Maandamano Iran: Hadi watu 35 wamekufa baada ya mwanamke kufia mikononi mwa polisi

Maandamano Iran: Hadi watu 35 wamekufa baada ya mwanamke kufia mikononi mwa polisi

Day 10 of protests

Naona Maandamano ya Wadada yanashika kasi

Polisi wana kazi kubwa , wanajeshi wanaweza ingia mitaani

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Arabic culture tu hiyo hakuna cha Dini
Utamaduni wa waarabu ni kuabudu masanamu Nabii ibrahim alimkuta baba yake anaabudu masanamu makanisani Mtume S.A.W aliwakuta watu wengi makka na makafir lakini baada ya kupewa utume akawafundisha kuhusu uislamu,
Nadhan ulipewa hiyo theory vibaya,
 
Una ushahidi wa Hilo?..pili hiyo ndoa yako unayotoa mahari na kuachana baada ya miaka mitano siyo biashara ya ukahaba!?..maana tofauti ni muda tu!!
Muhammad's said, "If a man and a woman agree (to marry temporarily), their marriage should last for three nights, and if they like to continue, they can do so; Sahih al-Bukhari 5119
 
...dini ya mchongo kwa sababu ya hijabu!!?.
Hijab ilibuniwa na Umar na Muhammad aka copy kutoka kwake , ilikuwa wake zake muhammad wanavaa hovyo wale gang member wa muhammad wakawa wakiingia wanawatamani , Umar ndio akaja na idea ya Hijab alipambana na idea yake mpaka muhammad akakubali akaipachika kwenye koran

Nukuu ya waislamu wanatujuza aya ya hijab ilipotokea
Umar said:.... , both righteous and evil doers enter your wives, so why don't you tell them to observe the hijab? Then the verse of hijab was revealed. ...... and it was revealed like that. Musnad Ahmad 157
 
Utamaduni wa waarabu ni kuabudu masanamu Nabii ibrahim alimkuta baba yake anaabudu masanamu makanisani Mtume S.A.W aliwakuta watu wengi makka na makafir lakini baada ya kupewa utume akawafundisha kuhusu uislamu,
Nadhan ulipewa hiyo theory vibaya,
Koran mnasomaga kweli , muanzilishi wa masanamu ni allah , alituma majini kwa suleiman muislamu yakajenga msikiti na kuweka masanamu

Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,....
 
Koran mnasomaga kweli , muanzilishi wa masanamu ni allah , alituma majini kwa suleiman muislamu yakajenga msikiti na kuweka masanamu

Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,....
Tuishie hapa mkuu, Namuomba Mungu atuongoze sote In Sha Allah.
 
Hijab ilibuniwa na Umar na Muhammad aka copy kutoka kwake , ilikuwa wake zake muhammad wanavaa hovyo wale gang member wa muhammad wakawa wakiingia wanawatamani , Umar ndio akaja na idea ya Hijab alipambana na idea yake mpaka muhammad akakubali akaipachika kwenye koran

Nukuu ya waislamu wanatujuza aya ya hijab ilipotokea
Umar said:.... , both righteous and evil doers enter your wives, so why don't you tell them to observe the hijab? Then the verse of hijab was revealed. ...... and it was revealed like that. Musnad Ahmad 157
Hujaacha kuphilwa na misalaba!?
 
Uzi umejaa mihemko ya kidini na mabishano yasiyo na kichwa wala miguu ,licha ya changamoto hii kutokea nchini Iran ni wazi kwamba serikali haiwezi anguka kwa namna yoyote ile bali nategemea mabadiliko ya baadhi ya sheria kufanyik Iran
 
Weka sababu kwanini mwanamke ajifunike halafu vazi lenyewe ni jeusi?

Kaa ujiua hakuna mwanamke mwenye akili timamu anayependa kuvaa hayo madude.
Kwanza elewa hilo vazi amelichagua mwenye Allah katika Quran kwa mwanamke wa kiislamu, lakini pia akabainisha kwamba uchi wa mwanamke ni mwili mzima isipokuwa paji lake la uso, vikanja vya mikono na miguu.

Shida kubwa inakuja kwenye matamanio mwanamke anapo expose maeneo yake ya mwili ukitoa haya yaliyotajwa kuna uwezekano mkubwa sheitwan akapata nafasi ya kujipenyeza na kusababisha kile ambacho sasa dunia inahangaika huku na kule kuweka sheria za kitwaghuuti ili kikome kutokea ingawa inashindikana.

Kwa wale ambao hawana dini au dini zao zilizokaa kimya kwenye maandiko yao wanaona ni jambo la kawaida lakini ukifanya tathmini mwanamke aliyejisiriti na aliye expose mwili wake ni wazi ibilisi atatokea kwenye huyo aliyeachia maungo yake ya mwili ingawa haimaanishi kwamba wanavaa kisheria hawatakuwa na hilo tatizo lakini imeangalia uwezekano wa kukwepa hiyo setuation.

Kuhusu rangi ya vazi kuwa jeusi nadhan ni mtazamo wako, hakuna rangi maalum ya mazi sharia inataka ujisitiri tu
 
Islamic ni moja kati ya dini za hovyo kuwahi kutokea duniani
 
Kwanza elewa hilo vazi amelichagua mwenye Allah katika Quran kwa mwanamke wa kiislamu, lakini pia akabainisha kwamba uchi wa mwanamke ni mwili mzima isipokuwa paji lake la uso, vikanja vya mikono na miguu.

Shida kubwa inakuja kwenye matamanio mwanamke anapo expose maeneo yake ya mwili ukitoa haya yaliyotajwa kuna uwezekano mkubwa sheitwan akapata nafasi ya kujipenyeza na kusababisha kile ambacho sasa dunia inahangaika huku na kule kuweka sheria za kitwaghuuti ili kikome kutokea ingawa inashindikana.

Kwa wale ambao hawana dini au dini zao zilizokaa kimya kwenye maandiko yao wanaona ni jambo la kawaida lakini ukifanya tathmini mwanamke aliyejisiriti na aliye expose mwili wake ni wazi ibilisi atatokea kwenye huyo aliyeachia maungo yake ya mwili ingawa haimaanishi kwamba wanavaa kisheria hawatakuwa na hilo tatizo lakini imeangalia uwezekano wa kukwepa hiyo setuation.

Kuhusu rangi ya vazi kuwa jeusi nadhan ni mtazamo wako, hakuna rangi maalum ya mazi sharia inataka ujisitiri tu
[emoji23][emoji23][emoji23]Kosa vyote ila siyo akili wakuu
 
Kuna watu Iran na nchi zingine za kiislam Wana hamu na maisha ya kikafiri,ulale na hawara usiku kucha mchana kutwa,kuelewa,fasheni..hawajui madhara yake,kwamba huku tunalea watoto tusio na uhakika Kama ni wetu kweli
Si muache Mungu atakuja kuwahukumu mwenyewe
 
Hujaacha kuphilwa na misalaba!?
Relax
Nukuu ya waislamu wanatujuza aya ya hijab ilipotokea
Umar said:.... , both righteous and evil doers enter your wives, so why don't you tell them to observe the hijab? Then the verse of hijab was revealed. ...... and it was revealed like that. Musnad Ahmad 157
 
Back
Top Bottom