilizobaki ukitoa uislamu zimebaki kimya sana kwenye mambo kama haya ndio mana unakuja hapa na kudharau hijabu kwasababu ukiristo siku zote unakuwa umekaa kimya kwenye baadhi ya mambo mengi hayana fatwa katika kitabu chenu ndio mana tuna mashaka na ukiristo.

Mama maryam mama yake yesu alivaa hijab lakini wakiristo wameacha kufuata mila ya mama yake yesu mama maryam lakini pia hamutaki kujua kwa nini alivaa, ukiristo uko kimya sana, lakini cha kushangaza munatii sheria zinazotungwa makanisa makuu huko roma italy na marekani
Kipindi cha Mariam hakukuwa na wahalifu kama walikuwepo hawakuvaa hijab?MUNGU ndio anajua kama wewe ni mwema ama la wala si appearance yako.
 
Unakata kuua isipokuwa kwa kibali cha Allah sio?dah huu uzombi ni wa kiwango cha phd!
Uwe unauliza vitu usivyovijua badala ya kujifanya unajua,watu wanaopaswa kuuawa kwenye uislam ni wawili tu,aliyeua..na huyu kuuawa kwake idhini itoke kwa ndugu wa aliyeuliwa,wa pili ni wale wanaowapiga Vita na kuwaua waislam
 
Back
Top Bottom