Maandamano Iran: Hadi watu 35 wamekufa baada ya mwanamke kufia mikononi mwa polisi

Maandamano Iran: Hadi watu 35 wamekufa baada ya mwanamke kufia mikononi mwa polisi

Acha porojo, suala la kuvaa hijabu kwa muislamu ni jambo la kisharia kwa nchi yenye dola ya kiislamu hili sio jambo geni zaidi ya kutii sharia, ingawa sina hakika sana kwamba ukikataa kuvaa hijabu inabidi kuuliwa.

Dini zilizobaki ukitoa uislamu zimebaki kimya sana kwenye mambo kama haya ndio mana unakuja hapa na kudharau hijabu kwasababu ukiristo siku zote unakuwa umekaa kimya kwenye baadhi ya mambo mengi hayana fatwa katika kitabu chenu ndio mana tuna mashaka na ukiristo.

Mama maryam mama yake yesu alivaa hijab lakini wakiristo wameacha kufuata mila ya mama yake yesu mama maryam lakini pia hamutaki kujua kwa nini alivaa, ukiristo uko kimya sana, lakini cha kushangaza munatii sheria zinazotungwa makanisa makuu huko roma italy na marekani
Unasema wakristo wafuate mila ya mama yake mariam?
Mariam mama yake Yesu pia alikuwa na mila ya kupanda Punda.
Kwa hiyo na sisi leo tupande Punda?

Hivi nyie watu mbona mna reasoning za kijinga sana?
 
Unasema wakristo wafuate mila ya mama yake mariam?
Mariam mama yake Yesu pia alikuwa na mila ya kupanda Punda.
Kwa hiyo na sisi leo tupande Punda?

Hivi nyie watu mbona mna reasoning za kijinga sana?
Wakati huo punda sasa panda gari, ndege, baiskeli na nk na jambo hili bado halijakuwa na madhara lakini ikibidi kuleta madhara sharia zipo., lakini hijab sijambo linalopitwa na wakati ni jambo ambalo sharia ya kiislamu imelitaja hivyo hakuna budi kutekeleza sharia
 
Mwanamke kuuawa kisa kijisehemu cha nywele zake kilionekana wazi, imesababisha wa-Iran waseme imetosha, uzombi wa kidini hawautaki tena. Miji 80 ya Iran inatamalaki waandamaji.

Nilishangaa sana bibi mswahili FaizaFoxy anatetea huu ukatili kwa wanawake wenzake kisa mzuka wa kidini...

FdZHQCEWIAAxjAW


Large protests continued in Iran for the sixth day in a row on Saturday with protestors blocking streets in various cities across the country and reports claiming they had taken control of the city of Oshnavieh.

The protests against the government broke out both online and in the streets last week after Mahsa Amini died in police custody following her arrest by the modesty police who accused her of wearing her hijab wrong.

After news of Amini's death broke, Iranian women took to social media, posting videos of themselves cutting their hair and burning their hijabs, and other videos posted online showed women of all ages in the streets waving their hijabs in defiance.

The protestors, which were made up of both men and women, marched through the streets, shouting out slogans like "death to the dictator" and "live free or die," blocked roads and caused damage to the security forces that tried to stop them.

The Islamic Republic of Iran Broadcasting reported a total casualty count of 35, but the precise number is unclear amid the chaos of the protests.

MSN
Elimu iliongezeka upuuzi wa sheria za dini watu wanaona ni scam
 
Kati ya uliowatongoza na waliokutongoza wepi wengi!?..na wanaume wangapi wanetongozwa na wanawake!?...dini ya mchongo kwa sababu ya hijabu!!?..mama yake yesu akivaaje!?..Nina hakika hakuvaa sketi na blauz,akivaaje?!
Mama yake Yesu alivaa nguo ZA UTAMADUNI WA KWAO KWA WAKATI ULE Alioishi.

Mama Yake Yesu angekuwa Mmasai angevaa Lubega.

Yaani unataka watu wavae nguo za utamaduni wa watu walioishi mashariki ya kati miaka 2000 iliyopita?

Hivi mbona reasoning yenu ni ya chini hivi?
 
Hapo Marekani na Israel lazima wapenyeze majasusi wao kuchochea vurugu
Inaweza kua ni moja kati ya kazi zao, na zimezaa matunda. Hapo kilichobaki ni kumaliza kazi na kuikalisha kimya kabisa iran
 
Wakati huo punda sasa panda gari, ndege, baiskeli na nk na jambo hili bado halijakuwa na madhara lakini ikibidi kuleta madhara sharia zipo., lakini hijab sijambo linalopitwa na wakati ni jambo ambalo sharia ya kiislamu imelitaja hivyo hakuna budi kutekeleza sharia
Unaona Unavyojichanganya!!!
Unasema wakristo wafuate mila ya mama yake Yesu(kujifunika kichwa).


Kwa hiyo mila ya kupanda Punda (ambayo mama yake Yesu alikuwa nayo) tuiache ila ya kujifunika kichwa ndio tuifuate??
 
Unaona Unavyojichanganya!!!
Unasema wakristo wafuate mila ya mama yake Yesu(kujifunika kichwa).


Kwa hiyo mila ya kupanda Punda (ambayo mama yake Yesu alikuwa nayo) tuiache ila ya kujifunika kichwa ndio tuifuate??
Mkuu tumesema kichwa wazi kwa mwanamke kuna madhara, si ndo nyie mnatunga sheria watu waache kubaka sasa mambo yanayochochea kubaka ni pamoja na hizo hijab kutovaliwa kwa wanawake ili kuepusha matamanio
 
Mama yake Yesu alivaa nguo ZA UTAMADUNI WA KWAO KWA WAKATI ULE Alioishi.

