Maandamano Iran: Hadi watu 35 wamekufa baada ya mwanamke kufia mikononi mwa polisi

Maandamano Iran: Hadi watu 35 wamekufa baada ya mwanamke kufia mikononi mwa polisi

Unajua maana ya amri!?..Kama atakuadhibu usipofuata hiyo ni lazima au hiyari!?..ubongo wako mbele nyuma nyuma mbele!!?..au unatembea kichwa chini miguu juu kiasi unaelewa mambo tofauti!!?
Umeshasema Mungu, Ni Yeye Mungu ndiye Ataadhibu siku ya hukumu. Sio sisi wanadamu tuanze kuadhibiana kama wanavyofanya hao polisi wa Iran.

Wewe mla mlenda unawezaje kumuadhibu mwanadamu mwenzako? Hayo mamlaka umepewa na nani? Na wewe kama nani?
 
Acha porojo, suala la kuvaa hijabu kwa muislamu ni jambo la kisharia kwa nchi yenye dola ya kiislamu hili sio jambo geni zaidi ya kutii sharia, ingawa sina hakika sana kwamba ukikataa kuvaa hijabu inabidi kuuliwa.

Dini zilizobaki ukitoa uislamu zimebaki kimya sana kwenye mambo kama haya ndio mana unakuja hapa na kudharau hijabu kwasababu ukiristo siku zote unakuwa umekaa kimya kwenye baadhi ya mambo mengi hayana fatwa katika kitabu chenu ndio mana tuna mashaka na ukiristo.

Mama maryam mama yake yesu alivaa hijab lakini wakiristo wameacha kufuata mila ya mama yake yesu mama maryam lakini pia hamutaki kujua kwa nini alivaa, ukiristo uko kimya sana, lakini cha kushangaza munatii sheria zinazotungwa makanisa makuu huko roma italy na marekani
Mkivaa nyie na wake zenu inatosha
 
Unadandia tu bila kuelewa mantiki,kwa faida yako 1wakorinto 11:1-6,mwanzo 24:65
Wewe umetaja amri kumi..ila unaleta vifungu tofauti.

Anyway suala la mavazi litabaki suala la jamii husika..tamaduni zinatofautiana.

Sketi ni vazi la heshima kwa wanaume wa Scotland.

Endelea kuvaa kobazi na dela sorry kanzu.[emoji28]

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwa mujibu wa mafundisho ya Quran na hata biblia uchi wa mwanamke ni mwili mzima ukitoa viganja vya mikono na miguu na paji lake la uso,
Wapi kwenye biblia wameandika hivyo..tamaduni za middle east hizo za jangwani..walivaa hivyo kulinda nywele zisichafuliwe na vumbi ama mchanga wa jangwani..sijui unaelewa lakini..mavazi mengi ya watu middle east yalitokana na hali halisi ya mazingira yao hasa joto na vumbi.

Acha kukaza fuvu au kuwa mateka wa kifikra jaribu kuchanganua mambo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Bibie wa Tandamti FaizaFoxy karibu barza kwa mjadala makini.Waajemi wamekataa kukaa maijabu yashawachosha.
 
Kwahiyo America alituma hao askari wampige binti hadi kupelekea kifo chake.?

#MaendeleoHayanaChama
It is all about CAPITALIZING on opportunities & unexpected situations !! Call it One Mistake-One Goal !!
 
Hueleweki unataka kuwasilisha nini kilichopo kweny ubongo wako. Fedha zilipo benki na wanawake wapi wapi? Binadamu tumekuwa wanyama? Wewe unashindwa kujizuia unapoona kichwa cha mwanamke? Na yeye je akiona kichwa chako hashikwi tamaa?
Hivi ni udhaifu kiasi gani uone nywele za mwanamke udindishe?
 
Wapi kwenye biblia wameandika hivyo..tamaduni za middle east hizo za jangwani..walivaa hivyo kulinda nywele zisichafuliwe na vumbi ama mchanga wa jangwani..sijui unaelewa lakini..mavazi mengi ya watu middle east yalitokana na hali halisi ya mazingira yao hasa joto na vumbi.

Acha kukaza fuvu au kuwa mateka wa kifikra jaribu kuchanganua mambo.

#MaendeleoHayanaChama
Kama ni vazi la middle east alikotoka yesu na mama maryam kwanini unafuata sheria za kanisa toka Roma Italy ama Vatican?

Umecopy na kupaste mila za wazungu toka magharibi kuwa ndio maisha yako
 
Kuna watu Iran na nchi zingine za kiislam Wana hamu na maisha ya kikafiri,ulale na hawara usiku kucha mchana kutwa,kuelewa,fasheni..hawajui madhara yake,kwamba huku tunalea watoto tusio na uhakika Kama ni wetu kweli
Akili yako kama ipo ni ndogo sana, nahisi hujapewa akili bali umepakwa akili kama mafuta usoni
 
Back
Top Bottom