Mama Yake Yesu angekuwa Mmasai angevaa Lubega.

Yaani unataka watu wavae nguo za utamaduni wa watu walioishi mashariki ya kati miaka 2000 iliyopita?

Hivi mbona reasoning yenu ni ya chini hivi?
Wajanja wanalazimisha watu wafuate taratibu na tamaduni zao kupitia dini..kumbe upuuzi mtupu.

Leo hii unakuta jitu jeusi kama mkaa lina majina ya kiarabu au ya kizungu huu ni upuuzi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Inaweza kua ni moja kati ya kazi zao, na zimezaa matunda. Hapo kilichobaki ni kumaliza kazi na kuikalisha kimya kabisa iran
Sio rahisi kihivyo. Iran wapo vizuri. Sio Mara ya kwanza machafuko kutokea
 
Kwa ni nini kwenye ukristo haitokei mtu kulazimishwa kufuata sheria zake wakati ukristo umetokea mashariki ya kati na kuenea kwenye mataifa mengi ulimwenguni? Kuna mataifa yana wakristo wengi tena dhehebu moja ndio wengi zaidi lakini hakuna raia anayelazimishwa kufuata sheria za kanisa. Iweje mataifa yanayojinasibu kuongozwa na sharia za kiislam yanakuwa chanzo cha uvunjifu wa haki za binadamu duniani? Kila binadamu ana uhuru wa kuamini na kuabudu dini anayoiamini ina Mungu wake bila kulazimishwa kuabudu miungu asiyoiamini
 
Nilisoma kitabu kinaitwa Arabian Sends kimeandikwa na Alfred Thesiger, ni kitabu kizuri sana. Nilichogundua watu wanachanganya tamaduni za asili na dini, chiki binafsi wanazifanya kuwa ndiyo mafundisho ya dini. Lakini vile vile tukumbuke kuna mafundisho ya dini ambayo yanatokana na utamaduni asilia wa mahali zilikotoka hizi dini lakini kimsingi hayana faida yoyote kiroho. Akili za kawaida tu zitujibu, hivi mwanamke kutofunika kichwa inaweza mfanya asiende peponi? Jibu ni kwamba haiwezekani kwa sababu Mungu hawezi kuwa na masharti ya namna hiyo, ila tu ni utamaduni wa watu wa mashariki ya kati kama ilivyo kuvaa kanzu. Ndiyo maana ukienda Tunisia, Egypt, Turkey etc pamoja hayo mambo hayapo
 
Kwa ni nini kwenye ukristo haitokei mtu kulazimishwa kufuata sheria zake wakati ukristo umetokea mashariki ya kati na kuenea kwenye mataifa mengi ulimwenguni? Kuna mataifa yana wakristo wengi tena dhehebu moja ndio wengi zaidi lakini hakuna raia anayelazimishwa kufuata sheria za kanisa. Iweje mataifa yanayojinasibu kuongozwa na sharia za kiislam yanakuwa chanzo cha uvunjifu wa haki za binadamu duniani? Kila binadamu ana uhuru wa kuamini na kuabudu dini anayoiamini ina Mungu wake bila kulazimishwa kuabudu miungu asiyoiamini
Alitokea Benito Musolin kutaka kuwalazimisha Waitaliano kufuata sheria za kikatoliki lakini viongozi wa kikatoliki wenyewe ndio walikuwa wa kwanza kimpinga. Walimpinga kwasababu huko nyuma wakati dini ndiyo serikali na serikali ndiyo dini kanisa liliyumba mno na lilitaka kuanguka.
 
Huu ndio ukweli tunako elekea watu wata zidi ku question uwepo wa dini hizi tulizozikuta. Mfano ukristo na uislam.

Wataenda mbali na kwa kuquestion uwepo wake yeye muumba.
Jee sayansi ikijibu maswal yoote magumu ya mwanadamu kwa mf kufa kutakuwa na deen?





iljibu
 
Kwa hiyo tamaa kwenye pesa haipo ...Hadi pawekwe ulinzi!?...uislam unazuia chanzo Cha matatizo,hauzuwii matokeo japo una utatuzi kwa yote,zinaa mtu ahemkwi bila sababu ni mpaka aone,ndiyo maana ukaanza kukataza kuikaribia,Kisha stara,Kisha kitenganisha jinsia,Kuinamisha macho,adhabu kwa mtendaji...tamaa si kila mtu anaweza zuwia
Nonsense
 
Uislamu ni janga la dunia so far ni dini iliyojaa ukatili sana wao kuua sio habari kabisa. Kosa kidogo tu unasikia linakusomea albadili ufe nonsense.
 
Mama yake Yesu alivaa nguo ZA UTAMADUNI WA KWAO KWA WAKATI ULE Alioishi.

Mama Yake Yesu angekuwa Mmasai angevaa Lubega.

Yaani unataka watu wavae nguo za utamaduni wa watu walioishi mashariki ya kati miaka 2000 iliyopita?

Hivi mbona reasoning yenu ni ya chini hivi?
Unaweza jiona una fikra pevu kumbe mpuuzi tu,wale Malaya aliokua akizungumza nao yesu walikua wanavaa Kama mama yake yesu!?...waarabu hawakuwa wakivaa ushungi,ndiyo maana Qur'an inamtaka mtume awaambie wanawake wa kiislam wavae shungi...utamaduni wa waliostaarabika Leo ni ndoa za jinsia moja,mwenye upper reasoning capacity Hilo ni sawa!?
 
Back
Top Bottom